Mauritania imeripoti kifo cha kwanza kutokana na Homa ya Rift Valley tangu 2022

Mamlaka ya Mauritania Jumapili iliripoti kifo cha kwanza kutokana na Homa ya Bonde la Ufa tangu 2022.
29 Septemba, 2025
Meli ya misaada ya Global Sumud inayoelekea Gaza inakaribia pwani ya kaskazini mwa Misri

Kamati ya Kimataifa ya Kuvunja Mzingiro wa Gaza inasema wanatarajia Israel itafanya uhalifu wa kivita dhidi yao wakati wowote.
29 Septemba, 2025
Gabon yafanya uchaguzi wa bunge kurudi katika utawala wa kiraia

Vituo vya kupigia kura vilipaswa kusalia wazi hadi saa 12:00 jioni kwa saa za ndani (1700 GMT) ili kuruhusu wapiga kura 900,000 kuchagua wabunge 145.
28 Septemba, 2025
Maelfu ya waandamanaji nchini Afrika Kusini wanadai kukata uhusiano na Israel

Maandamano hayo yalileta pamoja mashirika kadhaa yanayoiunga mkono Palestina, vyama vya siasa, na makundi ya Kiislamu na Kikristo katika mojawapo ya mahudhurio makubwa zaidi katika miezi kadhaa.
28 Septemba, 2025

Ushelisheli kufanya uchaguzi wa marudio wa urais baada ya kukosa mshindi wa moja kwa moja

Niger yaiambia UNGA Ufaransa lazima ‘ikumbuke na kutambua uhalifu wake’

Gambia, Somalia zinakuza sayansi ya uchunguzi kwa ushirikiano na Uturuki

Utawala wa Trump wabadili vizuizi vya visa kwa Ghana baada ya makubaliano juu ya wahamiaji

Botswana yenye utajiri wa almasi yazindua uraia kwa mpango wa uwekezaji ili kukuza uchumi
26 Septemba, 2025
Rais wa Madagascar amfuta kazi waziri wa nishati baada ya maandamano kuhusu kukatwa kwa umeme
Rais Andry Rajoelina amekiri kuwa “waziri wa nishati hakuwa anafanya kazi yake kama inavyotakiwa”.

26 Septemba, 2025
Hamna watu katika barabara za Madagascar baada ya maandamano ya vurugu
Hakukuwa na polisi wengi na magari yalianza kurejea tena barabarani katikati mwa mji asubuhi, ingawa haikuwa idadi kubwa ya magari kama ilivyo kawaida.

26 Septemba, 2025
Waziri mkuu wa Sudan aomba UN, jamii ya kimataifa kutangaza RSF kuwa ‘wapiganaji wa kigaidi’
Idris ameomba jamii ya kimataifa, Umoja wa Mataifa kuzuia kufikishwa kwa silaha, na mamluki ndani ya nchi

26 Septemba, 2025
Ethiopia yataka usawa ufikiaji wa Bahari ya Sham na ya Hindi kwa mataifa yote
Rais wa Ethiopia, Taye Atske Selassie, alitoa wito Alhamisi kwa mataifa yote kupata haki sawa ya kufikia Bahari ya Sham na Bahari ya Hindi, akieleza kuwa bahari hizo ni “urithi wa pamoja wa binadamu.”

26 Septemba, 2025
Amri ya kutotoka nje yatangazwa katika mji mkuu wa Madagascar kufuatia maandamano ya fujo
Mamlaka nchini Madagascar siku ya Alhamisi iliweka amri ya kutotoka nje kuanzia jioni hadi alfajiri katika mji mkuu, kufuatia maandamano ya fujo yaliyosababishwa na ukosefu wa umeme na maji wa mara kwa mara, kwa mujibu wa afisa mwandamizi wa usalama.

26 Septemba, 2025
Urusi na Ethiopia zasaini mpango wa kuanzisha mradi wa nishati ya nyuklia
Urusi na Ethiopia zimesaini mpango wa kuanzisha mradi wa ujenzi wa kiwanda cha nishati ya nyuklia katika nchi hiyo ya Afrika, shirika la habari la TASS limeripoti.

25 Septemba, 2025
Uganda yasaini makubaliano ya kuwapokea kwa muda waomba hifadhi ya kisiasa waliokataliwa Uholanzi
Uholanzi na Uganda wamekubaliana kushirikiana katika suala la kuwapokea waomba hifadhi ya kisiasa waliokataliwa kwa muda, serikali ya Uholanzi ilisema siku ya Alhamisi.

25 Septemba, 2025
Kiongozi wa Al-Shabab miongoni mwa magaidi 24 waliouawa Somalia
Maafisa wa usalama wa Somalia wanasema wameratibu operesheni iliyowalenga viongozi wa al-Shabab na magaidi wengine, na kuwaua magaidi 24.

25 Septemba, 2025
Kenya yatarajia kufikia makubaliano ya biashara na Marekani
Kenya inatafuta kufikia soko la Marekani kwa bidhaa zake za mavazi, nguo na bidhaa za kilimo ikiwa ni pamoja na chai, kahawa na parachichi.

25 Septemba, 2025
Umoja wa Afrika wampongeza Mutharika kwa kushinda uchaguzi wa Malawi
Peter Mutharika amepata ushindi mkubwa dhidi ya Rais aliyekuwa madarakani Lazarus Chakwera, Tume ya Uchaguzi ya Malawi ilitangaza Jumatano.




