Afrika

Wamisri 14 wafariki baada ya boti la wahamiaji kuzama Crete

“Tunatoa wito kwa raia wa Misri kutohadaiwa na mitandao ya uhamiaji haramu,” ilisema Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri.

Newstimehub

Newstimehub

16 Desemba, 2025

77a8d444d5e83b5e2446b848d80fa21738f24baf06d7090d67635e960a8f0d03

Wamisri wasiopungua 14 wamefariki baada ya boti la wahamiaji kuzama karibu na bandari ya kisiwa cha Crete nchini Ugiriki. Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imesema boti hilo lilikuwa limebeba wahamiaji 34 kutoka mataifa mbalimbali na liliondoka kuelekea Ugiriki Disemba 7, huku ikionya dhidi ya hatari za uhamiaji haramu.

CHANZO: TRT Afrika