19 Februari, 2026

Rais wa Zambia afanya mabadiliko ya ghafla serikalini

Waziri wa Afya na Waziri wa Biashara Ndogo waondolewa kazini

419

18 Februari, 2026

Wafanyabiashara wa Ghana washambuliwa Burkina Faso, manusura warejeshwa Accra

Jeshi la Anga la Ghana lawaleta waliojeruhiwa kwa matibabu.

421

18 Februari, 2026

Mlipuko wa gesi katika mgodi wa waua watu 38, kujeruhi wengine kadhaa

Wakazi wanasema walioathirika walikuwa chini kwenye mgodi ambapo mlipuko ulitokea Jumatano asubuhi.

c0519271cf7e1207865e66902a603e0ea2df3b07a8209203239774ded7f8db18

18 Februari, 2026

Gabon yatangaza kufunga mitandao ya kijamii kwa muda

Serikali ya Gabon imepiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii, ikisema kuwa inahusika na kuchochea migogoro na migawanyiko ndani ya jamii.

9dd345bb644b34d0ada5d00c866931f926001b45540c8cd49282b33440e5b2f1 main

17 Februari, 2026

Nigeria yaonya raia wake dhidi ya kujisajili kupigana vita nje ya nchi

Wizara ya mambo ya nje inasema baadahi ya raia wa Nigeria walipelekwa katika uwanja wa vita baada ya kulaghaiwa kutia saini mikataba ya kijeshi.

e73ace64b82ca765bc823aaa3de2d1a33f2abb78a030e5abf9e36e08d51ba468

17 Februari, 2026

Somalia kuanza kutoa hati za kusafiria za Jumuiya ya Afrika Mashariki

Hatua hii ni sehemu ya kujumuisha Somalia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.

919491ba502f6abf65f4c19c61d70c0c4af1a74ee8ef8d849bd6c7c78f4a64e0

16 Februari, 2026

Waziri Mkuu wa Somalia apongeza uchimbaji mafuta wa ‘kihistoria’ baharini na Uturuki

Barre amepongeza mpango huo wa uchimbaji na Uturuki kama chachu ya ukuaji wa Somalia

9e6a97e6668c7f891b3bf85dd3e4082aab03b9fe4f76c2eb31c407e0f8987d86

16 Februari, 2026

Somalia na Tanzania yakubaliana kuhusu ziara bila viza, na kupata viza mtu anapowasili

Maafisa wanasema makubaliano hayo ya viza, pamoja na mipango ya ndege za mojakwa moja kati ya mataifa hayo mawili yataimarisha biashara, utalii, na masuala ya elimu.

45ae3d41252d50b1839e57a90ded86d45f73889994fd738b856097fdc8ed0964

16 Februari, 2026

Wakazi wa Morocco warejea katika mji uliokumbwa na mafuriko

Mvua hizo zimemaliza hali ya miaka saba ya kiangazi.

cbc0720fe7aa77fe7f83d786a73aa09135b817f7a481b81a7396edad093a2a75

16 Februari, 2026

RSF yashambulia hospitali Sudan, na kuwaua watu kadhaa

RSF ilifanya mashambulio katika Hospitali ya Al Mazmoum katika jimbo la kusini mashariki la Sennar state, taarifa kutoka kwa Mtandao wa Madaktari wa Sudan zimesema.

1e3c094cdca332005510f0c35cdb1367e5c837dedadaa662185fab82d1c273dc
Inapakia...