Putin apongeza kuuteka mji wa Pokrovsk, akuitaja kama ushindi muhimu

Rais Vladimir Putin amesifu kuutekwa kwa mji wa Pokrovsk mashariki mwa Ukraine, akisema hatua hiyo itasaidia Urusi kufanikisha malengo yake ya vita, baada ya kukabiliana na upinzani mkali wa Ukraine.
2 Desemba, 2025
Putin atakutana na mjumbe wa Trump Moscow, matumaini ya amani ya Ukraine

Rais wa Urusi Vladimir Putin atakutana na mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff na Jared Kushner mjini Moscow, katika hatua inayolenga kufanikisha mpango wa amani unaoungwa mkono na Marekani.
2 Desemba, 2025
Uingereza Yatoa Wito wa Uhusiano wa Kibiashara na China Licha ya Tishio la Usalama

Waziri Mkuu Keir Starmer asema ingawa China ni “tishio la usalama wa kitaifa,” uhusiano wa karibu wa kibiashara unabaki kwa maslahi ya taifa.
2 Desemba, 2025
Mwelekezi wa Filamu wa Iran Jafar Panahi Ahukumiwa Kifungo Jela Wakati Akipokea Tuzo

Jafar Panahi amepokea kifungo cha mwaka mmoja jela kwa tuhuma za propaganda dhidi ya mfumo wa kisiasa, huku akishinda tuzo za filamu nchini Marekani.
2 Desemba, 2025

Zelensky: “Sasa Kuna Fursa ya Kumaliza Vita Hivi”

Rais Samia Asema Nguvu Iliyotumika Oktoba 29 Ilikuwa Ya Lazima

Trump afuta kila kumbukumbu ya Afrika Kusini kutoka tovuti ya G20 akiwa anaanza uenyekiti wa Marekani

Trump atakutana na Tshisekedi na Kagame Washington kufungua mkataba wa amani

Mtangazaji wa South Africa akamatwa kwa kupanga kujiunga na jeshi la Urusi
2 Desemba, 2025
Wajumbe wa ECOWAS waanzisha mazungumzo na viongozi wa mpito Guinea-Bissau
ECOWAS yashinikiza kurejeshwa kwa utawala wa kikatiba.

1 Desemba, 2025
Mchungaji wa Nigeria asema Trump anatafuta mafuta ya Nigeria
“Pengo la Trump ni rasilimali za Nigeria, hasa mafuta na sekta za teknolojia,” alisema mchungaji Tunde Bakare.

1 Desemba, 2025
Mapinduzi Mazuri na Mabaya”: Makadirio ya Rais Kagame Kuhusu Mapinduzi ya Kijeshi
Rais wa Rwanda, Paul Kagame, anasema kuwa si kila mapinduzi ya kijeshi ni sawa, akionyesha tofauti kati ya yale yanayotokea kutokana na kutoridhika kwa wananchi na yale ya viongozi wakiitumia nguvu kufanikisha madaraka

1 Desemba, 2025
Urusi na China Zakubaliana Viza ya Bila Malipo kwa Raia Wake
Makubaliano mapya yanawawezesha raia wa China na Urusi kupata viza ya bila malipo kwa siku 30, huku masharti maalum yakizingatiwa.

1 Desemba, 2025
Netanyahu Amuomba Rais wa Israel Kumsamehe
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amewasilisha ombi la kusamehewa kwa Rais Isaac Herzog, akisema masilahi ya kitaifa yamemlazimisha kuchukua hatua hiyo.

1 Desemba, 2025
Rais Museveni Hathudhurii Mdahalo wa Wagombea Urais Uganda
Rais Museveni, anayeingia madarakani kwa awamu ya 7, hatashiriki mdahalo wa wagombea urais ambapo angekabiliana moja kwa moja na mpinzani wake mkuu, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine.

8 Mei, 2025
Mzigo wa Burundi: Wakimbizi wa DRC waliokwama katikati ya vita na majanga
Hali mbaya kwa watu iliyosababishwa na vita nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imefanya maelfu ya wakimbizi kutoka DRC kuishi katika kambi zenye watu wengi nchini Burundi, kuwepo kwa maradhi, na kupungua kwa misaada.

6 Mei, 2025
Bunge la Ulaya kujadili swala la Lissu
Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) linatarajiwa kufanya mjadala wa dharura tarehe 7 Mei 2025 kujadili hali ya kisiasa nchini Tanzania.

21 Aprili, 2025
Tanzania: Chama cha CHADEMA chahoji alipo Mwenyekiti wake Tundu Lissu
Lissu anashikiliwa katika gereza la Keko kwa tuhuma za Uhaini zinazomkabili.

21 Aprili, 2025
Tanzania: Chama cha ACT Wazalendo kushiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025
Kulingana na kiongozi wa chama hicho Dorothy Semu, kufanya hivyo itakuwa ni sawa na kuwapa chama tawala cha CCM nafasi ya ushindi.



