Trump atishia kumshtaki Trevor Noah baada ya utani wa Grammys

Trevor Noah atangaza huu ndio mwaka wake wa mwisho kuandaa Grammys.
2 Februari, 2026
Uturuki na Saudi Arabia zaimarisha ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi kwa ajili ya uthabiti wa kikanda

Erdogan atafanya ziara muhimu Riyadh, akikaribishwa na Mwana Mfalme Mohammed bin Salman.
2 Februari, 2026
Rafah yafunguliwa tena: Wapalestina waruhusiwa kuvuka kwa masharti makali

Rafah yafunguliwa tena kwa watu wanaotembea kwa miguu, lakini kwa masharti makali.
2 Februari, 2026
Khamenei wa Iran anaonya kuhusu vita vya kikanda iwapo Marekani itashambulia

Taharuki iko juu sana kati ya Tehran na Washington baada ya vitisho vya vita vya Trump.
1 Februari, 2026

Iran yatangaza majeshi ya Ulaya kuwa ni ‘makundi ya kigaidi’ katika hatua ya kulipiza kisasi

Serikali ya Marekani yafungwa kwa muda

Russia, Ukraine zakabidhiana miili ya wanajeshi waliouwawa

Iran: Tunadhibiti maeneo yetu na Hormuz dhidi ya mashambulizi

Rwanda yapeleka kesi dhidi ya Uingereza kwa kuvunja mkataba wa wakimbizi
28 Januari, 2026
Iran yamnyonga ‘shushushu’ wa Israel
Kulingana na shirika la habari la Fars, mtu huyo anatuhumiwa kutoa taarifa za siri kwa shirika la ujasusi la Mossad la nchini Israel.

28 Januari, 2026
Mke wa rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa jela kwa kupokea rushwa
Kim, anatuhumiwa kukubali kupokea zawadi za begi na mkufu wa thamani kutoka kanisa moja nchini humo.

27 Januari, 2026
Meli ya kubeba ndege za kivita za Marekani kimeingia Mashariki ya kati
Kikosi cha mashambulizi cha wanamaji cha Marekani, kinachoongozwa na shehena ya ndege ya USS Abraham Lincoln, kinaingia katika maji ya Mashariki ya Kati – wakati Hezbollah inaungana na Tehran katika kuonya dhidi ya mashambuli

27 Januari, 2026
Trump: Iran “inataka kufanya mazungumzo” huku meli ya kivita ya Marekani ikiwasili Mashariki ya Kati
Rais Trump amesema Iran imekuwa ikijaribu kuwasiliana naye mara kwa mara wakati Marekani ikipeleka nguvu za kijeshi katika eneo hilo.

26 Januari, 2026
Benki ya Dunia na Qatar kushirikiana kusambaza umeme kwa watu milioni 300 Afrika
Makubaliano pia yanajumuisha kutengeneza ajira na kusaidia nchi zilizoathiriwa na migogoro.

26 Januari, 2026
Macron ataka kuunda upya uhusiano wa Ufaransa na Afrika
Macron asema Ufaransa inavunja mifumo ya kiukoloni na kujenga ushirikiano mpya.

26 Januari, 2026
Marekani yaongeza msaada wa kijeshi na kijasusi kwa Nigeria
Marekani yaongeza vifaa vya kijeshi na taarifa za kijasusi kwa Nigeria.

25 Januari, 2026
Waokoaji wahangaika kutafuta manusura katika maporomoko ya ardhi Indonesia
Makumi ya watu bado hawajulikani walipo huku waokoaji wa Indonesia wakipitia matope baada ya maporomoko ya ardhi kuzika nyumba na kusababisha vifo vya takriban watu 11.

24 Januari, 2026
Iran italichukulia shambulio lolote la Marekani kama ‘vita vya kila namna dhidi yetu’ – afisa mkuu
Tehran haitatofautisha ukubwa au asili ya shambulio lolote linaloweza kutokea, anasema afisa huyo huku meli za kivita za Marekani ikiwa ni pamoja na meli ya USS Abraham Lincoln, na ndege za kivita zikielekea Mashariki ya Kati

23 Januari, 2026
Marekani yajiondoa rasmi kutoka Shirika la Afya Duniani baada ya karibu miaka 78
Marekani imekamilisha kujiondoa kutoka WHO baada ya miaka 78 ya uanachama.



