Zaidi ya wahamiaji 100 waachiliwa huru nchini Libya baada ya kutekwa na genge la majambazi

Zaidi ya wahamiaji 100 wameachiliwa kutoka utumwani baada ya kushikiliwa na genge moja mashariki mwa Libya ili kulipia fidia, mwanasheria mkuu wa nchi hiyo amesema.
15 Julai, 2025
Malawi yaanza kampeni rasmi kwa uchaguzi wa Septemba 16

Muda rasmi wa kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Malawi Septemba 16 umezinduliwa siku ya Jumatatu, huku kukiwa na hofu ya kisiasa katika nchi hiyo.
14 Julai, 2025
Mji wa kaskazini anakotoka Buhari unajiandaa kwa mazishi ya kiongozi huyo wa Nigeria

Maandalizi yameendelea siku ya Jumatatu eneo la Daura, katika mji wa kaskazini alikotoka aliyekuwa Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari kwa ajili ya mazishi yake.
14 Julai, 2025
Nigeria yatangaza siku ya Jumanne, Jula 15 sikukuu ya kitaifa kumuenzi Buhari

Serikali ya Nigeria imetangaza siku ya Jumanne, Julai 15 sikukuu ya kitaifa kumuenzi aliyekuwa Rais wa nchi hiyo ambaye amefariki dunia Muhammadu Buhari.
14 Julai, 2025

Upinzani Kenya yatishia kumrudisha Rais Ruto ICC

Kikao cha mawaziri wa mazingira barani Afrika AMNCEN, chang’oa nanga jijini Nairobi

Tume ya Uchaguzi Kenya yaonya viongozi dhidi ya matamshi potofu

Wakulima wa kahawa Rwanda kulipa nusu ya bei ya mbolea

Rais wa Cameroon Paul Biya, 92, anasema atawania kuchaguliwa tena muhula wa nane
14 Julai, 2025
Muhammadu Buhari: Rais wa zamani wa Nigeria afariki dunia akiwa na umri wa miaka 82
Rais wa zamani wa Nigeria Muhammadu Buhari amefariki dunia katika hospitali moja mjini London, Uingereza akiwa na umri wa miaka 82, msaidizi wake wa zamani wa vyombo vya habari vya kidijitali Bashir Ahmad alisema Jumapili.

13 Julai, 2025
Balozi wa Tanzania nchini Cuba ajiuzulu akilalamikia kufifia maadili katika serikali ya awamu ya 5
Balozi Humphrey Hesron Polepole pia alilalamikia kutovuka kwa maadili na sera za chama tawala CCM akiashiria hususan mchakato wa uteuzi wa wagombea ndani ya Chama uliomalizika hivi karibuni.

12 Julai, 2025
Umoja wa Mataifa umesitisha msaada wa chakula Afrika Magharibi na Kati kutokana na uhaba wa ufadhili
WFP inasema inahitaji dola milioni 494 kugharamia nusu ya pili ya 2025, lakini fedha hizo zimepungua kabisa, na hivyo kulazimika kuyapa kipaumbele makundi yaliyo hatarini zaidi.

12 Julai, 2025
Boeing yamfidia mwanamume ambaye familia yake ilikufa katika ajali ya Ethiopian Airlines
Familia ya Paul Njoroge ilikuwa ikielekea Kenya Machi 2019 kwa kutumia ndege ya Ethiopian Airlines Flight 302 ilipopata hitilafu na kudondoka chini.

12 Julai, 2025
Ugiriki yapitisha marufuku ya kuwapa hifadhi wakimbizi kutoka Afrika kupitia ufuo wa Libya
Inaashiria ugumu zaidi wa msimamo wa Ugiriki dhidi ya wahamiaji chini ya serikali ya mrengo wa kulia ya Waziri Mkuu Kyriakos Mitsotakis, ambayo imejenga uzio kwenye mipaka yake ya kaskazini mwa nchi kavu.

12 Julai, 2025
Zambia inawataka raia walio ng’ambo bila viza halali kurejea nyumbani
Taifa hilo la Kusini mwa Afrika ni miongoni mwa nchi 36 ambazo utawala wa Trump unapanga kuongeza marufuku ya kusafiri

11 Julai, 2025
Biya atangaza uchaguzi wa urais Cameroon kufanyika Oktoba
Rais Paul Biya, kiongozi wa nchi mwenye umri mkubwa zaidi duniani akiwa na miaka 92, hajasema kama ana nia ya kugombea kwa muhula mwingine.

11 Julai, 2025
Uganda yafungua tena mpaka wake na mashariki mwa DRC kunakodhibitiwa na waasi
Mpaka huo ulifungwa mwishoni mwa mwezi Januari baada ya waasi wa M23 kuchukuwa udhibiti wa Goma, mji mkuu wa mkoa wa DRC wa Kivu ya Kaskazini.

11 Julai, 2025
Nigeria yakataa ‘shinikizo’ la Marekani kukubali wahamiaji wa Venezuela
Trump amekuwa akitaka wahamiaji waondolewe kwa haraka, ikiwemo kuwapeleka katika mataifa ya tatu.

11 Julai, 2025
Kenya: Mwenyekiti na Makamishna wa tume ya IEBC waapishwa rasmi
Tume hiyo inajiandaa na kuiongoza nchi hiyo kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2027.



