26 Januari, 2026

Bei ya dhahabu yavunja rekodi, yazidi $5,000 kwa wakia

Mahitaji ya mali salama (safe-haven assets) yameongezeka kutokana na hofu ya kisiasa na kiuchumi.

361

25 Januari, 2026

Libya yaongeza uzalishaji wa mafuta hadi kiwango cha rekodi

Libya yazalisha mapipa milioni 1.37 kwa siku mwaka 2025.

358

15 Januari, 2026

Kenya yapata makubaliano ya awali na China ya bidhaa bila ushuru

Makubaliano haya ya awali yanaruhusu asilimia 98.2 ya bidhaa za Kenya kuingia China bila ushuru.

285

18 Desemba, 2025

Mapato ya Mauzo ya Nje Uganda Yakaribia Kuongezeka Maradufu kutokana na Kahawa na Dhahabu

“Mapato ya Uganda kutokana na mauzo ya bidhaa nje yameongezeka kwa kiasi kikubwa, yakichochewa na kahawa, kakao na dhahabu,” imesema ripoti ya Wizara ya Fedha.

163

4 Desemba, 2025

Kenya Kuuza 15% ya Hisa za Safaricom kwa Vodacom ya Afrika Kusini

“Vodacom italipa shilingi 34 kwa kila hisa, juu ya 20% ya bei ya soko,” – Safaricom

75 1

3 Desemba, 2025

Uturuki Yaweka Rekodi ya Ukuaji wa 3.7%, Utalii Kufikia $50 Bilioni – Erdogan

Rais asema uchumi, utalii, ushirikiano na Afrika na sekta ya ulinzi vinaendelea kupaa.

51 1

2 Desemba, 2025

Mali yarudisha dola bilioni 1.2 za madeni ya kampuni za madini chini ya sheria mpya

Mali yarudisha dola bilioni 1.2 kutoka kwa kampuni za madini baada ya ukaguzi na sheria mpya ya madini.

35

2 Desemba, 2025

Mbio za ngamia Maralal zainua utamaduni na uchumi wa kaskazini mwa Kenya

Tamasha la mbio za ngamia la Maralal lashirikisha wanariadha, watalii na jamii.

31

1 Desemba, 2025

Mchungaji wa Nigeria asema Trump anatafuta mafuta ya Nigeria

“Pengo la Trump ni rasilimali za Nigeria, hasa mafuta na sekta za teknolojia,” alisema mchungaji Tunde Bakare.

26

1 Desemba, 2025

Uchumi wa Uturuki Wakua kwa Asilimia 3.7 Katika Robo ya Tatu ya Mwaka

Takwimu za TurkStat zinaonyesha pato la taifa la Uturuki kufikia dola bilioni 409.6 kati ya Julai na Septemba, huku ukuaji ukitarajiwa kubaki thabiti mwaka mzima.

21
Inapakia...