Hamna watu katika barabara za Madagascar baada ya maandamano ya vurugu

Hakukuwa na polisi wengi na magari yalianza kurejea tena barabarani katikati mwa mji asubuhi, ingawa haikuwa idadi kubwa ya magari kama ilivyo kawaida.
26 Septemba, 2025
Waziri mkuu wa Sudan aomba UN, jamii ya kimataifa kutangaza RSF kuwa ‘wapiganaji wa kigaidi’

Idris ameomba jamii ya kimataifa, Umoja wa Mataifa kuzuia kufikishwa kwa silaha, na mamluki ndani ya nchi
26 Septemba, 2025
Ethiopia yataka usawa ufikiaji wa Bahari ya Sham na ya Hindi kwa mataifa yote

Rais wa Ethiopia, Taye Atske Selassie, alitoa wito Alhamisi kwa mataifa yote kupata haki sawa ya kufikia Bahari ya Sham na Bahari ya Hindi, akieleza kuwa bahari hizo ni “urithi wa pamoja wa binadamu.”
26 Septemba, 2025
Amri ya kutotoka nje yatangazwa katika mji mkuu wa Madagascar kufuatia maandamano ya fujo

Mamlaka nchini Madagascar siku ya Alhamisi iliweka amri ya kutotoka nje kuanzia jioni hadi alfajiri katika mji mkuu, kufuatia maandamano ya fujo yaliyosababishwa na ukosefu wa umeme na maji wa mara kwa mara, kwa mujibu wa afisa mwandamizi wa usalama.
26 Septemba, 2025

Urusi na Ethiopia zasaini mpango wa kuanzisha mradi wa nishati ya nyuklia

Uganda yasaini makubaliano ya kuwapokea kwa muda waomba hifadhi ya kisiasa waliokataliwa Uholanzi

Kiongozi wa Al-Shabab miongoni mwa magaidi 24 waliouawa Somalia

Kenya yatarajia kufikia makubaliano ya biashara na Marekani

Umoja wa Afrika wampongeza Mutharika kwa kushinda uchaguzi wa Malawi
25 Septemba, 2025
DRC na Rwanda wamekubaliana kuanza kutekeleza hatua za kiusalama mwezi wa Oktoba
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda wamekubaliana kuanza kutekeleza hatua za kiusalama chini ya makubaliano yaliyosimamiwa na Marekani mwezi ujao, kwa mujibu wa taarifa ya pamoja iliyotolewa Jumatano.

24 Septemba, 2025
Tume ya Uchaguzi Malawi yamtangaza Peter Mutharika mshindi wa uchaguzi wa Septemba 16
Aliyekuwa Rais wa Malawi Peter Mutharika amepata kura milioni 3 (aslimia 56.8) kutangazwa rasmi rais-mteule, kwa kumshinda Rais aliye madarakani Lazarus Chakwera, aliyepata kura milioni 1.77 (asilimia 33) katika uchaguzi wa Septemba 16, 2025 .

24 Septemba, 2025
‘Siyo fadhila kwa Afrika’: Hotuba kali ya Rais Ruto wa Kenya UNGA
Rais wa Kenya William Ruto ametoa hotuba kali katika kikao cha 80 cha Umoja wa Mataifa jijini New York, akisema mabadiliko yanahitajika UN, IMF, Benki ya Dunia na taasisi zingine, kwa kuzingatia maslahi ya Afrika kwenye mabadiliko hayo.

24 Septemba, 2025
Uganda : ‘Bobi Wine’ ateuliwa kama mgombea wa urais 2026
Aliwania wadhifa wa juu nchini mwaka 2021 lakini akashindwa na Rais aliye madarakani Yoweri Museveni.

24 Septemba, 2025
Lazarus Chakwera wa Malawi akubali kushindwa katika uchaguzi mkuu
Akiwa amezaliwa Aprili 5, 1955, Rais Chakwera alitumia muda mrefu wa maisha yake kama mwanateolojia na kwa nyakati tofauti amehudumu kama ‘baba mchungaji’ kabla ya kuingia kwenye ulingo siasa za Malawi mwaka 2013.

24 Septemba, 2025
‘Mauaji ya halaiki’ yanafanyika kimya kimya mashariki mwa DRC, rais anasema
Rais Felix Tshisekedi ametoa wito wa kuwepo kwa tume huru ya uchunguzi ya kimataifa kusaidia “kuvunja mzunguko wa kutochukua hatua ambao umesababisha majanga kwa miongo kadhaa”.

24 Septemba, 2025
Maambukizi ya kipindupindu nchini Sudan yazidi 113,500
Mlipuko wa kipindupindu nchini Sudan umeambukiza zaidi ya watu 113,600 na kuua zaidi ya 3,000 nchini kote tangu Julai 2024, WHO ilisema Jumanne.

24 Septemba, 2025
Kenya yaomba msaada zaidi kwa ujumbe wa amani Haiti
Rais wa Kenya William Ruto amesema kikosi ambacho kimekuwa kwenye majukumu hayo kwa miezi 15 – kinachojulikana kama ujumbe wa Multinational Security Support – kimekuwa kikifanya kazi kwa asilimia 40 pekee ya uwezo wa walinda usalama 2,500.

24 Septemba, 2025
Karibu nyati 100 waliokuwa wanakimbia simba wafariki kutokana na mkanyagano
Wanyama hao walianguka kutoka kwenye mwamba hadi ndani ya mto na wengine wakakanyagana, kulingana na wizara ya utalii.

24 Septemba, 2025
Maelfu waandamana Malawi baada ya upinzani kuongoza katika uchaguzi wa Urais
Barabara kadhaa katika mji mkuu wa Lilongwe, zimefungwa na wafuasi wanaompinga mkuu wa Tume ya Uchauguzi ya Malawi.


