Afrika

Umoja wa Mataifa: Droni zaua raia zaidi ya 100 Sudan tangu Disemba 4

“Nimeshtushwa na kuongezeka kwa mashambulizi,” amesema Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN, Volker Türk.

Newstimehub

Newstimehub

16 Desemba, 2025

7ed4489e4665c28caf2868bf9aef4427de237f4d97a14d2a59e4b1f03ba168e8

Umoja wa Mataifa umesema raia wasiopungua 104, wakiwemo watoto 43, wameuawa katika mashambulizi ya droni eneo la Kordofan nchini Sudan tangu Disemba 4. Mashambulizi hayo yamelenga maeneo ya kiraia ikiwemo hospitali na shule, huku pande zinazozozana zikiendelea kulaumiana kuhusu matumizi ya ndege zisizo na rubani.

CHANZO: TRT Afrika