22 Mei, 2026

Waandamanaji wachoma kituo cha matibabu ya Ebola mashariki mwa DRC

Ghasia zilizuka katika Hospitali ya Rwampara mkoani Ituri baada ya familia za waathiriwa wa Ebola kudai miili ya ndugu zao kwa ajili ya mazishi, amesema afisa mmoja.

c8f4b5881be350fd0c642d861972e43c25c213744066fa5aa7ea6b84d9b3fcb6

22 Mei, 2026

Kenya kupunguza bei ya dizeli baada ya maandamano kuhusu ongezeko la gharama ya nishati

Katika hotuba kupitia televisheni, Rais wa Kenya William Ruto amesema kuwa ameagiza bei ya dizeli ipunguzwe kwa shilingi 10 kwa lita (dola 0.0772) katika mzunguko wa bei wa mwezi Juni na Julai.

a4bf4d00ee104cf4b6cadb6d56b38b83b9290100778b419a6e80d3e58155a212

21 Mei, 2026

Ugonjwa wa Ebola wasitisha mkutano kati ya Umoja wa Afrika na India

Ujazo wa biashara kati ya India na Afrika ulifikia Dola bilioni 93.69 kwenye mwaka wa fedha 2025-26.

1779380805461 qo4h9m be7713d338c887f1a412cb819eec01f32dd3fbd5f2ef3ab978726189edf9cd64

21 Mei, 2026

Ebola: Mkutano wa India na Afrika wa jijini New Delhi waahirishwa

Mkutano wa India na Afrika ulikuwa umeratibiwa kufanyika wiki ijayo lakini sasa utapangiwa tarehe nyingine.

7934a35a03a81507b40d3854e5eefc19418c76e8ec227fd29144e2871ca565c7

21 Mei, 2026

Urusi yaeleza wasiwasi wake kuhusu mlipuko wa Ebola huku Korea Kusini ikitoa tahadhari kwa Uganda

Urusi inasema iko tayari kutatua tatizo hilo huku Korea Kusini ikiwaomba raia wake kufuta au kuahirisha safari zao za kwenda Uganda.

aec504ca540930ee84f4582aa10e3352eadcec4ad3acfa6f177b381789ad2e28

21 Mei, 2026

DRC yaongeza uchunguzi wa Ebola katika mji wa Goma unaodhibitiwa na M23

Madereva na abiria walitakiwa kuacha magari, kunawa mikono, kuvaa barakoa na kupimwa joto kabla ya kuendelea na safari.

2026 05 21t085918z 1 lynxmpem4k0nh rtroptp 3 health ebola goma

21 Mei, 2026

DRC yasitisha mazoezi ya Kombe la Dunia kufuatia hofu ya Ebola

Kambi ya mazoezi ilikuwa ianze mjini Kinshasa kwa siku tatu lakini sasa imehamishwa na kupelekwa nchini Ubelgiji, kwa mujibu wa afisa wa timu hiyo.

1779346474659 o3z7o7 2588cb31b9be43919be247d36888e2392265bdc9ddd3272740b6f01cf9f59999

21 Mei, 2026

Uganda yakanusha madai ya Marekani ya kufadhili kliniki za Ebola nchini humo

Wizara ya afya ya Uganda inasema haina taarifa kuhusu pale vituo hivyo vya matibabu vilipo katika nchi yao.

1105d6734a4e9055a7a331c227a464df28a1d59ce07e97fafe00c8a182d4fa28

20 Mei, 2026

Kesi ya Félicien Kabuga yafutwa rasmi ndani ya Mahakama ya Umoja wa Mataifa

Kulingana na taarifa iliyotolewa na MICT, Mei 20, 2026, uamuzi huo umefikiwa kufuatia kifo cha Kabuga, aliyefariki dunia Mei 16, 2026 jijini The Hague nchini Uholanzi.

be9f9517ba7189466263cf4f3d926ad633d8231cfc4942ca39912444a2c75b81

20 Mei, 2026

Sierra Leone yakubali kupokea kundi la kwanza la wahamiaji wanaofukuzwa Marekani

Sierra Leone ni nchi ya hivi karibuni barani Afrika ambayo imeingia makubaliano kama hayo na Marekani, na itapokea ufadhili wa dola milioni 1.5 kusaidia mpango huo.

f087c1409c4e42c07cfcd8e38e9cadb9f8a7d2db5a7bacbd0c1e170ac204167f
Inapakia...