8 Desemba, 2025

Mufti Mkuu wa Tanzania ataka utulivu na mazungumzo kuelekea Disemba 9

Mufti Abubakar Zubeir awataka Watanzania kuepuka kauli za chuki

2672820345565707e70bdaec689140fb5272e36663b1f2f112158a1417724089

8 Desemba, 2025

Nigeria Yadhibiti Jaribio la Mapinduzi Benin kwa Msaada wa Kijeshi – Tinubu

Tinubu asema jeshi la Nigeria liliisaidia Benin kukabiliana na jaribio la mapinduzi

96

8 Desemba, 2025

Ushirikiano wa ulinzi Uturuki–Misri wazaa gari la ardhini lisilo na dereva ‘Aqrab’

Havelsan ya Uturuki na shirika la AOI la Misri wazindua magari mapya yasiyo na wahudumu—Aqrab na Hamza-1—katika maonyesho ya EDEX 2025 mjini Cairo.

91 1

8 Desemba, 2025

“Uganda Sio Nchi ya Kuchezewa” – Museveni

Atoa onyo kali kwa wapinzani wakati wa mkutano wa NRM Lango.

85 1

8 Desemba, 2025

Kiongozi wa Upinzani Uganda Alaani Mashambulizi ya Maafisa wa Usalama

Bobi Wine adai kupigwa pamoja na wafuasi wake wakati wa kampeni, huku Umoja wa Mataifa ukionya kuhusu ukandamizaji unaoongezeka.

86

8 Desemba, 2025

Congo Yaituhumu Rwanda na M23 kwa Mashambulizi ya Mizinga, Kigali Yakanusha

DRC yasema mabomu yalirushwa kutoka Rwanda wakati makubaliano ya amani yakisainiwa Washington; Rwanda yaita madai hayo “kijinga.”

87 1

8 Desemba, 2025

Nigeria Yahakikisha Kuachiliwa kwa Watoto 100 Waliotekwa katika Shule ya Kanisa

Waathirika wa utekaji wa Papiri, jimbo la Niger, wanatarajiwa kukabidhiwa kwa serikali ya jimbo baada ya wiki za sintofahamu.

88

8 Desemba, 2025

Benin Yawakamata Watu 14 Kufuatia Jaribio la Mapinduzi Lililoshindikana

Wanajeshi watuhumiwa kutangaza kumuondoa Rais Talon madarakani kabla ya serikali kudhibiti hali; AU na ECOWAS zatoa lawama.

2025 12 07t155130z 1 lynxmpelb6096 rtroptp 3 benin security main

7 Desemba, 2025

Mkuu wa AU Awaonya Wanajeshi wa Benin Waliojaribu Mapinduzi: “Rudini Kambini Mara Moja”

Mahmoud Ali Yousouf alaani jaribio la mapinduzi, aitaka Benin kuheshimu katiba huku akiionya Afrika kuhusu ongezeko la mapinduzi ya kijeshi.

2025 12 07t121822z 1674938726 rc2y6w9q1mxh rtrmadp 3 benin security main

7 Desemba, 2025

Serikali ya Benin Yasema Jaribio la Mapinduzi Limezimwa

Kundi la askari latangaza kumuondoa Rais Talon, lakini jeshi la kawaida ladhibiti hali; ECOWAS lalamikia “kuvuruga mapenzi ya wananchi.”

2025 12 07t120722z 1 lynxmpelb605q rtroptp 3 benin security main
Inapakia...