Spika wa zamani wa Nigeria Tambuwal akamatwa kwa madai ya ufisadi wa milioni $123

Aminu Tambuwal alikamatwa Jumatatu katika mji mkuu, Abuja, kwa madai ya ubadhirigu wa fedha karibu Naira bilioni 189 (milioni $123).
12 Agosti, 2025
Vyama 11 vyachukua fomu za kuwania nafasi ya urais nchini Tanzania

Ikumbukwe kwamba, chama kikuu cha upinzani nchini humo, CHADEMA hakitoshiriki uchaguzi wa Oktoba 2025 baada ya kushindwa kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, wakitaka kufanyike kwa mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi nchini humo.
12 Agosti, 2025
Rais wa Uganda afanya ziara Misri, maongezi kuhusu mto Nile yatarajiwa kufanyika

Ziara yake ni ya kidiplomasia inayolenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili na kuendeleza ushirikiano wa kikanda kwenye Mto Nile.
12 Agosti, 2025
Kenya wawanolea makucha Morocco katika mkutano wa kwanza wa Kundi A katika uwanja wa Kasarani

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.
12 Agosti, 2025

Watu 80 wamefariki dunia nchini Kenya katika ajali za barabarani ndani ya siku nne

Somalia yawanyonga wanajeshi kwa kula njama na magaidi wa Al Shabab kumuua kamanda mkuu

Wanajeshi wa RSF waua zaidi ya 40 katika kambi ya Darfur: waokoaji

Jeshi la Nigeria laua zaidi ya ‘wapiganaji’ 100 katika mashambulizi ya angani,ardhini

Maafisa waliofariki katika ajali ya helikopta Ghana wazikwa
11 Agosti, 2025
Chad yaadhimisha siku ya uhuru
Nchi hiyo kwa sasa iko chini ya uongozi wa Rais Mahamat Deby, ambaye aliapishwa tarehe 23 Mei 2024 kufuatia uchaguzi wa rais wa 2024.

11 Agosti, 2025
Wagombea zaidi wa Urais Tanzania wapokea fomu zao za uteuzi kutoka kwa Tume huru ya Uchaguzi
Miongoni mwa wagombea waliokabidhiwa fomu zao za kugombea urais na makamu wa rais, ni George Gabriel Bussungu kupitia tiketi ya Chama cha Tanzania Democratic Alliance (TADEA).

11 Agosti, 2025
Utapiamlo waua watu 63 kwa wiki katika jimbo la El-Fasher Sudan
Upungufu wa lishe umekuwa ukisababisha vifo vya angalau watu 63, wengi wakiwa wanawake na watoto, katika wiki moja katika mji uliozingirwa wa El-Fasher nchini Sudan, afisa wa afya alisema Jumapili.

11 Agosti, 2025
Sudan Kusini, Uganda kuchunguza mapigano ya mpakani
Sudan Kusini na Uganda kwa pamoja zitachunguza mapigano makali ya hivi majuzi kwenye mpaka wao, jeshi la Sudan Kusini lilisema Jumapili.

10 Agosti, 2025
Waziri wa Ulinzi wa Somalia Fiqi awapongeza wanajeshi kwa ‘ushujaa’ dhidi ya magaidi wa Al Shabab
Mji wa Bariire nchini Somalia ulikombolewa kutoka kwa magaidi wa Al Shabab kufuatia siku kadhaa za operesheni za kijeshi.

10 Agosti, 2025
Maelfu wafanya maandamano nchini Sudan kuishukuru Uturuki
Mkutano huo, uliohudhuriwa na maafisa wa Ubalozi wa Uturuki nchini Sudan, ulifanyika katika mji wa Sawakin Jumamosi.

9 Agosti, 2025
Njaa na magonjwa yanaenea nchini Sudan – shirika la Umoja wa Mataifa
Shirika la Afya Duniani limesema kuwa maisha mengi zaidi yako katika hatari bila ya hatua za dharura, ikijumuisha kuimarisha upatikanaji wa matibabu.

9 Agosti, 2025
DR Congo inawatuhumu waasi kwa mauaji ya raia licha ya kuwepo kwa mapatano
Vurugu zinazoendelea zinaweza kuhatarisha juhudi za Qatar za kupata DR Congo na waasi kusaini mkataba wa amani wa kudumu ifikapo Agosti 18.

9 Agosti, 2025
Niger yataifisha mgodi pekee wa dhahabu nchini humo
Niger, Mali na Burkina Faso wamechukua hatua katika miaka ya hivi karibuni ili kuongeza udhibiti wao juu ya rasilimali zao.

9 Agosti, 2025
Takriban waombolezaji 21 wafariki katika ajali ya basi nchini Kenya
Tukio la Ijumaa lilitokea katika Kaunti ya Kisumu baada ya basi – inaaminiwa kuwa lilikuwa linarudi kutoka kwenye mazishi mapema siku hiyo – kuanguka, kulingana na vyombo vya habari vya ndani


