Tanzania yashitakiwa Mahakama ya Afrika Mashariki kwa kuzima intaneti

“Uzimwaji wa intaneti nchini Tanzania ulikuwa na athari kubwa kwenye uchumi, jamii na haki za kiraia,” wanaharakati wa LHRC walisema.
15 Desemba, 2025
Mwigulu Nchemba awahimiza Watanzania kuweka akiba ya chakula kutokana na kuchelewa kwa mvua

Akiba ya chakula leo ni kinga ya njaa kesho.
15 Desemba, 2025
Umoja wa Afrika walaani shambulio la kigaidi katika ufukwe wa Sydney

“Umoja wa Afrika unakataa vikali ugaidi wa aina zote na kusisitiza kuwa hakuna sababu inayoweza kuhalalisha kulenga raia wasio na hatia.”
— Mahmoud Ali Youssouf, Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika
15 Desemba, 2025
Senegal yaina matumaini wachezaji walioumia watakuwa tayari AFCON Morocco

“Tuna imani kubwa kwamba wachezaji wetu walioumia watakuwa tayari kucheza AFCON. Wameonyesha maendeleo mazuri na timu ya madaktari inaendelea kuwafuatilia kwa karibu,” alisema kocha wa Senegal, Pape Thiaw.
15 Desemba, 2025

Uingizaji holela wa mafuta ghafi Nigeria unatishia ajira na uwekezaji – Dangote

Makumi ya wafungwa wa kidini waachiwa huru nchini Eritrea

Bobi Wine alishtumu jeshi la Uganda kwa kuwazuia raia kinyume cha sheria

Guterres: Tanzania ni kielelezo cha amani Afrika na duniani

Mafuriko yaua takriban watu 21 katika mkoa wa Safi, Morocco
15 Desemba, 2025
Matembezi ya amani Mombasa yatoa wito wa kusitishwa kwa vita barani Afrika
“Hivi sio vita vya kikabila tu, bali ni migogoro inayochochewa na watu wenye nguvu wanaopigania rasilimali za Afrika,”
— Mwaivu Kaluka, mwanaharakati wa Chama cha Kikomunisti Kenya.

15 Desemba, 2025
ECOWAS yakataa mpango wa mpito wa kijeshi wa Guinea-Bissau, yatishia vikwazo
“Kile viongozi wa ECOWAS wameamua kufanya ni kuhakikisha kuwa hakuna uvumilivu kwa mabadiliko ya serikali yasiyo ya kikatiba,”
— Omar Touray, Rais wa Tume ya ECOWAS.

15 Desemba, 2025
Mapigano mapya Mashariki mwa DRC yawahamisha zaidi ya watoto 100,000, UN yasema
“Watoto hawapaswi kamwe kulipia gharama za mzozo,”
— Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF).

15 Desemba, 2025
Mbunge wa upinzani Sudan Kusini auawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake
“Tunazitaka mamlaka kuchunguza mauaji haya na kuwafikisha wahusika mbele ya sheria,”
— Chama cha SPLM-IO.

15 Desemba, 2025
Watu saba wauawa katika shambulio la droni kwenye hospitali kusini mwa Sudan
“Waathiriwa walikuwa wagonjwa na jamaa zao waliokuwepo hospitalini,”
— Mfanyakazi wa afya, Dilling.

14 Desemba, 2025
Kampeni za uchaguzi waanza Jamhuri ya Afrika ya Kati kabla ya kura za Desemba 28
Uchaguzi huu ni mtihani wa amani, umoja na mustakabali wa taifa letu.

14 Desemba, 2025
Mashambulizi dhidi ya walinda amani wa Bangladesh nchini Sudan yanaweza kuwa uhalifu wa kivita: UN
“Mashambulizi dhidi ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa hayawezi kusamehewa na yanaweza kuwa uhalifu wa kivita,”
— Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.

14 Desemba, 2025
Jumba kuu la makumbusho Libya lafuguliwa kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa Gaddafi
“Kufunguliwa tena kwa Makumbusho ya Taifa si tukio la kitamaduni tu, bali ni ushahidi kwamba Libya inajenga upya taasisi zake,”
— Abdulhamid al-Dbiebah, Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.

14 Desemba, 2025
Marekani yatishia hatua dhidi ya Rwanda kwa “ukiukaji wa wazi” wa makubaliano ya amani ya DRC
“Vitendo vya Rwanda mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni ukiukaji wazi wa Makubaliano ya Washington, na Marekani itachukua hatua kuhakikisha ahadi zinatimwa,”
— Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

13 Desemba, 2025
DRC yaahidi kuukomboa mji wa kimkakati wa Uvira uliotekwa na waasi
“Hatutajisalimisha. Vita vya kukomboa Kivu Kusini havijamalizika,”
— Guillaume Ngefa, Waziri wa Sheria wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.



