Tofauti ya uchaguzi wa Tanzania 2025

Kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi , kuna jumla ya wapiga kura 37,655,559 waliojisali, ikiwa ni ongezeko la asilimia 26 ikilinganishwa na idadi ya wapiga kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
18 Septemba, 2025
Ghana kupokea wahamiaji 40 zaidi wa Afrika Magharibi waliotimuliwa kutoka Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje amesema uamuzi wa Ghana uliongozwa na masuala ya kibinadamu baada ya kuchunguza matendo magumu ya watu waliofukuzwa nje ya nchi.
18 Septemba, 2025
Wakimbizi 61 kutoka Sudan wafa maji katika ajali ya meli Libya: Ripoti ya UNCHR

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi limesema ni watu 13 pekee walionusurika baada ya boti iliyokuwa imebeba wakimbizi 74 kutoka Sudan kuzama katika pwani ya Libya.
18 Septemba, 2025
Vurugu Niger: Wenyeji waliuawa wakati wa sherehe ya ubatizo

Mashambulizi haya yametokea katika mkoa wa Tillaberi, karibu na Burkina Faso na Mali, ambapo vikundi vya watuhumiwa vinavyohusishwa na Al-Qaeda na Daesh viko hai.
17 Septemba, 2025

Raia wa Malawi wanasubiria matokeo ya uchaguzi wa urais uliokuwa na ushindani mkali

Ndege isiyokuwa na rubani yawajeruhi wanafunzi nchini Rwanda

Kenya yatoa hati ya kukamtwa kwa raia wa Uingereza kufuatia mauaji ya Mkenya mwaka 2012

Uganda kukopa zaidi ya dola milioni 350 kuendesha miradi yake

Mahakama ya Afrika Kusini yatupa nje kesi ya kukataza mwili wa Lungu kurudishwa Zambia
17 Septemba, 2025
Senegal imekamata mashua ya mbao iliyobeba wahamiaji 112 wakijaribu kuvuka Atlantiki
Mamlaka ya Senegal imewakamata wahamiaji 112 waliokuwa kwenye mashua ndefu ya uvuvi ya mbao nje ya pwani ya Dakar walipokuwa wakijaribu kufika Ulaya kupitia njia ya Bahari ya Atlantiki, maafisa walisema Jumanne.

17 Septemba, 2025
Mahakama ya Kenya yatoa hati ya kukamatwa kwa raia wa Uingereza kufuatia mauaji ya Agnes Wanjiru
Kulingana na Alexander Muteti, ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Nairobi, kulikuwa na sababu za kutoa hati ya kukamatwa kwa mshukiwa huyo ambaye ni mkazi wa Uingereza.

17 Septemba, 2025
Tanzania: Yanga yatwaa taji la Ngao ya Jamii ikiifunga Simba 1-0
Bao pekee la ‘Wananchi’ lilipatikana katika dakika 53 ya mchezo, kupitia kwa mchezaji wao nyota, Pacome Zouzoua, na hivyo kuifanya Simba kupoteza mchezo wao wa sita mfululizo katika michezo tofauti, mbele ya mahasimu wao wa jadi.

16 Septemba, 2025
Bunge la Uganda laanza maandalizi ya michuano ya AFCON 2027
AFCON itaandaliwa na Uganda, Kenya, na Tanzania mwezi Juni na Julai 2027.

16 Septemba, 2025
Chama cha PFF cha Uganda chajiondoa katika kinyang’anyiro cha kugombea Urais 2026
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda wa chama cha PFF, Kizza Besigye, tangu awekwe kizuizini hivi sasa zimetimia siku 300. Besigye anashikiliwa kwa madai ya kumiliki silaha kinyume cha sheria pamoja na uhaini.

16 Septemba, 2025
Raia wa Malawi wapiga kura katika uchaguzi mkuu
Foleni ndefu ziliundwa katika vituo kadhaa vya kupigia kura katika saa nyingi za mashambani kabla ya kufunguliwa saa 6 asubuhi kwa saa za ndani.

16 Septemba, 2025
Ahmed Arajiga kusimama katikati ya dimba kwenye ‘Derby ya Kariakoo’
Mchezo wa ngao ya jamii huashiria kufunguliwa kwa msimu mpya wa mashindano wa 2025-2026, ambao uko chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF).

16 Septemba, 2025
Mnigeria Hilda Baci aweka rekodi Guinness kwa kupika kilogramu 8,780 za wali
Upishi wa mlo huo ulifanyika ndani ya chombo chenye ujazo wa lita 22,000, ukitumia nishati ya gesi ya zaidi ya kilo 1,200 ndani ya saa tisa.

15 Septemba, 2025
Bunge la Uganda lahoji Mamlaka ya Mapato kuhusu gharama ya ukarabati wa magari
Uongozi wa Mamlaka ya Mapato ya Uganda, URA ililieleza bunge kuwa magari yametumika kwa wastani wa miaka 8-12 na kufanyiwa matengenezo makubwa na kati ya magari 6l yaliyochaguliwa, magari 12 yamefanyiwa ukarabati wa injini.

15 Septemba, 2025
Jopo la mawakili wa makamu wa Rais wa Sudan Kusini wasema wako tayari kwenda mahakamani
Makamu huyo wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar ameshtakiwa kwa mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu.


