2 Juni, 2025

Shambulio lililotokea Boulder, Colorado lisababisha majeruhi wengi

Mkuu wa Polisi wa Boulder Stephen Redfearn hakuliita shambulizi la kigaidi kwa wakati huu, wakati FBI inaelezea kama hivyo.

2a2de8607acd13eaaa16f9cc9b2816aec9ac036a76e5c261332e09cb33ba4a2c

1 Juni, 2025

Wawili wauawa, mamia wamekamatwa nchini Ufaransa baada ya ushindi wa Ligi ya Mabingwa wa PSG

Wakati wa sherehe kote nchini, raia 192, polisi 22 na wazima moto saba pia walijeruhiwa.

f40e9e8b07dfe6c532473155f1cf7903deebb946c0dd088c7e8b2bd0ec776a57

29 Mei, 2025

Kremlin yasema bado hakuna mpango wa mazungumzo ya simu kati ya Putin na Trump

Kremlin imesema bado hakuna mpango wa mazungumzo kwa njia ya simu kati ya Putin na Trump.

russia putin 49526

28 Mei, 2025

Ndege iliyomuacha hujaji wa Libya, iliharibika mara mbili

Katika matukio ya ajabu, ndege ya Hajj inayokwenda Saudia Arabia ililazimu kugeuka mara mbili baada ya kijana mmoja kutoka Libya kutoruhusiwa kupanda ndege.

gsa94v1xkaar6dz

25 Mei, 2025

Urusi na Ukraine zakamilisha ubadilishaji mkubwa zaidi wa wafungwa chini ya makubaliano ya Istanbul

Uturuki iliwezesha mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja kati ya Urusi na Ukraine katika kipindi cha miaka mitatu mnamo Mei 16 huko Istanbul, ambapo pande zote mbili zilikubaliana kwa kubadilishana kwa kiasi kikubwa wafungwa.

fab 1 2 3

21 Mei, 2025

Rais Cyril Ramaphosa na Donald Trump ‘watofautiana’ kuhusu wakulima wazungu

Ni kitu cha ajabu. Sijawahi kuona kitu kama hicho,” alisema Rais wa Marekani Donaldo Trump akizungumzia madai ya mateso dhidi ya wakulima wazungu nchini Afrika Kusini.

gettyimages 2216313099

20 Mei, 2025

Ramaphosa wa Afrika Kusini awasili Marekani kwa Mazungumzo na Trump

Ushirikiano wa kidiplomasia kati ya Pretoria na Washington umetetereka tangu Rais Donald Trump kuingia madarakani Januari.

grvqyswwcaeqtk0

19 Mei, 2025

Mfalme Charles III wa Uingereza amtakia nafuu Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden

Biden, mwenye umri wa miaka 82, aligundulika kuwa na ugonjwa wa tezi dume baada ya kufanyiwa vipimo siku ya Ijumaa.

gettyimages 2214733989

18 Mei, 2025

Papa Leo XIV aanza rasmi kazi baada ya sherehe ya kusimikwa Vatican

Waumini walibeba bendera za Marekani na Peru kumshangilia papa wa kwanza kutoka Marekani, ambaye ataadhimisha Misa yake ya uzinduzi baadaye Jumapili asubuhi.

2025 05 18t093801z 54315208 rc28keamuk1h rtrmadp 3 pope leo

17 Mei, 2025

Marekani inapanga kuwahamisha Wapalestina milioni moja kutoka Gaza hadi Libya – Ripoti

Kwa kuwakubali Wapalestina waliofukuzwa, Marekani ingetoa kwa Libya mabilioni ya dola za fedha ambazo ilizizuia zaidi ya muongo mmoja uliopita, NBC News inaripoti.

fab 1 2 3
Inapakia...