Uturuki yaendelea na uchunguzi katika eneo la ajali ya ndege iliyosababisha kifo cha mkuu wa jeshi la Libya

Operesheni za utafutaji na uchunguzi zimeimarishwa tangu alfajiri baada ya hali mbaya ya hewa kuathiri shughuli usiku.
24 Desemba, 2025
Uturuki yathibitisha kupatikana kwa kisanduku cheusi cha ndege iliyohusishwa na kifo cha mkuu wa jeshi la Libya

Kisanduku cheusi pamoja na kifaa cha kurekodi sauti za rubani vimepatikana kutoka katika eneo la ajali, na mchakato wa uchunguzi tayari umeanza.
24 Desemba, 2025
DRC yaanza tena kuuza kobalti baada ya kusitisha kwa miezi 10

“Tangu Ijumaa iliyopita, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeanza tena kuuza nje kobalti yake,” alisema Waziri wa Fedha, Doudou Fwamba.
24 Desemba, 2025
Haftar atoa rambirambi kufuatia kifo cha mkuu wa jeshi la Libya katika ajali ya ndege

“Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia ya marehemu na kwa wananchi wote wa Libya kufuatia msiba huu mzito,” ilieleza taarifa ya Khalifa Haftar.
24 Desemba, 2025

Muungano wa Sahel wazindua televisheni ya pamoja kupambana na taarifa potofu

Elon Musk avuka dola bilioni 700 na kuwa bilionea wa kwanza duniani kufikia kiwango hicho

Shambulio la droni laua watu 10 katika soko la Darfur Kaskazini, Sudan

Marekani na Nigeria zasaini mkataba wa afya wenye msisitizo wa huduma za Kikristo

Somalia na Ethiopia zaimarisha mazungumzo katika maadhimisho ya Tamko la Ankara
18 Desemba, 2025
Erdogan Akutana na Familia ya Hind Rajab, Msichana Aliyeuawa Gaza
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amekutana na familia ya Hind Rajab, msichana wa Kipalestina mwenye umri wa miaka sita aliyeuawa katika shambulio la jeshi la Israel huko Gaza.

18 Desemba, 2025
Senegal Yaanzisha Hatua za Kwanza za Sekta ya Ulinzi ya Kitaifa
Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amezindua kiwanda cha kuunganisha magari ya kijeshi kama sehemu ya juhudi za kuimarisha uhuru wa kimkakati wa nchi hiyo.

18 Desemba, 2025
Australia Yachukua Hatua Kali Dhidi ya Semi za Chuki Baada ya Shambulio la Bondi
Waziri Mkuu wa Australia, Anthony Albanese, ametangaza sheria na hatua mpya kali za kukabiliana na semi za chuki kufuatia shambulio la risasi katika Ufukwe wa Bondi lililolenga tamasha la Kiyahudi.

18 Desemba, 2025
Tuzo za Oscar Kuhamia YouTube Kuanzia 2029, Zikiaga Utangazaji wa ABC
Sherehe za Tuzo za Oscar zitakuwa zikionyeshwa mubashara kupitia YouTube kuanzia mwaka 2029, baada ya jukwaa hilo la teknolojia kushinda haki za utangazaji zilizokuwa zikishikiliwa na ABC kwa zaidi ya miongo minne.

17 Desemba, 2025
Tanzania Miongoni mwa Nchi Zilizowekewa Vizuizi Vipya vya Kusafiri Marekani
Hatua hii sio marufuku kamili ya kusafiri kwenda Marekani, bali ni udhibiti wa baadhi ya aina za viza zinazotolewa kwa raia wa Tanzania.

17 Desemba, 2025
Tanzania: Maafisa watatu wa uhamiaji wahukumiwa kunyongwa kwa kosa la mauaji
Ushahidi uliowasilishwa umebainisha matumizi ya nguvu kupita kiasi yaliyosababisha kifo cha raia asiye na hatia.

17 Desemba, 2025
DRC yamkamata waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa serikali ya Kabila
Kukamatwa huku kunazua maswali makubwa kuhusu mchakato wa haki na sababu halisi za hatua hiyo.

16 Desemba, 2025
Waasi wa M23 wajiondoa Uvira baada ya ombi la Marekani
Hatua hii inalenga kujenga imani na kutoa nafasi kubwa kwa mafanikio ya mchakato wa amani.

15 Desemba, 2025
M23 yadai kuwakamata wanajeshi wa Burundi katika mashambulizi ya Uvira
Wanajeshi waliokamatwa watasindikizwa kurejea nyumbani.

15 Desemba, 2025
Muongoza Filamu wa Hollywood Rob Reiner na Mkewe Michele Wafariki Ghafla Los Angeles
Wanandoa Rob Reiner na mkewe Michele wamepatikana wakiwa wamekufa nyumbani kwao Los Angeles, huku polisi wakichunguza tukio hilo kama mauaji yanayowezekana.



