Watu 14 wauawa katika kambi ya wakimbizi wa ndani mashariki mwa DRC

Wengi ya waliouawa ni wakulima ambao walikuwa wanaenda katika mashamba yao, taarifa zinasema
3 Oktoba, 2025
Wafanyabiashara wa Kenya kutoathiriwa na agizo jipya la leseni za biashara Tanzania

Kenya imekaribisha hatua hiyo ya serikali ya Tanzania, na kusema inaonesha utashi wa ushirikiano ndani ya EAC.
3 Oktoba, 2025
WHO: Kipindupindu ‘hatari kubwa kwa afya ya umma’ huku zaidi ya maambukizi 190,000 yaripotiwa

WHO inasaidia vituo vya matibabu ya kipindupindu, kutoa vifaa na kuwezesha chanjo
3 Oktoba, 2025
Jitihada za dharura zapunguza kasi ya maambukizi ya Ebola DRC

Ugonjwa wa Ebola, ambao ni mbaya zaidi nchini DRC, ulitokea kati ya mwaka 2018 na 2020, na kusababisha karibu vifo 2,300 na maambukizi 3,500.
2 Oktoba, 2025

Maafisa wa Kenya Haiti kurudi nyumbani

Mkuu wa haki za binadamu UN atoa wito wa kuzuiwa ‘ukatili mkubwa zaidi’ El Fasher, Sudan

Maandamano ya Morocco: Zaidi ya 400 wakamatwa baada ya mapigano ya kuvuruga na polisi

Wakazi Dar es Salaam, Tanzania wapata mabasi mapya ya Mwendokasi

Ahueni kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri bei za mafuta zikishuka mwezi Oktoba
1 Oktoba, 2025
Mgomo wa wafanyakazi wa mafuta Nigeria wasitishwa
Wizara ya Kazi imeeleza kwamba wafanyakazi walioachishwa kazi watapewa kazi katika sehemu nyingine za Kundi la Dangote bila kupoteza mshahara.

1 Oktoba, 2025
Waandamanaji wa Madagascar warejea mitaani licha ya hatua ya kuvunja serikali
Waandamanaji hao walisema wamesikitishwa na hotuba yake huku wakitaka kuombwa radhi kutoka kwake na kwa waziri mkuu aliyefukuzwa kazi, pamoja na kufutwa kazi kwa msimamizi wa Antananarivo.

30 Septemba, 2025
Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila ahukumiwa kifo
Kabila, ambaye aliiongoza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutoka mwaka 2001 hadi 2019, amepinga hukumu hiyo, akisisitiza kuwa mahakama ya nchi hiyo ‘imehadaiwa’ kisiasa.

30 Septemba, 2025
DRC yawaachia huru zaidi ya raia 50 wa Somalia baada ya juhudi za kidiplomasia
Kuachiwa kwao kulitokea siku tatu baada ya Balozi Hassan kukutana na viongozi wa DRC na kuwasilisha ombi rasmi kwa niaba ya serikali ya Somalia.

30 Septemba, 2025
Mkuu wa Exxon alitaka hakikisho la usalama kwa mradi wa gesi kutoka kwa rais wa Msumbiji
Afisa Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Exxon, Darren Woods alitaka kuhakikishiwa usalama na rais wa Msumbiji Daniel Chapo kwa mradi wa gesi wa dola bilioni 30 kabla ya kuruhusu mpango huo kuendelea.

30 Septemba, 2025
Serikali ya Trump yaunga mkono mpango wa kuongeza muda wa mwaka 1 kwa biashara ya Afrika
Utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump unaunga mkono kuongezwa kwa mwaka mmoja kwa mpango wa kibiashara kati ya Afrika na Marekani, ambao muda wake unamalizika leo, 30, Septemba, kulingana na afisa wa Ikulu ya White House.

30 Septemba, 2025
Misri na Somalia wajadili ushirikiano wa kijeshi, kuunga mkono utulivu wa Afrika
Waziri wa Ulinzi wa Misri Abdul Majeed Saqr na mwenzake wa Somalia, Ahmed Moalim Fiqi, walijadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na kuunga mkono utulivu kote barani Afrika wakati wa mkutano mjini Cairo siku ya Jumatatu.

30 Septemba, 2025
Rais wa Madagascar aifuta serikali kufuatia maandamano
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameifuta kazi serikali yake kufuatia maandamano makali dhidi ya kukatika kwa maji na umeme katika eneo la Bahari ya Hindi.

29 Septemba, 2025
Tanzania, Zambia na China zatenga Dola Bilioni 1.4 kufufua reli ya TAZARA
Siku ya Jumatatu, nchi hizo tatu zilisaini mkataba wa Dola Bilioni 1.4, wenye lengo la kufufua reli hiyo ya miaka 50.

29 Septemba, 2025
Ushelisheli kumchagua rais katika duru ya pili ya uchaguzi
Hakuna mgombea aliyepata asilimia 50 ya kura kuwezesha kupatikana kwa mshindi katika duru ya kwanza .




