17 Desemba, 2025

RSF Yatuhumiwa Kuharibu Ushahidi wa Ukatili nchini Sudan

Ripoti mpya inadai wapiganaji wa RSF wameharibu ushahidi wa mauaji ya kikatili katika mji wa Al Fasher, nchini Sudan.

150

17 Desemba, 2025

Somalia na Uturuki Zasaini Makubaliano ya Kuimarisha Sekta ya Uvuvi

Somalia na Uturuki zimeingia makubaliano ya kimkakati ya ushirikiano katika sekta ya uvuvi, yakilenga kukuza ajira, kulinda rasilimali za baharini na kuimarisha biashara ya kimataifa.

149

17 Desemba, 2025

Tanzania Miongoni mwa Nchi Zilizowekewa Vizuizi Vipya vya Kusafiri Marekani

Hatua hii sio marufuku kamili ya kusafiri kwenda Marekani, bali ni udhibiti wa baadhi ya aina za viza zinazotolewa kwa raia wa Tanzania.

1765977137876 alydxm ecac2c7d4a199b533a0b2479f186f65c6e7b723a4be49b132a5d66f5398f8b0c main

17 Desemba, 2025

Tanzania yatuma mwaliko kwa wabunge wa Marekani kutembelea nchi hiyo

Ziara hiyo inalenga kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na maslahi ya pamoja kati ya nchi hizo mbili.

880d11a8ea66aa13f019bfd94fa4b998c2aca3cc9c2cb158c5e7eb82300e9355

17 Desemba, 2025

Tanzania: Maafisa watatu wa uhamiaji wahukumiwa kunyongwa kwa kosa la mauaji

Ushahidi uliowasilishwa umebainisha matumizi ya nguvu kupita kiasi yaliyosababisha kifo cha raia asiye na hatia.

3a9e16aa63b15e36e19d0af4ca7ad708f6cc4e81518cfc86fe9b8d79275213ee

17 Desemba, 2025

DRC yamkamata waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa serikali ya Kabila

Kukamatwa huku kunazua maswali makubwa kuhusu mchakato wa haki na sababu halisi za hatua hiyo.

83b8f46bca883012a5616f4d48cd83c8f0cb88ab71cc3677a23bbacc65c75fd8 main

16 Desemba, 2025

Mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa akamatwa Ureno kwa tuhuma za utakatishaji fedha

“Mashtaka yake yanahusishwa na uchunguzi unaoendelea wa utakatishaji fedha,” polisi wa mahakama ya Ureno walisema.

f66d0b020fb2c88eeaddc742f006d2410224c85175cdcf06aa0180a3b80f6bce

16 Desemba, 2025

Umoja wa Mataifa: Droni zaua raia zaidi ya 100 Sudan tangu Disemba 4

“Nimeshtushwa na kuongezeka kwa mashambulizi,” amesema Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN, Volker Türk.

7ed4489e4665c28caf2868bf9aef4427de237f4d97a14d2a59e4b1f03ba168e8

16 Desemba, 2025

Wamisri 14 wafariki baada ya boti la wahamiaji kuzama Crete

“Tunatoa wito kwa raia wa Misri kutohadaiwa na mitandao ya uhamiaji haramu,” ilisema Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri.

77a8d444d5e83b5e2446b848d80fa21738f24baf06d7090d67635e960a8f0d03

16 Desemba, 2025

Benin yawakamata karibu watu 30 kwa tuhuma za jaribio la mapinduzi

Benin imewakamata watu takriban 30, wengi wao wanajeshi, kwa madai ya kuhusika na jaribio la mapinduzi.

c6d7b92717451588a610f4781e56138c6d16759214d3d4918eda2256d05b9687
Inapakia...