Mali, Burkina Faso na Niger zaanza harakati za kuwania uenyeji wa AFCON 2032

Nchi ya Mali, Niger na Burkina Faso, ambazo ni washirika katika eneo la Sahel, zimewasilisha ombi la pamoja la kuandaa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2032.
23 Julai, 2026
Sudan yaripoti maambukizi yanayoshukiwa kuwa ya kipindupindu katika majimbo manne

Wizara ya Afya ya Sudan imesema maambukizi yanayoshukiwa kuwa ya kipindupindu yamegunduliwa katika majimbo ya Kordofan Kaskazini, Kordofan Magharibi, Darfur Kusini na Khartoum.
22 Julai, 2026
Misri yaishutumu Ethiopia kwa ‘kuingiza isiasa’ katika uendeshaji wa Bwawa la Mto Nile

Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Badr Abdelatty, amesema usalama wa maji ni suala la “uhai wa taifa,” akihimza makubaliano ya kisheria, huku akidai kuwa uendeshaji wa upande mmoja wa bwawa hilo unaathiri upatikanaji wa maji nchini Misri na Sudan.
22 Julai, 2026
Maambukizi ya Ebola DRC yavuka 2,400; Taasisi ya Afya Afrika yataka hatua za haraka kuchukuliwa

Mkurugenzi Mkuu wa Africa CDC asema wakati wa kuchukua hatua ni sasa ili kuzuia virusi kuenea kwa kasi
22 Julai, 2026

Tanzania yawaasa wasanii na watengeneza maudhui kulinda maadili ya jamii

Chama cha Wanasheria nchini Kenya kimetangaza kususia huduma za mahakama

DRC: Vifo vilivyotokana na Ebola vyavuka 900

Tanzania yazindua ujenzi wa reli ya SGR Tabora hadi Kigoma

Shirikisho la Utalii la Kenya lapinga wito wa Gachagua kwa watalii na wawekezaji kutozuru Kenya
20 Julai, 2026
ECOWAS yaunga mkono mradi wa bomba la gesi kati ya Nigeria na Morocco
Mradi huo wa bomba, ulitiwa saini muongo mmoja uliopita kati ya Mfalme wa Morocco na rais wa Nigeria.

19 Julai, 2026
Uganda yamuomboleza Moses Ali ‘Simba wa Adjumani’
Amekuwa akipendwa na wafuasi wake ambao wamekuwa wakimuita “Simba wa Adjumani.”

19 Julai, 2026
Tanzania, Misri ruksa raia wake kuingia Sudan Kusini bila viza
Kwa mujibu wa taarifa hiyo mpya, ni nchi mbili pekee ambazo zimeongezwa katika orodha ya raia wake kuruhusiwa kuingia bila viza nchini Sudan Kusini, nazo ni Misri na Tanzania.

19 Julai, 2026
Tanzania yaikaribishwa Misri kuwekeza katika miundombinu ya bandari ya Bagamoyo na Dar es Salaam
Ushirikiano kati ya nchi hizo mbili unatarajiwa kuongeza kiwango cha uwekezaji na biashara kati ya nchi hizo mbili.

18 Julai, 2026
Rais wa Misri awasili nchini Tanzania kwa ziara ya kitaifa
Viongozi hao pia watashiriki katika Jukwaa la Biashara la Tanzania na Misri, litakalowakutanisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka nchi hizo mbili, kwa lengo la kujadili fursa za biashara na uwekezaji.

18 Julai, 2026
Wanajeshi wa Afrika Kusini wafariki wakikabiliana na wachimba madini haramu
Vifo hivi ni vya kwanza tangu Rais Ramaphosa alipopeleka wanajeshi kukabiliana na uchimbaji madini haramu.

17 Julai, 2026
Raia wa Marekani wawekwa karantini katika kituo cha Ebola nchini Kenya licha ya zuio la mahakama
Kenya haijawahi kurekodi maambukizi yoyote ya Ebola, huku raia wengi wa nchi hio wakiandamana kupinga kuingizwa nchini humo watu wanaoweza kuwa na virusi vya ugonjwa huo unaoenea kwa kasi.

17 Julai, 2026
Traoré wa Burkina Faso aonya dhidi ya kulinganishwa na Thomas Sankara
Kapteni Ibrahim Traoré amesema si sahihi kumlinganisha na aliyekuwa rais wa Burkina Faso, Thomas Sankara, akieleza kuwa mazingira ya kisiasa na kijamii ya sasa ni tofauti kabisa na yale ya miaka ya 1980.

17 Julai, 2026
Mzee wa miaka 90 aweka rekodi ya kukwea kilele cha Mlima Kilimanjaro
Katika tukio hilo Dkt. Ulene alikata keki akiwa amezungukwa na waongoza watalii, wapagazi, na wapandaji wenzake huku wakimpongeza kwa ujasiri, wakimtakia afya njema na kumpongeza kwa azma yake ya kutimiza ndoto hiyo katika umri wa miaka 90.

17 Julai, 2026
Tanzania: Uwanja wa ndege wa Arusha kutoa huduma saa 24
Uwanja wa ndege wa Arusha miongoni mwa viwanja muhimu vinavyohudumia sekta ya utalii nchini humo, na ni lango kuu kwa wasafiri wanaoelekea Hifadhi za Taifa za Serengeti, Ngorongoro, Tarangire, Ziwa Manyara na Mlima Kilimanjaro.



