23 Desemba, 2025

Shirika la Uturuki la TİKA laanzisha mradi Msumbiji kuwawezesha wanawake waliokumbwa na vurugu

Mradi huu unalenga kuwapa wanawake walionusurika vurugu fursa ya kujitegemea kiuchumi na kurejea kikamilifu katika maisha ya kijamii.

183

23 Desemba, 2025

Muungano wa Sahel wazindua televisheni ya pamoja kupambana na taarifa potofu

“Televisheni ya AES ni chombo cha kimkakati cha kupambana na upotoshaji wa taarifa na kuimarisha simulizi ya kweli ya kanda ya Sahel,” ilisema taarifa ya pamoja ya muungano wa AES.

180

23 Desemba, 2025

Marekani yaongeza safari za ndege za kijasusi juu ya Nigeria kufuatia matamshi ya Trump

“Katika wiki za hivi karibuni tumeona kurejea kwa safari za ndege za ujasusi na upelelezi juu ya Nigeria,” alisema mchambuzi wa masuala ya usalama wa Afrika, Liam Karr.

177

23 Desemba, 2025

Afrika Kusini yachapa Angola 2-1 na kuvunja ukame wa ushindi wa miaka 10 katika AFCON 2025

“Huu ni ushindi muhimu sana kwetu, hasa baada ya kipindi kirefu bila kuifunga Angola,” ilieleza kauli kutoka upande wa Afrika Kusini.

190

22 Desemba, 2025

Waziri wa uvuvi wa Somalia apongeza ushirikiano wa kimkakati na Uturuki

Somalia, Uturuki waimarisha uhusiano katika sekta ya uvuvi kwa kutia saini makubaliano mapya

4503c1c4438f1707e6664a2944a73b00ccb4036e7a8064c35d67dda980b9659c

22 Desemba, 2025

Mapigano yarindima mji wa mpaka wa DRC wa Uvira kati ya vikosi vya serikali na waasi wa M23

Mapigano yaliibuka siku ya Jumatatu karibu na mji wa Uvira katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kati ya waasi wa M23 na wapiganaji wanaounga mkono serikali, siku chache baada ya M23 kuahidi kuondoka katika mji huo, vyanzo vya eneo hilo vilisema.

8a7f85f3472704ab714b16cacc50bd2d4993ae30ef68cdc357c2b1c3b0f27cd2

22 Desemba, 2025

Kenya yawarudisha nyumbani raia 119 waliotapeliwa Myanmar

Serikali ya Kenya imewarejesha nyumbani Wakenya 119 waliokuwa wamehadaiwa kwa ahadi za uongo za kazi katika baadhi ya nchi za Asia ya Kusini-Mashariki.

180b72037029d1adc9936f838d970129ff298fa3b666710e8f17dc8cc6c14b84 main

22 Desemba, 2025

Uturuki yatilia mkazo ushirikiano wa kijeshi na usalama na mataifa ya Afrika

Kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na mataifa ya Afrika ni sehemu ya mkakati wa muda mrefu wa kuchangia amani na uthabiti wa bara hilo.

182

22 Desemba, 2025

Algeria Yaanzisha Hatua za Kisheria Kuutaja Ukoloni wa Ufaransa kama Uhalifu wa Kihistoria

Muswada huo unahusu kipindi cha ukoloni wa Ufaransa nchini Algeria kati ya mwaka 1830 na 1962.

176

22 Desemba, 2025

Zaidi ya Wapiganaji 200 Wajisalimisha kwa Jeshi la Ethiopia katika Oromia Magharibi

Zaidi ya wapiganaji 200 waliokuwa na silaha wamejisalimisha kwa vikosi vya serikali katika eneo la Oromia Magharibi.

175
Inapakia...