9 Juni, 2026

Trump: Helikopta ya Jeshi la Marekani imedunguliwa na Iran, tutalipiza kisasi

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa marubani wako salama baada ya helikopta ya Marekani kudunguliwa na Iran karibu na Mlango-Bahari wa Hormuz.

2026 06 09t063812z 1973947870 rc24qla81cqt rtrmadp 3 usa trump

9 Juni, 2026

Wakazi wa Afrika Kusini KwaZulu-Natal katika tahadhari baada ya simba kutoroka hifadhi ya wanyama

Onyo hilo linakuja wakati mamlaka ya wanyamapori huko Mpumalanga hivi majuzi ilihitimisha operesheni nyingine inayohusisha simba watoro.

c6222d15801f9d2d9ca0b340258d84dbaf04feb8952aee7c10f1a3c0d4c22839

9 Juni, 2026

FIFA yamuondoa mwamuzi kutoka somalia Artan katika Kombe la Dunia baada ya kuzuiwa kuingia Marekani

FIFA imesema haina uwezo wa kushawishi Omar Artan kuruhusiwa kuingia nchini Marekani, na kusema uamuzi huo unabaki kwa Marekani ambayo ni nchi mwenyeji.

5b1a000f0777b85ab3d79a96dc66b8f6c6627bfc8feb21a1dca9557ba30b1e36

9 Juni, 2026

Waandamanaji wanaopinga kujengwa kwa kituo cha Marekani cha Ebola wakamatwa nchini Kenya

Ujenzi wa kituo cha Ebola ulizuiwa kwa muda na Mahakama ya Juu nchini Kenya na pia umekuwa ukipingwa na wanasiasa wa nchi hiyo.

67dd6fca16904dc721459fef10edbe40cb6ca545aae092a832bb698efb9b6a40

9 Juni, 2026

Mwendesha Mashtala wa ICC asimamishwa kazi kwa madai ya dhulma za ngono

Karim Khan atafikishwa kwa kamati ya nidhamu ambayo inawakilishwa na mataifa wanachama 125, kulingana na ICC.

d91d554bbbcc7d09a9783956e7029ce4527a07e38bfb2e02f43db1ad96441c46

8 Juni, 2026

Mahakama Kuu ya Kenya: Mchakato wa kumuondoa Gachagua madarakani ulifuata Sheria

Mahakama Kuu ya Kenya imeidhinisha kuondolewa madarakani kwa Gachagua, pamoja na kuamuru kulipwa fidia ya shilingi milioni 50 za Kenya kwa ukiukwaji wa haki zake.

2025 05 15t122810z 611303276 rc26ieaefafc rtrmadp 3 kenya politics

8 Juni, 2026

Mwamuzi wa kwanza wa Somalia aliyetarajiwa kuchezesha Kombe la Dunia azuiwa kuingia Marekani

Mwamuzi wa Soka Omar Artan alipewa tuzo ya mwamuzi bora zaidi Afrika 2025.

0f98a845f32bc37a7cf39bbb700ef7034e69203f09a9a121120dfe75c47950c0

8 Juni, 2026

Uhamiaji: Afrika Kusini kuhamisha vituo vya wakimbizi hadi maeneo ya mpakani

Rais Cyril Ramaphosa anasema Afrika Kusini haiwezi kukabiliana na changamoto za uhamiaji peke yake, na ametoa wito wa ushirikiano zaidi katika bara zima.

f093a2d5838a059ad77cf0c631e95d2c31d81a760ab6979b018652e1dd095250

8 Juni, 2026

Mauritius yakataa pendekezo lililoripotiwa la Marekani la kununua Visiwa vya Chagos

Mauritius inasisitiza kuwa mamlaka yake juu ya Visiwa vya Chagos haiwezi kujadiliwa.

gettyimages 1354445433

8 Juni, 2026

Wananchi waelimishwe kuhusu umuhimu wa kuandikishana mikataba ya ardhi-Wazri Mkuu wa Tanzania

Ushauri huo umetolewa kufuatia kuongezeka kwa wimbi la migogoro katika sekta ya ardhi.

a7c9bd88b22e39987f9024150d780e323d7cc6925188555ee7d773f859c65e17
Inapakia...