Nigeria inakataa ‘shinikizo’ la Marekani la kuwakubali wakimbizi wa Venezuela

Trump amekuwa akishinikiza kuharakisha uhamisho, ikiwa ni pamoja na kutuma wahamiaji katika nchi nyengine nje ya Marekani.
11 Julai, 2025
DRC yaendelea kuongoza kwa ubora wa soka Afrika Mashariki

Kulingana na takwimu zilizotolewa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) hivi karibuni, taifa hilo linashika nafasi ya 61 ulimwenguni, ikiwa ni ya kwanza katika ukanda wa Afrika Mashariki.
11 Julai, 2025
Mwanaharakati na mjumbe wa amani Malala Yousafzai aitembelea Tanzania

Mshindi huyo wa tuzo ya amani ya Nobel, yupo Tanzania akihimiza elimu kwa watoto wa kike.
11 Julai, 2025
Benki ya Tanzania yaangazia mapato zaidi kutoka mauzo ya nje

Ukuaji wa mapato ya mauzo ya nje ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na mauzo ya nje ya dhahabu ya juu, korosho, kahawa, tumbaku, mkonge, na mazao ya bustani.
11 Julai, 2025

DRC inaendelea kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu

PSG ya Luis Enrique yaidhalilisha Real Madrid kwa kuichabanga mabao 4-0

Mazungumzo ya DRC-M23 ‘yanaendelea vizuri’: Mwanadiplomasia

Trump aliwaomba viongozi watano wa Afrika kuwapokea wahamiaji kutoka Marekani, Reuters imeripoti

Waasi wanaoungwa mkono na Rwanda nchini Congo waliwaua raia, Human Rights Watch inasema
3 Juni, 2025
Modibo Sacko wa Mali amechaguliwa kuwa rais mpya wa Mahakama ya Afrika
Jaji Modibo Sacko wa Mali amechaguliwa kuwa rais mpya wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR).

3 Juni, 2025
Wanaastronomia wanahofia athari ya Starlink kwenye uchunguzi wa darubini kubwa ya Afrika Kusini
Afrika Kusini ilisema itapitia sheria zake za sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano lakini haitarudi nyuma kwenye sera za serikali za kubadilisha uchumi miongo mitatu baada ya utawala wa wazungu wachache kumalizika.

2 Juni, 2025
Jeshi la Mali linasema limetibua shambulio katika kambi ya jeshi, ‘kuwakata makali’ magaidi 13
‘Jaribio la wapiganaji magaidi’ kutaka kuingia katika kambi ya jeshi ya Timbuktu lilitibuliwa, na hali sasa imetulia na ‘imedhibitiwa,’ Jeshi la Mali lilisema

2 Juni, 2025
Magaidi waua zaidi ya wanajeshi 30 Mali
Taarifa zinasema baada ya mauaji ya wanajeshi kadhaa katika eneo la Boulkessi katikati mwa Mali siku ya Jumapili, magaidi walifanya mashambulizi mengine Timbuktu Jumatatu.

2 Juni, 2025
Uganda: Mahujaji wa Namugongo
Namugongo nchini Uganda ina mojawapo ya maeneo makubwa zaidi ya Hija ya Kikristo barani Afrika kwa ajili ya kuwakumbuka Waanglikana 23 na wengine 22 wa Kikatoliki ambao waliuawa kati ya 1885 na 1887 kwa amri ya mfalme wa Buganda, Kabaka Mwanga II.

2 Juni, 2025
Rwanda yakabiliwa na changamoto ya ongezeko la uhalifu kwa watoto
Machi 2025, wanaharakati nchini Rwanda walitoa wito wa kuchukua hatua kali zaidi za serikali ili kuongeza msaada wa kisheria kwa watoto wanaotuhumiwa kwa uhalifu, wakihimiza marekebisho ya haraka ili kuboresha mchakato wa mahakama kwa watoto wadogo.

2 Juni, 2025
Kanisa Katoliki limefunga vituo vyake Kerio Valley baada ya ukosefu wa usalama
Katika taarifa kutoka kwa Watawa Wamishenari Wabenediktini, kanisa linasema limelazimika kufunga shughuli katika mkoa huo ambao umegeuka kuwa bonde la kifo.

2 Juni, 2025
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) kuwachagua viongozi wapya
Rais wa sasa anayeondoka ni Lady Justice Imani Daud Aboud, raia wa Tanzania.

2 Juni, 2025
Kiongozi wa Chadema Tanzania, Tundu Lissu arudishwa mahakamani
Tundu Lissu ambaye ni Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema akabiliwa na kesi kadhaa ikiwemo ya uhaini.

2 Juni, 2025
Waziri Mkuu mpya wa Sudan, Kamil avunja serikali ya muda
Hoja ya Kamil Idris inalenga kufungua njia kwa Baraza jipya la Mawaziri huku kukiwa na vita vinavyoendelea na ukosefu wa utulivu wa kisiasa.



