Rigathi Gachagua arudi mahakamani kusikiliza kesi ya kupinga kuondolewa madarakani

Aliyekuwa Naibu wa Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, leo Alhamisi, Mei 7, amerudi katika Mahakama Kuu jijini Nairobi kusikiliza kwa ombi lake la kupinga kuondolewa madarakani.
7 Mei, 2026
Uturuki yashtumu mashambulizi ya Boko Haram yaliyowaua wanajeshi 23 Chad

Boko Haram, kundi la kigaidi lililoko Nigeria, limekuwa likishambulia maeneo ya Chad yaliyoko karibu na Ziwa Chad katika vurugu zao kwenye kanda.
6 Mei, 2026
Afrika Kusini yasema ‘haina ubaguzi’

Afrika Kusini ilijitetea Jumatano dhidi ya madai ya ubaguzi baada ya maandamano kuhusu wahamiaji wasio rasmi na kusema kuwa mataifa ya Afrika yanatakiwa kuangazia masuala kama ya usalama yanayofanya watu wake kuondoka nchini.
6 Mei, 2026
Uturuki, Kenya yatia saini makubaliano ya ushirikiano wa ulinzi katika maonesho ya Istanbul expo

Mawaziri hao wa ulinzi walikutana katika maonesho ya sekta ya ulinzi ya SAHA 2026.
6 Mei, 2026

Nigeria, Marekani wazindua vikosi kazi vya ulinzi kukabiliana ukosefu wa usalama

Tanzania: Gharama za mafuta zazidi kupanda

Rais wa Algeria Tebboune kuwasili Uturuki kwa ziara rasmi ya siku tatu

Burkina Faso yapiga marufuku NGO zaidi, kufikisha idadi ya mashirika 205

Burkina Faso yapiga marufuku kituo cha televisheni cha Ufaransa kwa ‘upotoshaji’
5 Mei, 2026
Shambulio la kigaidi la Boko Haram katika kambi ya jeshi Chad laua watu wasiopungua 24
Shambulio la usiku la wanaoshukiwa kuwa magaidi wa Boko Haram katika kambi ya jeshi Chad limewaua watu wasiopungua 24, afisa mmoja wa jeshi na msimamizi wa kanda walisema siku ya Jumanne.

5 Mei, 2026
Ghana kuwa mwenyeji wa kongamano la dunia kuhusu fidia kwa watumwa
Maafisa wanasema mkutano huo wa jijini Accra unalenga kuendeleza mjadala zaidi ya kukiri kuelekea katika kuweka mifumo thabiti ya fidia.

5 Mei, 2026
Shirika la Afya Duniani (WHO) lathibitisha maambukizi ya kirusi cha Hanta
Shirika la WHO lilisema siku ya Jumanne, kuwa linaendelea kufanya mawasiliano na mgonjwa mmojawapo aliyesafiri na meli hiyo Aprili 25, 2026, kati ya Saint Helena na Johannesburg.

5 Mei, 2026
Rais wa Taiwan asema hawatokubali kukandamizwa baada ya ziara yake ya Eswatini
Rais Lai Ching-te awali alipangwa kutembelea Eswatini mwezi Aprili lakini alilazimika kufuta safari hiyo.

5 Mei, 2026
Zambia yasema matamshi ya balozi wa Marekani anayeondoka ‘si ya kidiplomasia’
Zambia inasema imeshangazwa na matamshi ya Balozi wa Marekani anayeondoka Michael Gonzales, ikiyataja kama yasiyo ya kistaarabu, yasiyo ya kidiplomasia na kinyume na utaratibu wa kuheshimiana.

5 Mei, 2026
Jeshi la Sudan linasema limeangusha droni zilizokuwa zimeelekezwa uwanja wa ndege wa Khartoum
Shambulizi la droni lililenga uwanja wa ndege wa mji mkuu wa Sudan siku ya Jumatatu, chanzo cha kijeshi kilisema, siku mbili baada ya mashambulizi ya wapiganaji hao mjini Khartoum kuua watu watano.

5 Mei, 2026
Kiongozi wa Mali Assimi Goita achukua majukumu ya waziri wa ulinzi baada ya kifo cha aliyekuwepo
Kiongozi wa Mali, Assimi Goita, atachukua majukumu ya waziri wa ulinzi, kulingana na maelekezo yaliyosomwa kwenye televisheni ya taifa siku ya Jumatatu, baada ya kifo cha aliyekuwa waziri kutokana na mashambulizi.

5 Mei, 2026
Rais wa Senegal Faye asema Waziri Mkuu Sonko kuendelea kuwepo iwapo atatekeleza majukumu ‘vizuri’
Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye anasema chama tawala kiko kwenye ati ati ya kusambaratika lakini kiongozi wake, Waziri Mkuu Ousmane Sonko, atabaki kwenye wadhifa iwapo “atafanya kazi yake vizuri.”

5 Mei, 2026
Rais wa Kenya William Ruto aanza ziara rasmi Tanzania
Rais wa Kenya William Ruto amewasili nchini Tanzania ambapo atafanya ziara rasmi ya siku mbili. Rais Ruto, amepokelewa na mwenyeji wake Rais Samia Suluhu Hassan katika ikulu ya jijini Dar es Salaam.

4 Mei, 2026
Tanzania: Mwigulu Nchemba asisitiza ushirikiano wa kikanda kukabiliana na uhalifu wa kimataifa
Kulingana na Nchemba, katika dunia ya sasa, aina nyingi za uhalifu hupangwa, hufadhiliwa na kuratibiwa kwa njia za kidijitali, hali inayohitaji mifumo imara ya kiteknolojia pamoja na ushirikiano wa pamoja ili kuudhibiti kwa ufanisi.




