12 Desemba, 2025

ECOWAS kuondoa kodi za safari za anga kuanzia 2026

Hatua inalenga kupunguza gharama za tiketi na kuongeza usafiri wa anga Afrika Magharibi.

125

11 Desemba, 2025

Droni za mashambulizi zaua 100, maelfu wakimbia Mashariki mwa DRC

Serikali ya DRC yalaani matumizi ya droni za mashambulizi dhidi ya raia.

123

11 Desemba, 2025

Aliyekuwa Waziri wa Afya Tanzania, Jenista Mhagama, afariki dunia

Bunge latangaza kifo cha Jenista Mhagama, aliyewahi kuwa Waziri wa Afya na Mbunge wa Peramiho; mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa.

118

11 Desemba, 2025

Waziri wa Mambo ya Nje DRC aitaka Marekani kuiwekea Rwanda vikwazo zaidi kuokoa mpango wa amani wa Trump

DRC yasema Marekani lazima iongeze vikwazo dhidi ya Rwanda ili kurejesha uaminifu wa juhudi za upatanishi, huku waasi wa M23 wakisonga na mapigano yakisababisha maelfu kukimbia.

117

11 Desemba, 2025

Benki Kuu ya Ufaransa yashitakiwa kwa tuhuma za ushiriki katika mauaji ya kimbari Rwanda

Benki ya Ufaransa yashutumiwa kuruhusu fedha za Rwanda kutumika kununua silaha wakati wa mauaji ya kimbari ya 1994, kinyume cha marufuku ya Umoja wa Mataifa.

116

11 Desemba, 2025

IOM: Zaidi ya 1,000 wakimbia Kordofan kufuatia ongezeko la mapigano Sudan

Mapigano kati ya jeshi la Sudan na RSF yamesababisha zaidi ya watu 1,000 kukimbia Kordofan ndani ya siku mbili, yakiongeza mgogoro wa kibinadamu.

31188d8ca138d9d09be7bb5748535a031eee599bce2bd4f6eff3c49cfdda5561

11 Desemba, 2025

Rais wa Eritrea akutana na Mwanamfalme wa Saudi kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia

Viongozi wajadili ushirikiano wa pande mbili na usalama wa Bahari Nyekundu

113

11 Desemba, 2025

Mke wa Rais wa Nigeria Amzuia Gavana Kuimba, Wanaigeria Wajadili

Tukio la sherehe ya kifalme laibua mjadala mitandaoni.

112

10 Desemba, 2025

Rwanda Yaishutumu DRC na Burundi Kuvunja Mkataba wa Amani

Kigali yadai majirani wake wanakiuka usitishwaji wa mapigano katika Kivu Kusini.

b63428e15bf2372bf3fc68ce0e65d4b18dbb6af1bb39b7c5eee1e05254fcdd79

10 Desemba, 2025

Watu 22 Wafariki, 16 Wajeruhiwa Baada ya Majengo Kuporomoka Morocco

Mamlaka za Morocco zaanzisha uchunguzi kufuatia jengo ghorofa mbili kuporomoka kwenye kitongoji cha Fes.

be5d093b507783581bda1320d82fc570f8f32aa6030d30713558f9bede4f67f1
Inapakia...