Mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa akamatwa Ureno kwa tuhuma za utakatishaji fedha

“Mashtaka yake yanahusishwa na uchunguzi unaoendelea wa utakatishaji fedha,” polisi wa mahakama ya Ureno walisema.
16 Desemba, 2025
Umoja wa Mataifa: Droni zaua raia zaidi ya 100 Sudan tangu Disemba 4

“Nimeshtushwa na kuongezeka kwa mashambulizi,” amesema Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN, Volker Türk.
16 Desemba, 2025
Wamisri 14 wafariki baada ya boti la wahamiaji kuzama Crete

“Tunatoa wito kwa raia wa Misri kutohadaiwa na mitandao ya uhamiaji haramu,” ilisema Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri.
16 Desemba, 2025
Benin yawakamata karibu watu 30 kwa tuhuma za jaribio la mapinduzi

Benin imewakamata watu takriban 30, wengi wao wanajeshi, kwa madai ya kuhusika na jaribio la mapinduzi.
16 Desemba, 2025

Burhan yuko tayari kwa mazungumzo ya amani na Trump

Waasi wa M23 wajiondoa Uvira baada ya ombi la Marekani

Idadi ya vifo vya mafuriko Morocco yafikia 37 mjini Safi

M23 yadai kuwakamata wanajeshi wa Burundi katika mashambulizi ya Uvira

Bunge la Zambia laidhinisha muswada tata wa kubadilisha sheria za uchaguzi
15 Desemba, 2025
Mwanamazingira Kijana Truphena Muthoni Apatiwa Tuzo ya Rais Ruto, Kenya Ipeperushwe Kimataifa
Truphena Muthoni, mwenye umri wa miaka 22, ametuzwa medali ya Head of State Commendation kwa juhudi zake za kuhifadhi miti na mazingira.

15 Desemba, 2025
Tanzania yashitakiwa Mahakama ya Afrika Mashariki kwa kuzima intaneti
“Uzimwaji wa intaneti nchini Tanzania ulikuwa na athari kubwa kwenye uchumi, jamii na haki za kiraia,” wanaharakati wa LHRC walisema.

15 Desemba, 2025
Mwigulu Nchemba awahimiza Watanzania kuweka akiba ya chakula kutokana na kuchelewa kwa mvua
Akiba ya chakula leo ni kinga ya njaa kesho.

15 Desemba, 2025
Umoja wa Afrika walaani shambulio la kigaidi katika ufukwe wa Sydney
“Umoja wa Afrika unakataa vikali ugaidi wa aina zote na kusisitiza kuwa hakuna sababu inayoweza kuhalalisha kulenga raia wasio na hatia.”
— Mahmoud Ali Youssouf, Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika

15 Desemba, 2025
Senegal yaina matumaini wachezaji walioumia watakuwa tayari AFCON Morocco
“Tuna imani kubwa kwamba wachezaji wetu walioumia watakuwa tayari kucheza AFCON. Wameonyesha maendeleo mazuri na timu ya madaktari inaendelea kuwafuatilia kwa karibu,” alisema kocha wa Senegal, Pape Thiaw.

15 Desemba, 2025
Uingizaji holela wa mafuta ghafi Nigeria unatishia ajira na uwekezaji – Dangote
Huwezi kutumia uagizaji wa bidhaa kudhoofisha uwezo wa ndani.

15 Desemba, 2025
Makumi ya wafungwa wa kidini waachiwa huru nchini Eritrea
Baadhi ya walioachiliwa walikuwa wamezuiliwa kwa zaidi ya miaka mitano bila kufunguliwa mashtaka.

15 Desemba, 2025
Bobi Wine alishtumu jeshi la Uganda kwa kuwazuia raia kinyume cha sheria
Jeshi halina mamlaka ya kuwashikilia raia; hiki ni kitendo cha wazi cha ukiukwaji wa sheria.

15 Desemba, 2025
Guterres: Tanzania ni kielelezo cha amani Afrika na duniani
Tanzania imeendelea kuwa mfano wa amani na mshikamano wa kijamii.

15 Desemba, 2025
Mafuriko yaua takriban watu 21 katika mkoa wa Safi, Morocco
Mvua kubwa ya saa moja ilisababisha mafuriko makubwa.


