5 Mei, 2026

Shambulio la kigaidi la Boko Haram katika kambi ya jeshi Chad laua watu wasiopungua 24

Shambulio la usiku la wanaoshukiwa kuwa magaidi wa Boko Haram katika kambi ya jeshi Chad limewaua watu wasiopungua 24, afisa mmoja wa jeshi na msimamizi wa kanda walisema siku ya Jumanne.

b4d4196bb7dfcebc49ac69be1b2156a08bd6ead700c87b4a2ac9ccff211fccca

5 Mei, 2026

Ghana kuwa mwenyeji wa kongamano la dunia kuhusu fidia kwa watumwa

Maafisa wanasema mkutano huo wa jijini Accra unalenga kuendeleza mjadala zaidi ya kukiri kuelekea katika kuweka mifumo thabiti ya fidia.

d28b2394693b9e8fc1c468409c5edc1091bb93231a16d94ea2e4439af24d1283

5 Mei, 2026

Shirika la Afya Duniani (WHO) lathibitisha maambukizi ya kirusi cha Hanta

Shirika la WHO lilisema siku ya Jumanne, kuwa linaendelea kufanya mawasiliano na mgonjwa mmojawapo aliyesafiri na meli hiyo Aprili 25, 2026, kati ya Saint Helena na Johannesburg.

a8f790ce2572d302ede70c60692f8469485721bcd34daf08507cbe44d178ffca

5 Mei, 2026

Rais wa Taiwan asema hawatokubali kukandamizwa baada ya ziara yake ya Eswatini

Rais Lai Ching-te awali alipangwa kutembelea Eswatini mwezi Aprili lakini alilazimika kufuta safari hiyo.

97df908909c5c67f5d0fd287da54accfe374fe03cf1673cbe16e54600c634af8

5 Mei, 2026

Zambia yasema matamshi ya balozi wa Marekani anayeondoka ‘si ya kidiplomasia’

Zambia inasema imeshangazwa na matamshi ya Balozi wa Marekani anayeondoka Michael Gonzales, ikiyataja kama yasiyo ya kistaarabu, yasiyo ya kidiplomasia na kinyume na utaratibu wa kuheshimiana.

48f0d878921c81f50587077ad8584a083245f795e46b0351d609d8b54e9588a8

5 Mei, 2026

Jeshi la Sudan linasema limeangusha droni zilizokuwa zimeelekezwa uwanja wa ndege wa Khartoum

Shambulizi la droni lililenga uwanja wa ndege wa mji mkuu wa Sudan siku ya Jumatatu, chanzo cha kijeshi kilisema, siku mbili baada ya mashambulizi ya wapiganaji hao mjini Khartoum kuua watu watano.

757e728386afaa62db9f224d8f74aed0082ab5f8e0d214abfca3e3b0a24e5f9a

5 Mei, 2026

Kiongozi wa Mali Assimi Goita achukua majukumu ya waziri wa ulinzi baada ya kifo cha aliyekuwepo

Kiongozi wa Mali, Assimi Goita, atachukua majukumu ya waziri wa ulinzi, kulingana na maelekezo yaliyosomwa kwenye televisheni ya taifa siku ya Jumatatu, baada ya kifo cha aliyekuwa waziri kutokana na mashambulizi.

da1fbdfacce58dd09e3ef3ef9e623fa673e00b181d6ec84e7ebbe65a7cfbe09f

5 Mei, 2026

Rais wa Senegal Faye asema Waziri Mkuu Sonko kuendelea kuwepo iwapo atatekeleza majukumu ‘vizuri’

Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye anasema chama tawala kiko kwenye ati ati ya kusambaratika lakini kiongozi wake, Waziri Mkuu Ousmane Sonko, atabaki kwenye wadhifa iwapo “atafanya kazi yake vizuri.”

ecedbae55b7632602e72e7ff06f2c1026ba9fd646177a7c776553f266df2507c

5 Mei, 2026

Rais wa Kenya William Ruto aanza ziara rasmi Tanzania

Rais wa Kenya William Ruto amewasili nchini Tanzania ambapo atafanya ziara rasmi ya siku mbili.  Rais Ruto, amepokelewa na mwenyeji wake Rais Samia Suluhu Hassan katika ikulu ya jijini Dar es Salaam.

74328a5cdf7109fa7e8985208c38a568895383e7a5866e608659da7155e22daf

4 Mei, 2026

Tanzania: Mwigulu Nchemba asisitiza ushirikiano wa kikanda kukabiliana na uhalifu wa kimataifa

Kulingana na Nchemba, katika dunia ya sasa, aina nyingi za uhalifu hupangwa, hufadhiliwa na kuratibiwa kwa njia za kidijitali, hali inayohitaji mifumo imara ya kiteknolojia pamoja na ushirikiano wa pamoja ili kuudhibiti kwa ufanisi.

8df51306fd10e13b8304ce9e94d67bcdf94373df681037d09b51790cfed085a9
Inapakia...