Sera mpya ya Marekani: Raia wa Malawi lazima wasafiri hadi Kenya kupata viza

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema itasitisha huduma za kawaida za viza katika miji mingi barani Afrika, na kuwaelekeza waombaji kwenye vituo maalum vya kikanda.
1 Agosti, 2026
Wanamgambo wa RSF wanaojisalimisha wakabidhi vifaa vya kijeshi kwa jeshi la Sudan

Kitengo hicho ni cha ‘Kundi la 26’ la Vikosi vya Msaada wa Haraka, Shirika la Habari la Sudan linasema.
1 Agosti, 2026
Rais wa Liberia Boakai awafuta kazi maafisa baada ya kupatikana kwa dawa za kulevya

Kufutwa huko kwa idadi kubwa ya maafisa kunafuatia kupatikana kwa dawa za kokeni zenye thamani ya dola milioni 317.
31 Julai, 2026
Serikali ya Ghana yaunga mkono mapendekezo ya kuongeza muda wa urais

Mapendekezo hayo ni sehemu ya mipango ya marekebisho ya katiba ya Ghana.
31 Julai, 2026

Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua Hospitali ya Mwalimu Nyerere nchini Angola

Nigeria yaharibu silaha haramu 2,819 katika kukabiliana na utovu wa usalama

Uwanja wa Ndege wa Bishoftu nchini Ethiopia: Kwa nini Marekani inakodolea macho mradi huo?

Kenya: Sumu chanzo cha vifo vya tembo wa Amboseli

Mwanasiasa wa upinzani Uganda Besigye alazwa ICU baada ya kuanguka mahakamani: mke wake
30 Julai, 2026
Marekani yasitisha huduma za viza katika miji 25 ya Afrika kuanzia Agosti 1, 2026
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kuwa itasitisha huduma za visa katika miji 25 barani Afrika.

29 Julai, 2026
Mahakama ya juu ya DRC yaruhusu mchakato ambao utampa nafasi Tshisekedi kugombea muhula wa tatu
Mahakama ya Katiba ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wiki hii iliidhinisha mapendekezo ambayo yanaweza kumpa nafasi Rais Felix Tshisekedi kugombea muhula wa tatu baada ya kura ya maoni.

29 Julai, 2026
Uganda bado iko katika hatari kutokana na mlipuko wa Ebola DRC: WHO
Uganda bado iko kwenye hatari kutokana na mlipuko wa ugonjwa katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Shirika la Afya Duniani (WHO) lilisema siku ya Jumatano.

29 Julai, 2026
Maafisa 5 wa usalama wauawa nchini Kenya wakikabiliana na kundi linalodaiwa kuwa la al Shabaab
Kundi la Al-Shabaab limekuwa likifanya vurugu kwa miaka kadhaa likilenga kuipindua serikali kuu ya Somalia.

29 Julai, 2026
Mjusi wa miaka milioni 210 agundulika nchini Zimbabwe
Ugunduzi huo, umemuibua Mjusi wa Tendaguru, ambayo ni mabaki ya mjusi mkubwa aliyegundulika katika wilaya ya Lindi, Tanzania, ambaye alikuwa na urefu wa mita 43, akidhaniwa kuishi miaka milioni 150 iliyopita.

29 Julai, 2026
Kenya kuchunguza chanzo cha vifo vya tembo 15 ndani ya hifadhi ya Amboseli
Kulingana na kanzi data ya Amboseli Trust for Elephants, eneo la Amboseli lilikuwa na zaidi ya tembo 2,000 elephants, ilipofika mwaka 2025.

29 Julai, 2026
Katambi: Tanzania ipo salama kuandaa AFCON 2027
Hakikisho hilo linakuja wakati ambapo kuna wasiwasi wa hali ya utulivu wa kisiasa wakati wa mashandano hayo hasa kutokana na msuguano uliopo kati ya serikali na chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2025.

28 Julai, 2026
Uingereza kuanza tena mazoezi ya kijeshi Kenya baada ya kucheleweshwa kwa hofu ya haki za binadamu
Kenya na Uingereza siku ya Jumanne walikubaliana kuanza tena mazoezi katika taifa hilo la Afrika Mashariki baada ya ucheleweshwaji wa kutia saini makubaliano mapya ya ushirikiano wa kijeshi.

28 Julai, 2026
Kiongozi wa Sudan Burhan atembelea miji ya kimkakati iliodhibitiwa tena kutoka kwa RSF
Jeshi limechukua udhibiti wa miji ya Bara, Jabrat al-Sheikh na Umm Sayala ambayo iko katika maeneo ya kimkakati yanayounganisha kanda ya Darfur Magharibi.

28 Julai, 2026
Waholanzi wanne waliopata ajali Ziwa Nyasa wapatikana hai baada ya saa 27
Raia hao, ni kati ya abiria saba waliopotea baada ya dhoruba ya mawimbi iliyokumba boti yao, ikiwa Ziwa Nyasa, na kuja kupatikana hai baada ya saa 27.



