Hamas yakubali kusalimisha silaha nzito katika ‘uamuzi mgumu’ kama sehemu ya makubaliano

Kundi la Wapalestina linaendelea na awamu ya pili ya mpango wa kusitisha mapigano Gaza unaoongozwa na Donald Trump.
1 Agosti, 2026
Gwiji wa soka wa Italia Franco Baresi afariki dunia

Baresi alikuwa sehemu ya kikosi cha Italia, kilichopoteza mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia kwa Brazil, mwaka 1994.
31 Julai, 2026
Taifa la Nauru labadilisha jina, sasa kuitwa Naoero

Uamuzi wa kubadili jina la taifa hilo, ulifikiwa mwezi Januari, kupitia muswada maalumu wa mabadiliko ya katiba ya nchi hiyo.
31 Julai, 2026
China yakana taarifa za kusafirisha vifaa vya kurusha makombora Iran

China imekanusha madai ya kuwa na mpango wa kusafirisha virusha makombora vinavyobebwa begani huku Pakistan ikikana kuhusika kwa namna yoyote katika mpango wa kusafirisha vifaa hivyo hadi Iran.
30 Julai, 2026

Marekani yaanzisha wimbi jipya la mashambulizi dhidi ya Iran

Watu wasiojulikana waharibu kituo cha hija ya Wakatoliki nchini Bosnia

Zelenskyy awasili Marekani, kukutana na Trump

Iran yazishutumu baadhi ya nchi kwa kushirikiana na Marekani kuishambulia

Iran imesema meli sita vimejaribu kuvuka Mlango Bahari wa Hormuz kinyume na utaratibu
26 Julai, 2026
Uganda yamteua Balozi Olara Otunnu kuwania nafasi ya Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa
Mpaka sasa, Otunnu atakuwa ni mgombea wa pili kutoka Afrika, baada ya rais wa zamani wa Senegal Macky Sall nae kuingia katika kinyang’anyiro hicho.

24 Julai, 2026
Venezuela yapanga kujiondoa ICC
Licha ya kujiondoa ICC, waendesha mashitaka wa mahakama hiyo, wamesisitiza kuwa, kesi za uhalifu wa kibinadamu zilizofunguliwa mwaka 2021, bado zitaendelea.

24 Julai, 2026
Marekani yatadhaharisha raia wake na uwezekano wa kushambuliwa Iraq
Ubalozi huo umewataka raia wa Marekani waliopo Iraq, kufuatilia vyombo vya habari wakati wote, kujiandaa kwa lolote na kufuata maelekezo kutoka mamlaka za Iraq.

24 Julai, 2026
Iran yakataa pendekezo la usitishaji mapigano la Marekani lililowasilishwa na Iraq: ripoti
Iran imekataa pendekezo la Marekani la usitishaji mapigano lililowasilishwa na Waziri Mkuu wa Iraq, Ali al-Zaidi, ambaye hivi karibuni amekutana na Rais wa Marekani Donald Trump katika Ikulu ya White House, kwa mujibu wa gazeti la The New York Times.

23 Julai, 2026
Raia wa Ghana waiomba ICC ichunguze ghasia za chuki dhidi ya wageni Afrika Kusini
Ombi hilo linaishutumu serikali ya Rais Cyril Ramaphosa kwa kushindwa kuzuia au kuwaadhibu wahusika wa uhalifu huo, ikiwemo uhalifu wa mauaji.

22 Julai, 2026
Trump ataka Infantino awe Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Infantino, mwenye umri wa miaka 56, amejenga ukaribu na Rais Trump, hususani wakati wa fainali za michuano ya Kombe la Dunia 2026, zilizoandaliwa kwa pamoja na Marekani, Mexico na Canada.

22 Julai, 2026
Iran yakana madai ya kuwa na mtambo wa Nyuklia
Kauli ya Iran inakuja baada ya Rais Donald Trump wa Marekani, kutishia kushambulia eneo la kati ya nchi hiyo.

22 Julai, 2026
Sanders: Israel haikuwa na haki ya kutekeleza mauaji ya halaiki Gaza
“Serikali ya Netanyahu yenye msimamo mkali Israel haipaswi kupata hata senti moja zaidi kutoka kwa walipa kodi wa Marekani,” anasema Seneta wa Marekani Sanders.

22 Julai, 2026
Makombora ya kisasa ya Iran ni “changamoto” kwa Marekani: ripoti
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, amesema kombora moja la Iran limefaulu kupenya.

22 Julai, 2026
Iran yaonya mashambulizi ya kikanda iwapo Marekani itashambulia maeneo yake ya nyuklia
Iran imesema shambulio lolote la Marekani katika maeneo yake ya nyuklia, litasababisha mashambulizi makali yatakayolenga Marekani na washirika wake.



