Wakulima wa Kakao Ivory Coast Wakabiliwa na Kupunguzwa kwa Bei kwa Asilimia 60

Wakulima wa kakao nchini Ivory Coast wanatarajiwa kupata punguzo kubwa la bei ya mazao yao, hali inayoweza kuathiri mapato yao.
5 Mechi, 2026
Yoweri Museveni Azindua Kampuni ya Kwanza ya Bima ya Kiislamu Uganda

Hili si jambo geni, ni njia yetu ya kitamaduni.
4 Mechi, 2026
Qatar Yafunga Vituo Viwili vya Nishati Baada ya Kushambuliwa na Iran

Qatar imelazimika kusitisha shughuli katika vituo viwili vya nishati kufuatia uharibifu uliosababishwa na mashambulizi ya Iran.
4 Mechi, 2026
Watu Sita Wafariki Dunia Kufuatia Kuporomoka kwa Mgodi Mashariki mwa DR Congo

Ajali ya kuporomoka kwa shimo la mgodi katika mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesababisha vifo vya watu wasiopungua sita.
4 Mechi, 2026

Ufaransa Yatuma Meli ya Kivita ya Kubeba Ndege Bahari ya Mediterania Kulinda Usafirishaji

Mgogoro wa Mashariki ya Kati Wakwaza Biashara ya Nyama Kenya

Tanzania Yakabiliwa na Athari za Mgogoro wa Mashariki ya Kati

Meli za kimataifa zalazimika kuzunguka Afrika baada ya hatari Hormuz kuongezeka

Afrika Kusini Yagundua Maelfu ya Wafanyakazi Hewa Serikalini
26 Januari, 2026
Bei ya dhahabu yavunja rekodi, yazidi $5,000 kwa wakia
Mahitaji ya mali salama (safe-haven assets) yameongezeka kutokana na hofu ya kisiasa na kiuchumi.

25 Januari, 2026
Libya yaongeza uzalishaji wa mafuta hadi kiwango cha rekodi
Libya yazalisha mapipa milioni 1.37 kwa siku mwaka 2025.

15 Januari, 2026
Kenya yapata makubaliano ya awali na China ya bidhaa bila ushuru
Makubaliano haya ya awali yanaruhusu asilimia 98.2 ya bidhaa za Kenya kuingia China bila ushuru.

18 Desemba, 2025
Mapato ya Mauzo ya Nje Uganda Yakaribia Kuongezeka Maradufu kutokana na Kahawa na Dhahabu
“Mapato ya Uganda kutokana na mauzo ya bidhaa nje yameongezeka kwa kiasi kikubwa, yakichochewa na kahawa, kakao na dhahabu,” imesema ripoti ya Wizara ya Fedha.

4 Desemba, 2025
Kenya Kuuza 15% ya Hisa za Safaricom kwa Vodacom ya Afrika Kusini
“Vodacom italipa shilingi 34 kwa kila hisa, juu ya 20% ya bei ya soko,” – Safaricom

3 Desemba, 2025
Uturuki Yaweka Rekodi ya Ukuaji wa 3.7%, Utalii Kufikia $50 Bilioni – Erdogan
Rais asema uchumi, utalii, ushirikiano na Afrika na sekta ya ulinzi vinaendelea kupaa.

2 Desemba, 2025
Mali yarudisha dola bilioni 1.2 za madeni ya kampuni za madini chini ya sheria mpya
Mali yarudisha dola bilioni 1.2 kutoka kwa kampuni za madini baada ya ukaguzi na sheria mpya ya madini.

2 Desemba, 2025
Mbio za ngamia Maralal zainua utamaduni na uchumi wa kaskazini mwa Kenya
Tamasha la mbio za ngamia la Maralal lashirikisha wanariadha, watalii na jamii.

1 Desemba, 2025
Mchungaji wa Nigeria asema Trump anatafuta mafuta ya Nigeria
“Pengo la Trump ni rasilimali za Nigeria, hasa mafuta na sekta za teknolojia,” alisema mchungaji Tunde Bakare.

1 Desemba, 2025
Uchumi wa Uturuki Wakua kwa Asilimia 3.7 Katika Robo ya Tatu ya Mwaka
Takwimu za TurkStat zinaonyesha pato la taifa la Uturuki kufikia dola bilioni 409.6 kati ya Julai na Septemba, huku ukuaji ukitarajiwa kubaki thabiti mwaka mzima.


