Urusi na China Zakubaliana Viza ya Bila Malipo kwa Raia Wake

Makubaliano mapya yanawawezesha raia wa China na Urusi kupata viza ya bila malipo kwa siku 30, huku masharti maalum yakizingatiwa.
1 Desemba, 2025
Netanyahu Amuomba Rais wa Israel Kumsamehe

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amewasilisha ombi la kusamehewa kwa Rais Isaac Herzog, akisema masilahi ya kitaifa yamemlazimisha kuchukua hatua hiyo.
1 Desemba, 2025
Rais Museveni Hathudhurii Mdahalo wa Wagombea Urais Uganda

Rais Museveni, anayeingia madarakani kwa awamu ya 7, hatashiriki mdahalo wa wagombea urais ambapo angekabiliana moja kwa moja na mpinzani wake mkuu, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine.
1 Desemba, 2025
Mzigo wa Burundi: Wakimbizi wa DRC waliokwama katikati ya vita na majanga

Hali mbaya kwa watu iliyosababishwa na vita nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imefanya maelfu ya wakimbizi kutoka DRC kuishi katika kambi zenye watu wengi nchini Burundi, kuwepo kwa maradhi, na kupungua kwa misaada.
8 Mei, 2025

Bunge la Ulaya kujadili swala la Lissu

Tanzania: Chama cha CHADEMA chahoji alipo Mwenyekiti wake Tundu Lissu

Tanzania: Chama cha ACT Wazalendo kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025


