Nigeria yapokea msaada wa kijeshi kutoka Marekani

Wanajeshi wa Marekani watashiriki majukumu yasiyo ya mapigano
16 Februari, 2026
Abiy Ahmed: Ethiopia haina nia ya kupanua mipaka

Waziri Mkuu asema upatikanaji wa bahari na maendeleo ya Nile ni vipaumbele vya taifa
16 Februari, 2026
Mgomo wa KAWU wasababisha msongamano wa safari za ndege Nairobi

Wafanyakazi wadai nyongeza ya mishahara na makubaliano mapya
16 Februari, 2026
Sudan: Shambulio la droni la RSF yauwa watu watatu

Hospitali ya Al-Mazmoum yashambuliwa, raia saba wajeruhiwa
16 Februari, 2026

Jeshi la Mali laua magaidi kumi katika operesheni Douentza

Nigeria na Angola ziondoa vizuizi vya viza kwa pasipoti rasmi

Misri na Libya zakazia ushirikiano wa usalama

Rais wa Ghana atoa wito kwa AU kutambua madhila ya kihistoria ya utumwa

Umoja wa Afrika wataka kukomeshwa kwa mauaji ya Wapalestina
14 Februari, 2026
China kuziondolea ushuru nchi za Afrika ifikapo mwezi Mei
Hata hivyo, msamaha huo hautoihusu Eswatini, ambayo ina uhusiano wa kidiplomasia na Taiwan.

13 Februari, 2026
Motsepe: AFCON 2027 itafanyika Afrika Mashariki na si kwingineko
Michuano hiyo inaandaliwa kwa pamoja na Tanzania, Kenya na Uganda.

13 Februari, 2026
Serikali ya DRC yakubali kumaliza mapigano na waasi wa M23
Hata hivyo, hapakuwa na taarifa yoyote kuhusu jambo hilo kutoka kambi ya AFC/M23.

13 Februari, 2026
Ajali ya barabarani yawajeruhi mawaziri wa Ghana
Msafara wa serikali wagongana njiani kuelekea sherehe ya Tumu College of Education

13 Februari, 2026
Nigeria yaweka tarehe ya uchaguzi wa urais Februari 2027
INEC yatangaza ratiba mpya ya uchaguzi na mageuzi ya uwazi

13 Februari, 2026
Afrika Kusini yaimarisha vita dhidi ya magenge ya uhalifu
Ramaphosa atangaza mpango wa usalama wa kitaifa

13 Februari, 2026
AU yafurahishwa na makubaliano ya kusitisha mapigano DRC
Makubaliano ya Doha yaashiria hatua muhimu ya amani mashariki mwa Congo

12 Februari, 2026
Waziri Mkuu wa Tanzania Mwigulu Nchemba ataka mikakati ya kulinda viwanda vya ndani
Wakati huohuo, Waziri Mkuu huyo wa Tanzania, ameitaka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania na Vyombo vya ulinzi kuhakikisha hakuna bidhaa za magendo zinazoingia nchini.

12 Februari, 2026
Wasioendeleza ardhi kwa miaka mitatu Tanzania kunyang’anywa na serikali
Dkt. Akwilapo amesema mwenendo wa kuhodhi maeneo bila ya kuyaendeleza unakwamisha mipango ya maendeleo ya miji na matumizi bora ya ardhi.

12 Februari, 2026
Wataka uwajibikaji kwa familia zilizoathirika migodini
Wametaka kuwepo kwa kanuni madhubuti, ufuatiliaji huru na uwajibikaji zaidi kutoka kwa makampuni ya madini na serikali zinazotoa leseni.



