26 Septemba, 2025

Rais wa Madagascar amfuta kazi waziri wa nishati baada ya maandamano kuhusu kukatwa kwa umeme

Rais Andry Rajoelina amekiri kuwa “waziri wa nishati hakuwa anafanya kazi yake kama inavyotakiwa”.

d83d8ecb93fb284b522ab47724b9a082a14e1f0962297c9742cdeaa524ae8f87

26 Septemba, 2025

Hamna watu katika barabara za Madagascar baada ya maandamano ya vurugu

Hakukuwa na polisi wengi na magari yalianza kurejea tena barabarani katikati mwa mji asubuhi, ingawa haikuwa idadi kubwa ya magari kama ilivyo kawaida.

c45e7fdfde48f53c4a786caf3148139005245b834fb52637c0e3c72561b1da55

26 Septemba, 2025

Waziri mkuu wa Sudan aomba UN, jamii ya kimataifa kutangaza RSF kuwa ‘wapiganaji wa kigaidi’

Idris ameomba jamii ya kimataifa, Umoja wa Mataifa kuzuia kufikishwa kwa silaha, na mamluki ndani ya nchi

617eb13f4eb40cb9b315e9320448bcabe396801c61a1d670e1ddfccef7e1fa08

26 Septemba, 2025

Ethiopia yataka usawa ufikiaji wa Bahari ya Sham na ya Hindi kwa mataifa yote

Rais wa Ethiopia, Taye Atske Selassie, alitoa wito Alhamisi kwa mataifa yote kupata haki sawa ya kufikia Bahari ya Sham na Bahari ya Hindi, akieleza kuwa bahari hizo ni “urithi wa pamoja wa binadamu.”

6288b5891d3d74d4b8af706e2d9440845911da1c6f66783ab2db4f6766a5a853

26 Septemba, 2025

Amri ya kutotoka nje yatangazwa katika mji mkuu wa Madagascar kufuatia maandamano ya fujo

Mamlaka nchini Madagascar siku ya Alhamisi iliweka amri ya kutotoka nje kuanzia jioni hadi alfajiri katika mji mkuu, kufuatia maandamano ya fujo yaliyosababishwa na ukosefu wa umeme na maji wa mara kwa mara, kwa mujibu wa afisa mwandamizi wa usalama.

93e53837caec82f070f16c4a212a8686b70b12f542c9459e08a6b1cf1e444c30

26 Septemba, 2025

Urusi na Ethiopia zasaini mpango wa kuanzisha mradi wa nishati ya nyuklia

Urusi na Ethiopia zimesaini mpango wa kuanzisha mradi wa ujenzi wa kiwanda cha nishati ya nyuklia katika nchi hiyo ya Afrika, shirika la habari la TASS limeripoti.

011bfd7c661cf76adc42a376b22567845cc04a9dd55aa25f17108fb3b4e141eb

25 Septemba, 2025

Uganda yasaini makubaliano ya kuwapokea kwa muda waomba hifadhi ya kisiasa waliokataliwa Uholanzi

Uholanzi na Uganda wamekubaliana kushirikiana katika suala la kuwapokea waomba hifadhi ya kisiasa waliokataliwa kwa muda, serikali ya Uholanzi ilisema siku ya Alhamisi.

5755b78cc4aafbe75cdaffb930580b64df34e1f69fbc1d9da3437210a948087e

25 Septemba, 2025

Kiongozi wa Al-Shabab miongoni mwa magaidi 24 waliouawa Somalia

Maafisa wa usalama wa Somalia wanasema wameratibu operesheni iliyowalenga viongozi wa al-Shabab na magaidi wengine, na kuwaua magaidi 24.

9f5f3b015510425dad944c91c36de47ffcc6071e3de6d5324d73d9cf29b2c26e

25 Septemba, 2025

Kenya yatarajia kufikia makubaliano ya biashara na Marekani

Kenya inatafuta kufikia soko la Marekani kwa bidhaa zake za mavazi, nguo na bidhaa za kilimo ikiwa ni pamoja na chai, kahawa na parachichi.

637cef3bce1273d3e4c383f5dfc42f910c838d53d3fdeb35fdddcb0af9f0f9cf

25 Septemba, 2025

Umoja wa Afrika wampongeza Mutharika kwa kushinda uchaguzi wa Malawi

Peter Mutharika amepata ushindi mkubwa dhidi ya Rais aliyekuwa madarakani Lazarus Chakwera, Tume ya Uchaguzi ya Malawi ilitangaza Jumatano.

59a9deacd8ad82d19db5a54bd15c361512dba40b2ec04644738d2eb12e6fdd0f
Inapakia...