Waziri Mkuu Kenya: Tuna haki ya kufanya biashara na nchi tofauti duniani

Waziri Mkuu wa Kenya Musalia Mudavadi amethibitisha haya wakati muswada unaopendekezwa katika Seneti ya Marekani ukitishia kufuta hadhi ya nchi hiyo isiyo ya NATO (MNNA) kuhusu uhusiano wake wa kibiashara na Iran na Urusi.
8 Agosti, 2025
Kenya: Ajali ya treni na basi dogo yaua watu 8

Kati ya waliopoteza maisha katika ajali hiyo, ni pamoja na dereva wa basi hilo linalomilikiwa na kampuni ya KPC.
8 Agosti, 2025
CHAN 2024: VAR ‘yaokoa milioni moja’ ya Rais William Ruto

Hii ni baada ya timu ya taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ kutoka suluhu na timu ya taifa ya Angola, katika mchezo wao wa pili wa Kundi A, uliofanyika Agosti 7, 2025.
7 Agosti, 2025
Kambi za wakimbizi Gambella, Ethiopia zakosa rasilimali za kutosha

Eneo hilo, ambalo linahifadhi zaidi ya wakimbizi 395,000 – wengi wao kutoka Sudan Kusini katika kambi saba – linashuhudia ongezeko la utapiamlo kwa watoto, ugonjwa wa malaria, na wagonjwa kulazwa.
7 Agosti, 2025

CHAN 2024: Tanzania yavuna alama sita baada ya kuifunga Mauritania

Umoja wa Afrika wahuzunishwa na ajali ya helikopta iliyoua mawaziri wawili wa Ghana

Spika za zamani wa bunge la Tanzania Job Ndugai afariki dunia

ACT Wazalendo yapendekeza majina ya wagombea urais Tanzania bara na Zanzibar

Uganda kuidhinisha mashirika mengine kutoa mafunzo ya ubobezi wa uanasheria
6 Agosti, 2025
Ethiopia yamteua mjumbe mpya nchini Somalia baada ya mvutano wa kidiplomasia
Hatua hiyo inafuatia Azimio la Ankara lililotiwa saini Disemba 2024 ambalo lilipunguza mvutano kuhusu mkataba wa Ethiopia na Somaliland wa ufikiaji wa bahari.

6 Agosti, 2025
DRC kuanza kutoa vitambulisho vya taifa kwa kwa raia
Baada ya zoezi hilo kusimamishwa mwaka 2022 kutokana na ukiukaji wa mkataba na mshirika wa zamani, mradi huo sasa unaanza upya huku ushirikiano mpya ukikamilika na kampuni ya kutoka Ghana.

6 Agosti, 2025
Malawi na Zambia katika mradi wa majaribio wa Marekani unaohitaji dhamana ya $15000 ya viza
Msemaji wa Idara ya Mambo ya Nje anasema kwamba orodha ya nchi inaweza kusasishwa mara kwa mara.

6 Agosti, 2025
Sudan: Al-Burhan aahidi kushinda Vikosi vya Msaada wa Haraka na kusafisha kabisa Darfur
Rais wa Baraza la Uongozi wa Mpito nchini Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amerudia ahadi yake jana Jumanne ya kuiondoa Kikosi cha Usaidizi wa Haraka katika mkoa wa Darfur magharibi mwa nchi.

6 Agosti, 2025
‘Hatari ya njaa’ kwa maelfu waliokwama katika mji wa Sudan uliozingirwa
Jeshi la RSF limeizunguka mji, kuzuia njia kuu zote na kuwafunga maelfu ya wananchi wenye vifaa vya chakula vinavyokwisha na upatikanaji wa huduma za kibinadamu uliokwisha.

6 Agosti, 2025
Rais wa Burundi amteua waziri wa fedha kuwa waziri mkuu mpya
Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, amemtaja Nestor Ntahontuye kuwa waziri mkuu mpya wa nchi ya Afrika Mashariki.

5 Agosti, 2025
CHAN 2024: Senegal yaibuka mbabe dhidi ya Nigeria
‘Simba wa Teranga’ wamewathibitishia ‘Tai wa Kijani’ kuwa wao ni bora kwa kiwango cha soka duniani, baada ya kuilaza kwa bao 1-0, katika mchezo wa Kundi D wa michuano ya CHAN 2024.

5 Agosti, 2025
Tanzania: Humphrey Polepole apoteza hadhi ya ubalozi, uteuzi wake watenguliwa
Kulingana na taarifa iliyotolewa Agosti 5, 2025, Rais Samia pia amemuachisha kazi Polepole kwa manufaa ya umma.

5 Agosti, 2025
Rwanda ‘ipo tayari’ kupokea wahamiaji 250 kutoka Marekani
Mpango huo ulisitishwa baada ya uchaguzi wa mwaka jana nchini Uingereza.

5 Agosti, 2025
Magaidi 70 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya kijeshi Somalia
Wanajeshi wawili wameuawa na wengine 12 kujeruhiwa wakati wa operesheni katika kanda ya Lower Shabelle, Wizara ya Ulinzi imesema


