29 Desemba, 2025

Uchaguzi wa Guinea: Doumbouya akielekea kuthibitishwa rais wa kiraia

Kipaumbele chetu ni kurejesha hali ya kawaida na utulivu nchini Guinea.

225

27 Desemba, 2025

Nchi za Kanda Zasimama na Somalia Kufuatia Israel Kutambua Somaliland

Somalia ni taifa huru lenye mamlaka kamili, na mipaka yake inapaswa kuheshimiwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa.

203

15 Desemba, 2025

Bobi Wine alishtumu jeshi la Uganda kwa kuwazuia raia kinyume cha sheria

Jeshi halina mamlaka ya kuwashikilia raia; hiki ni kitendo cha wazi cha ukiukwaji wa sheria.

135

12 Desemba, 2025

Eritrea yajiondoa IGAD kwa mara ya pili, yakosoa kukosa dira kwa jumuiya hiyo

Jumuiya imepoteza dira na imeshindwa kuwakilisha matarajio ya wananchi wa kanda.

f4a925b2869f4e9e4786fd3532f250ef5ed33cdacb01e1148b49f1eeda8483d5

8 Desemba, 2025

“Uganda Sio Nchi ya Kuchezewa” – Museveni

Atoa onyo kali kwa wapinzani wakati wa mkutano wa NRM Lango.

85 1

8 Desemba, 2025

Kiongozi wa Upinzani Uganda Alaani Mashambulizi ya Maafisa wa Usalama

Bobi Wine adai kupigwa pamoja na wafuasi wake wakati wa kampeni, huku Umoja wa Mataifa ukionya kuhusu ukandamizaji unaoongezeka.

86

8 Desemba, 2025

Congo Yaituhumu Rwanda na M23 kwa Mashambulizi ya Mizinga, Kigali Yakanusha

DRC yasema mabomu yalirushwa kutoka Rwanda wakati makubaliano ya amani yakisainiwa Washington; Rwanda yaita madai hayo “kijinga.”

87 1

4 Desemba, 2025

Trump Kuandaa Utiaji Saini wa Amani kati ya DR Congo na Rwanda

“Majaribio ya kusabotisha mchakato wa amani yanaendelea,” jeshi la DR Congo limesema likiwatuhumu waasi wa M23.

82

4 Desemba, 2025

Afrika Kusini Yapisha G20 Wakati wa Uongozi wa Trump

“Kwa sasa tunachukua ‘commercial break’ hadi mambo yarudi kawaida,” – Vincent Magwenya

76 1

4 Desemba, 2025

Wajumbe wa Ukraine na Marekani wakutana Florida kujadili mpango wa amani baada ya Moscow

“Urusi inapaswa kukomesha umwagaji damu na kushirikiana kwa dhati katika mazungumzo ya amani.” — Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Andrii Sybhia

70
Inapakia...