Malcolm-Jamal Warner, mwigizaji wa ‘Cosby Show’ afariki dunia akiwa na umri wa miaka 54

Warner alifanya kazi kwa zaidi ya miaka 40 kama mwigizaji na mkurugenzi, pia akiigiza katika vichekesho “Malcolm & Eddie” na “Read Between the Lines,” na katika tamthiliya ya matibabu “The Resident.”
22 Julai, 2025
Ndege ya jeshi la anga la Bangladesh imeanguka katika chuo kikuu cha Dhaka, angalau watu 19 wamefariki

Zaidi ya watu 100, ikiwa ni pamoja na wanafunzi 70, wamejeruhiwa kutokana na moto baada ya ndege ya mafunzo kuanguka katika jengo la Milestone School and College katika eneo la Uttara.
22 Julai, 2025
Iran, Nchi za EU Kukubaliana Kuendelea na Majadiliano ya Nyuklia mjini Istanbul

Majadiliano haya yatafuata baada ya mazungumzo ya Tehran na Marekani kukatizwa na mapigo yasiyokuwa na sababu ya Israel katika nchi hiyo.
21 Julai, 2025
Maafisa wa Marekani wanasemekana kuwa wamechoka na Netanyahu akiwa kama ‘mwendawazimu’ baada ya mapigano ya Syria

Axios anasema maafisa wa ikulu ya White House wamesema matendo ya Netanyahu yanaweza kudhoosha juhudi za amani za Trump katika eneo hilo.
21 Julai, 2025

Je, ni nini nyuma ya ‘hatua za kuwaondoa Waislamu’ huko Assam India?

Serikali ya Syria yatangaza kusitisha mapigano mara moja huko Sweida

Zaidi ya 300 wameuawa katika mapigano ya Sweida tangu Jumapili: Kundi la haki za Syria

Watu wasiopungua watatu wauawa, 34 wajeruhiwa wakati Israel ikishambulia mji mkuu wa Syria

Rais wa Iran ‘alijeruhiwa kidogo’ katika shambulio la mwezi uliopita la Israel: ripoti
2 Juni, 2025
Shambulio lililotokea Boulder, Colorado lisababisha majeruhi wengi
Mkuu wa Polisi wa Boulder Stephen Redfearn hakuliita shambulizi la kigaidi kwa wakati huu, wakati FBI inaelezea kama hivyo.

1 Juni, 2025
Wawili wauawa, mamia wamekamatwa nchini Ufaransa baada ya ushindi wa Ligi ya Mabingwa wa PSG
Wakati wa sherehe kote nchini, raia 192, polisi 22 na wazima moto saba pia walijeruhiwa.

29 Mei, 2025
Kremlin yasema bado hakuna mpango wa mazungumzo ya simu kati ya Putin na Trump
Kremlin imesema bado hakuna mpango wa mazungumzo kwa njia ya simu kati ya Putin na Trump.

28 Mei, 2025
Ndege iliyomuacha hujaji wa Libya, iliharibika mara mbili
Katika matukio ya ajabu, ndege ya Hajj inayokwenda Saudia Arabia ililazimu kugeuka mara mbili baada ya kijana mmoja kutoka Libya kutoruhusiwa kupanda ndege.

25 Mei, 2025
Urusi na Ukraine zakamilisha ubadilishaji mkubwa zaidi wa wafungwa chini ya makubaliano ya Istanbul
Uturuki iliwezesha mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja kati ya Urusi na Ukraine katika kipindi cha miaka mitatu mnamo Mei 16 huko Istanbul, ambapo pande zote mbili zilikubaliana kwa kubadilishana kwa kiasi kikubwa wafungwa.

21 Mei, 2025
Rais Cyril Ramaphosa na Donald Trump ‘watofautiana’ kuhusu wakulima wazungu
Ni kitu cha ajabu. Sijawahi kuona kitu kama hicho,” alisema Rais wa Marekani Donaldo Trump akizungumzia madai ya mateso dhidi ya wakulima wazungu nchini Afrika Kusini.

20 Mei, 2025
Ramaphosa wa Afrika Kusini awasili Marekani kwa Mazungumzo na Trump
Ushirikiano wa kidiplomasia kati ya Pretoria na Washington umetetereka tangu Rais Donald Trump kuingia madarakani Januari.

19 Mei, 2025
Mfalme Charles III wa Uingereza amtakia nafuu Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden
Biden, mwenye umri wa miaka 82, aligundulika kuwa na ugonjwa wa tezi dume baada ya kufanyiwa vipimo siku ya Ijumaa.

18 Mei, 2025
Papa Leo XIV aanza rasmi kazi baada ya sherehe ya kusimikwa Vatican
Waumini walibeba bendera za Marekani na Peru kumshangilia papa wa kwanza kutoka Marekani, ambaye ataadhimisha Misa yake ya uzinduzi baadaye Jumapili asubuhi.

17 Mei, 2025
Marekani inapanga kuwahamisha Wapalestina milioni moja kutoka Gaza hadi Libya – Ripoti
Kwa kuwakubali Wapalestina waliofukuzwa, Marekani ingetoa kwa Libya mabilioni ya dola za fedha ambazo ilizizuia zaidi ya muongo mmoja uliopita, NBC News inaripoti.




