1 Oktoba, 2025

Mgomo wa wafanyakazi wa mafuta Nigeria wasitishwa

Wizara ya Kazi imeeleza kwamba wafanyakazi walioachishwa kazi watapewa kazi katika sehemu nyingine za Kundi la Dangote bila kupoteza mshahara.

2025 10 01t073205z 1 lynxnpel901fj rtroptp 3 nigeria oil strike

1 Oktoba, 2025

Waandamanaji wa Madagascar warejea mitaani licha ya hatua ya kuvunja serikali

Waandamanaji hao walisema wamesikitishwa na hotuba yake huku wakitaka kuombwa radhi kutoka kwake na kwa waziri mkuu aliyefukuzwa kazi, pamoja na kufutwa kazi kwa msimamizi wa Antananarivo.

1759296065924 a3qtz9 fa4fe8187c0becbf9090bc8555539f6cbc54bd94ae39601e0de3da15dd51fda4

30 Septemba, 2025

Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila ahukumiwa kifo

Kabila, ambaye aliiongoza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutoka mwaka 2001 hadi 2019, amepinga hukumu hiyo, akisisitiza kuwa mahakama ya nchi hiyo ‘imehadaiwa’ kisiasa.

68aa4abbc44418ea42d8b0c6a8051194ab8fcdc45e3502f267412eb970f79c7a

30 Septemba, 2025

DRC yawaachia huru zaidi ya raia 50 wa Somalia baada ya juhudi za kidiplomasia

Kuachiwa kwao kulitokea siku tatu baada ya Balozi Hassan kukutana na viongozi wa DRC na kuwasilisha ombi rasmi kwa niaba ya serikali ya Somalia.

23db0ec074433ad964819e63f013e996f4a937f38126dcde0ab3d8cf8190f1cd

30 Septemba, 2025

Mkuu wa Exxon alitaka hakikisho la usalama kwa mradi wa gesi kutoka kwa rais wa Msumbiji

Afisa Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Exxon, Darren Woods alitaka kuhakikishiwa usalama na rais wa Msumbiji Daniel Chapo kwa mradi wa gesi wa dola bilioni 30 kabla ya kuruhusu mpango huo kuendelea.

2c2b1ce3e1c43e66e007001af8d4200bfe6452f781b341a041884961f72758c9

30 Septemba, 2025

Serikali ya Trump yaunga mkono mpango wa kuongeza muda wa mwaka 1 kwa biashara ya Afrika

Utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump unaunga mkono kuongezwa kwa mwaka mmoja kwa mpango wa kibiashara kati ya Afrika na Marekani, ambao muda wake unamalizika leo, 30, Septemba, kulingana na afisa wa Ikulu ya White House.

00b806c55c5ffb736b6ec82951cbc1200cdea0a20b46b15fb7cdb8b78b3ca56f

30 Septemba, 2025

Misri na Somalia wajadili ushirikiano wa kijeshi, kuunga mkono utulivu wa Afrika

Waziri wa Ulinzi wa Misri Abdul Majeed Saqr na mwenzake wa Somalia, Ahmed Moalim Fiqi, walijadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na kuunga mkono utulivu kote barani Afrika wakati wa mkutano mjini Cairo siku ya Jumatatu.

e3662dc71c41deeeb1dbd2f6f1ce3213dc90c1970a9d405b686b4fe3375b628b main

30 Septemba, 2025

Rais wa Madagascar aifuta serikali kufuatia maandamano

Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameifuta kazi serikali yake kufuatia maandamano makali dhidi ya kukatika kwa maji na umeme katika eneo la Bahari ya Hindi.

1b00c211 1d09 4a39 8ffd c680e4c42b62 main

29 Septemba, 2025

Tanzania, Zambia na China zatenga Dola Bilioni 1.4 kufufua reli ya TAZARA

Siku ya Jumatatu, nchi hizo tatu zilisaini mkataba wa Dola Bilioni 1.4, wenye lengo la kufufua reli hiyo ya miaka 50.

376586a916f2341262990d0b5b28cee05fa8a54ab7aeec911b387dd3cf5abc47 main 1

29 Septemba, 2025

Ushelisheli kumchagua rais katika duru ya pili ya uchaguzi

Hakuna mgombea aliyepata asilimia 50 ya kura kuwezesha kupatikana kwa mshindi katika duru ya kwanza .

97226e824309a39396d97cf4d361611ef47061a7ef0b5cbce719789baaf5dc95
Inapakia...