Mkuu wa WHO anasema Marekani ilitoa sababu za uongo kujiondoa uanachama

Tedros Adhanom Ghebreyesus anasema anatumai Marekani itarejea katika ushiriki kikamilifu katika WHO katika siku zijazo.
25 Januari, 2026
Mkuu wa afya Afrika atangaza dharura ya afya ya mpox imekwisha

Mpox sio tena dharura ya afya ya umma katika bara hilo, mkuu wa Afrika CDC alisema, akitaja ugunduzi ulioimarishwa, tiba na usambazaji wa chanjo.
24 Januari, 2026
WHO yaonya kuhusu mlipuko wa magonjwa ya maji katika maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko

Mafuriko yameathiri maeneo ya Malawi, Msumbiji, Afrika Kusini, Tanzania, Zambia na Zimbabwe. WHO imeomba mahitaji ya dharura ya kibinadamu kama makazi, maji salama na upatikanaji wa huduma muhimu za afya.
24 Januari, 2026
Rais wa Côte d’Ivoire Ouattara amteua kaka yake kama makamu wa waziri mkuu

Kakake rais, Tene Birahima Ouattara, atashikilia nafasi hiyo mpya pamoja na wizara ya ulinzi.
24 Januari, 2026

Mgodi wa dhahabu wa Sudan ulioporomoka na kuua watu sita huku makumi kadhaa wakisalia kukwama

Msumbiji inaomba msaada wa kibinadamu baada ya mafuriko mabaya zaidi katika miongo kadhaa

Tanzania: Utekelezwaji wa Bima ya Afya kwa Wote kuanza Januari 26

Mkuu wa Majeshi Uganda asema wamewaua wapinzani 30

Rais Putin wa Urusi ampongeza Rais Museveni wa Uganda
23 Januari, 2026
Morocco yasema mshikamano wa Afrika hautavunjwa na matukio ya fainali ya AFCON
Mfalme Mohammed wa Sita wa Morocco alisema siku ya Alhamisi kuwa undugu wa Afrika utaendelea kushamiri licha ya kile alichokiita vitendo “vya kusikitisha” vilivyotia doa fainali ya AFCON dakika za mwisho kati ya Morocco na Senegal.

23 Januari, 2026
Afrika Kusini yazidisha ukaguzi wa usafiri wa shule baada ya ajali mbaya
Magari 60 ya shule yamezuiwa baada ya ukaguzi wa usalama.

22 Januari, 2026
Rwanda kufanyia majaribio kliniki zenye kutumia teknolojia ya Akili Mnemba (AI)
Nchini Rwanda, muhudumu mmoja wa afya huhudumia wagonjwa 1,000, ambao ni uwiano tofauti na ule pendekezwa wa wahudumu wa afya wanne kwa kila wagonjwa 1,000.

22 Januari, 2026
Mbunge wa upinzani Uganda akamatwa kwa tuhuma za vurugu za uchaguzi
“Kukamatwa kwake kunahusiana na matukio ya vurugu za kisiasa.” — Polisi wa Uganda

22 Januari, 2026
China yapunguza mikopo kwa miradi mikubwa Afrika, yazingatia miradi midogo yenye faida kibiashara
Mikopo ya China kwa Afrika ilipungua kwa nusu hadi dola bilioni 2.1 mwaka 2024, kiwango cha chini zaidi tangu COVID-19.

22 Januari, 2026
IShowSpeed afikisha wafuasi milioni 50 akiwa kwenye ziara ya Afrika
“Anataka Wamarekani waone Afrika kama mahali pa kuja pia.” — Stevosky, YouTuber wa Nigeria

22 Januari, 2026
Boko Haram yashambulia Borno, wanajeshi wa Nigeria wauawa
Wanajeshi 8 wameuawa na 50 kujeruhiwa katika shambulio la Boko Haram.

22 Januari, 2026
Ouattara amteua tena Robert Beugré Mambé kuwa Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire
Mambé amepewa jukumu la kuunda serikali mpya haraka iwezekanavyo.

22 Januari, 2026
Trump aona nafasi ya maendeleo katika mazungumzo ya bwawa la Renaissance
“Bwawa limeziba kimsingi Mto Nile… ni jambo hatari.” — Donald Trump

22 Januari, 2026
Guinea-Bissau: Jeshi latangaza uchaguzi baada ya mapinduzi
Jeshi lilichukua madaraka ili kuzuia umwagaji damu kati ya wafuasi wa wagombea wapinzani.


