16 Desemba, 2025

Mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa akamatwa Ureno kwa tuhuma za utakatishaji fedha

“Mashtaka yake yanahusishwa na uchunguzi unaoendelea wa utakatishaji fedha,” polisi wa mahakama ya Ureno walisema.

f66d0b020fb2c88eeaddc742f006d2410224c85175cdcf06aa0180a3b80f6bce

16 Desemba, 2025

Umoja wa Mataifa: Droni zaua raia zaidi ya 100 Sudan tangu Disemba 4

“Nimeshtushwa na kuongezeka kwa mashambulizi,” amesema Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN, Volker Türk.

7ed4489e4665c28caf2868bf9aef4427de237f4d97a14d2a59e4b1f03ba168e8

16 Desemba, 2025

Wamisri 14 wafariki baada ya boti la wahamiaji kuzama Crete

“Tunatoa wito kwa raia wa Misri kutohadaiwa na mitandao ya uhamiaji haramu,” ilisema Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri.

77a8d444d5e83b5e2446b848d80fa21738f24baf06d7090d67635e960a8f0d03

16 Desemba, 2025

Benin yawakamata karibu watu 30 kwa tuhuma za jaribio la mapinduzi

Benin imewakamata watu takriban 30, wengi wao wanajeshi, kwa madai ya kuhusika na jaribio la mapinduzi.

c6d7b92717451588a610f4781e56138c6d16759214d3d4918eda2256d05b9687

16 Desemba, 2025

Burhan yuko tayari kwa mazungumzo ya amani na Trump

Alithibitisha utayari wa Sudan kufanya kazi na Rais Trump kumaliza vita.

a1f354d8c1bb7499f04e9625984e8755f4a56ea6facaa01553a8722bf8599606

16 Desemba, 2025

Waasi wa M23 wajiondoa Uvira baada ya ombi la Marekani

Hatua hii inalenga kujenga imani na kutoa nafasi kubwa kwa mafanikio ya mchakato wa amani.

166392b1e1510c85ea864af1f74de663b85bac98e39cc1ced42964bd94cec5da

16 Desemba, 2025

Idadi ya vifo vya mafuriko Morocco yafikia 37 mjini Safi

Watu 14 wanaendelea kupatiwa matibabu hospitalini, wakiwemo wawili walioko katika hali mahututi.

1765796451663 46k3lc feea6c0c9127f6114f1d49355292dc252a9d86ef150e092e41ab48d5a4724bed main 1

15 Desemba, 2025

M23 yadai kuwakamata wanajeshi wa Burundi katika mashambulizi ya Uvira

Wanajeshi waliokamatwa watasindikizwa kurejea nyumbani.

4c965f9fa65d6e5bc8ecf345c54f61b97e8ddfcab88e747c9f482ffd486d94db

15 Desemba, 2025

Bunge la Zambia laidhinisha muswada tata wa kubadilisha sheria za uchaguzi

“Haya ni maagano na watu wa Zambia kuendeleza usawa,” alisema Waziri wa Haki, Princess Kasune.

3ab5f7681fd94e0be3e366a38e2d91dafb3cf5a93f9ab51cce25b6eea9299fe2

15 Desemba, 2025

Mwanamazingira Kijana Truphena Muthoni Apatiwa Tuzo ya Rais Ruto, Kenya Ipeperushwe Kimataifa

Truphena Muthoni, mwenye umri wa miaka 22, ametuzwa medali ya Head of State Commendation kwa juhudi zake za kuhifadhi miti na mazingira.

146
Inapakia...