2 Aprili, 2026

Mlipuko wa Maghala ya Silaha Bujumbura, Burundi, Uwaua Raia 13

Mlipuko katika maghala ya silaha mjini Bujumbura, Burundi, umewaua raia 13 na kuacha wengine wengi katika hofu.

738x415 cmsv2 51cb20b9 580b 53ff 8d02 bffff7adf0e4 9707648 1

1 Aprili, 2026

Ghasia za Umati Zaripotiwa Jos, Nigeria Baada ya Shambulio la Watu Wenye Silaha

Ghasia za umati zimeripotiwa katika mji wa Jos nchini Nigeria siku chache baada ya shambulio la watu wenye silaha lililosababisha vifo.

1024x576 cmsv2 4138ba91 e32c 5316 93df 1cc13b978269 9704296

1 Aprili, 2026

Trump aibeza NATO, asema ni “dhaifu japo inaonekana kuwa na nguvu”

Rais wa Marekani aonyesha mashaka makubwa kuhusu muungano huo wa kijeshi.

606

1 Aprili, 2026

Iran yasema inadhibiti Mlango wa Hormuz kwa nguvu

Tehran yasema usalama wa Ghuba hauhitaji mataifa ya kigeni.

605

29 Mechi, 2026

Mafuriko Kenya Yaua Watu Zaidi ya 100

Kenya inakabiliwa na mafuriko makubwa yaliyosababisha vifo vya watu wasiopungua 108 na kuharibu makazi na miundombinu.

1024x538 cmsv2 d13dc3f1 795a 5af2 8461 da8b0ed69cfc 9702750

29 Mechi, 2026

Mzozo wa DR Congo: Kujiondoa kwa M23 Kwazua Mkanganyiko

Ripoti za kujiondoa kwa waasi wa M23 mashariki mwa DR Congo zimeibua mkanganyiko huku hali ya usalama ikiendelea kuwa tete.

1024x576 cmsv2 ca4c00f6 8fcf 586f 9170 dc2b44852641 9661160

26 Mechi, 2026

Uganda ipo tayari kuisaidia Israel vitani, asema Jenerali Muhoozi

Licha ya kutaka kukomeshwa kwa vita hivyo, Jenerali Muhoozi alisema kuwa Uganda itakuwa tayari kuisaidia Israel katika vita dhidi ya Iran.

e7e4564ee627881e826e00f8d6874f845007bb3bfd6292547b1af3f85ef452bb

25 Mechi, 2026

Iran yataka muungano mpya wa usalama Mashariki ya Kati

Iran Yataka Muungano Mpya wa Usalama Mashariki ya Kati.

591

24 Mechi, 2026

Ghana na European Union Wasaini Ushirikiano wa Kijeshi

Ghana na Umoja wa Ulaya wamesaini ushirikiano wao wa kwanza wa ulinzi huku kukiwa na ongezeko la mashambulizi ya wanajihadi Afrika Magharibi.

656204179 1451868523646052 737415540340936245 n

24 Mechi, 2026

Iran yadai kudhibiti kikamilifu ghuba ya uajemi na mlango wa Hormuz

Tehran yasema haihitaji msaada wa kigeni kulinda usalama wa eneo hilo.

584
Inapakia...