Afrika Ulimwengu Usalama

Umoja wa Afrika watoa wito wa ‘kupunguzwa uhasama’ baada ya Marekani na Israel kushambulia Iran

Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC), Mahamoud Ali Youssouf, anatoa wito “kujizuia, kupunguzwa uhasama na kurejelewa mazungumzo endelevu”.

Newstimehub

Newstimehub

28 Februari, 2026

949afdfdb413a7028386f3238b6b675a40edc3b776cb9de2e5a20fe3fa63d97e

Umoja wa Afrika ulihimiza viongozi wenye busara kuonyesha utulivu na subira siku ya Jumamosi baada ya Marekani na Israel kufanya mashambulizi dhidi ya Iran, na kuonya kwamba migogoro inaweza kuhatarisha zaidi maisha ya watu katika kanda hilo.

Mkuu wa shirika hilo barani Afrika, Mahamoud Ali Youssouf alitoa wito wa “kujizuia, na kurejelewa mazungumzo endelevu”.

“Kuongezeka uhasama zaidi kunahatarisha kudorora kwa usalama na utulivu duniani, kukiwa na athari kubwa kwa masoko ya nishati, usalama wa chakula, na ustahimilivu wa kiuchumi  hasa katika Afrika, ambako migogoro na shinikizo la kiuchumi bado ni kubwa.”

Chanzo: TRT Afrika