Rwanda na DRC zafanya mkutano wa kwanza wa pamoja tangu makubaliano ya amani

Mkutano huo unalenga kuwezesha utekelezaji wa mkataba wa amani uliotiwa saini mwezi Juni mjini Washington kati ya nchi hizo mbili kwa lengo la kumaliza mzozo DRC.
1 Agosti, 2025
Mhubiri maarufu Kenya akana kuwa alitabiri dunia itakwisha Agosti 2, 2025

Mwaka jana, madai kama hayo yaliyohusishwa na nabii huyo pia yalienea, yakidai kuwa unabii wake ukitabiri Novemba 2, 2024 kuwa siku ya mwisho.
1 Agosti, 2025
Ethiopia yapanda miti milioni 700 kwa siku moja

Ethiopia imesema kuwa imepanda miche ya miti milioni 700 kwa siku moja kama sehemu ya mpango wake wa kitaifa wa upandaji miti.
1 Agosti, 2025
UN yakashifu vifo vya watu Angola

Maandamano hayo yalianza Jumatatu kama sehemu ya mgomo wa madereva wa mabasi madogo kuhusu kupanda kwa theluthi moja ya bei ya dizeli, ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali kupunguza ruzuku ya mafuta.
1 Agosti, 2025

Magaidi waua wanakijiji 5 nchini Msumbiji katika mkoa wenye mapigano wa Cabo Delgado

Mauaji ya Simba wa utafiti yazua utata nchini Zimbabwe

Jumuiya ya EAC yazitaka nchi wanachama kuheshimu mpango wa soko la pamoja

Osimhen arudi rasmi Galatasaray baada ya kumalizana na Napoli

Somalia yashurutisha matumizi ya vitambulisho vya taifa katika shughuli za kibenki
31 Julai, 2025
Serikali ya Kenya yalalamika kuhusu masharti mapya ya biashara Tanzania
Kenya imewasilisha malalamiko rasmi kuhusu masharti mapya ya biashara na leseni yaliyotangazwa na Tanzania wiki hii.

31 Julai, 2025
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Sudan wajadili juhudi za kutafuta amani nchini Sudan
Waziri wa Sudan ametoa shukrani zake kwa nchi ya Misri kuendelea kwake kuunga mkono uhuru na usalama wa Sudan.

31 Julai, 2025
Tuko tayari kwa CHAN, Uganda yasema
Serikali ya nchi hiyo imesema kuwa usalama umeimarishwa ipasavyo huku mashabiki wa soka wakitarajiwa kuelekea katika uwanja wa taifa wa Mandela ambao pia unajulikana kama Uwanja wa Namboole, kwa ajili ya michuano hiyo ya (CHAN)

31 Julai, 2025
Watoto 80,000 wako katika hatari kubwa ya kipindupindu Afrika Magharibi na Kati: UNICEF
Mlipuko wa kipindupindu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Nigeria umeibua tishio la maambukizi hayo kuenea nje ya mipaka, shirika la Umoja wa Mataifa limesema

30 Julai, 2025
Takriban wanajeshi sita wameuawa katika mapigano ya mpaka kati ya Sudan Kusini na Uganda
Mpaka huo haujafafanuliwa vizuri na mara nyingi huzua mapigano madogo madogo

30 Julai, 2025
Asasi za kiraia Tanzania zatakiwa kuzingatia sheria: Tume ya Uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi amesisitiza kuwa katika kipindi cha uchaguzi Tume itafanya kazi kwa karibu na taasisi na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura.

30 Julai, 2025
Umoja wa Afrika unasema hautambui serikali ya kando ya Sudan
Umoja wa Afrika unazitaka nchi zote wanachama na jumuiya ya kimataifa kukataa kugawanyika kwa Sudan na kutoitambua serikali mpya iliyojitangaza.

30 Julai, 2025
Mawaziri waidhinisha ubinafsishwaji wa kampuni ya usambazaji mafuta Kenya – KPC
Miongoni mwa makampuni yanayomilikiwa na serikali KPC imedumisha faida kubwa lakini inasalia kutatizwa na uzembe katika urasimu.

30 Julai, 2025
Rais wa Kenya asaini sheria mbili mpya zitakazosaidia kudhibiti rushwa
Mswada wa Ulinzi wa Jamii, 2025, na Mswada wa Mgongano wa Maslahi, 2025 zinatarajiwa kunaleta enzi mpya ya uwajibikaji na uwazi katika utumishi wa umma

30 Julai, 2025
Watu kadhaa waliuawa baada ya askari wa Uganda, Sudani Kusini kupigana karibu na mpaka
Jeshi la Uganda limepigana na majeshi ya silaha nchini Kusini mwa Sudan, na kusababisha vifo na majeraha, ofisiali wa jeshi wakasema Jumanne.



