Rais wa Kenya ateua makamishna wa tume huru ya uchaguzi

Rais wa Kenya William amemteua Erastus Edung Ethekon kuwa mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi nchini humo.
8 Mei, 2025
Rwanda yatuma maafisa wa polisi Jamhuri ya Afrika ya Kati

Rwanda ilianza oparesheni zake za usaidizi wa amani nchini CAR mwaka 2014, na kwa sasa ina vikosi vinne nchini humo.
8 Mei, 2025
Rais wa Tanzania amewafutia rasmi faini za madeni ya bili za maji raia wake

Baadhi ya raia wa Tanzania wanaodaiwa faini ya bili za maji, wamepata afuweni baada ya rais Samia Suluhu Hassan kutangaza kuwafutia mzigo huo wadaiwa.
8 Mei, 2025
Wanamgambo wa RSF waanzisha mashambulizi mapya katika maeneo ya mashariki, kusini mwa Sudan

Mashambulizi yamelenga maghala ya kimkakati ya mafuta na kambi za kijeshi nchini Sudan, ikijumuisha maeneo muhimu yanayodhibitiwa na jeshi kama vile Port Sudan na Kosti.
8 Mei, 2025

Kenya yasajili wafungwa katika huduma mpya ya bima ya taifa ya afya

UAE ‘haitambui’ uamuzi wa Sudan wa kukata uhusiano wa kidiplomasia

Moshi mweusi Vatican mchakato wa kura siku ya kwanza wakamilika

Urusi, Jamhuri ya Congo yajadiliana kuhusu kuimarisha ushirikiano wa kijeshi

Serikali ya Trump inapanga kuwasafirisha wakimbizi Libya kwa kutumia ndege za kijeshi
7 Mei, 2025
Jela kwa wasafirishaji wa siafu Kenya
Miongoni mwa wanne hao kuna raia wawili wa Ubelgiji ambao walipatikana na hatia kwa kujaribu kusafirisha siafu hao adimu nje ya nchi.

7 Mei, 2025
Rwanda kuongeza wakunga 5000
Wizara ya afya inasema kuna wakunga 2,236 pekee waliosajiliwa na kupewa leseni koite nchini kufikia Machi mwaka huu.

6 Mei, 2025
DRC na waasi wa M23 waanza tena mazungumzo ya amani mjini Doha
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wameanza tena mazungumzo ya amani nchini Qatar, vyanzo vya habari vililiambia shirika la Reuters Jumanne.

6 Mei, 2025
Wanajeshi watatu wa Rwanda wauawa nchini Msumbiji
Mashambulizi nchini Msumbiji yamesababisha kuuawa kwa wanajeshi watatu wa Rwanda na kuwajeruhi wengine sita, msemaji wa jeshi la Rwanda alisema siku ya Jumanne.

6 Mei, 2025
Sudan yasitisha uhusiano wa kidiplomasia na UAE
Sudan imeitaja UAE kama ‘taifa la uchokozi,’ huku taifa hilo la Ghuba likikanusha madai ya kuwaunga mkono wapiganaji wa RSF

6 Mei, 2025
Tanzania yatishia kufuta leseni za uchimbaji madini kwa waliokiuka masharti
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini yatoa hati za makosa kwa makampuni 95 ya uchimbaji madini yaliyokiuka masharti ya Leseni.

6 Mei, 2025
Wakuu wa Majeshi ya Afrika waanza ziara rasmi ya siku 10 China
Karibu maafisa 100 wa majeshi kutoka zaidi ya nchi 40, ikiwemo Misri, Msumbiji, Tanzania, na Kenya wanafanya ziara China hadi 15 Mei

6 Mei, 2025
Mahakama ya UN yakataa kujihusisha na jaji wa Uganda aliyefungwa Uingereza
Mahakama ya Uingereza imesema kama wakili aliyehitimu, jaji wa Mahakama Kuu ya Uganda na jaji wa Mahakama ya Uhalifu ya Umoja wa Mataifa, Lydia Mugambe alielewa sheria na akachagua kuzipuuza.

6 Mei, 2025
Mfululizo wa mashambulizi ya RSF Port Sudan
Vikosi vya Rapid Support Forces, RSF, vinalenga bandari, uwanja wa ndege na kambi ya kijeshi katika mji wa Port Sudan katika mashambulio ya hivi punde ya ndege zisizo na rubani.

6 Mei, 2025
Rais wa Kenya apokea majina ya maafisa walioteuliwa katika Tume Huru ya Uchaguzi
Mwaka 2024 Rais Ruto alishutumiwa na wananchi na wachambuzi wa kisiasa kwa kuchelewa kuunda Tume ya Uchaguzi.



