Snoop Dogg ameteuliwa na USOPC kuwa kocha wa heshima wa Timu ya Marekani katika Olimpiki za msimu wa baridi 2026. Atasaidia kuinua morali ya wanariadha nje ya uwanja, akitumia ucheshi na ushawishi wake. Rapa huyo awali alishiriki Olimpiki za Paris 2024 kama mwandishi maalum na mtumbuizaji.
CHANZO: BBC NEWS














