Serikali ya Benin Yasema Jaribio la Mapinduzi Limezimwa

Kundi la askari latangaza kumuondoa Rais Talon, lakini jeshi la kawaida ladhibiti hali; ECOWAS lalamikia “kuvuruga mapenzi ya wananchi.”
7 Desemba, 2025
AU yalaani shambulizi la droni Sudan lililoua zaidi ya watu 100

Zaidi ya watu 100 wauawa shambulio la droni Kalogi; AU yataka mapigano yakome.
7 Desemba, 2025
ECOWAS yalaani jaribio la mapinduzi Benin, yaahidi msaada kamili kwa Rais Talon

Jumuiya ya Afrika Magharibi yasema kitendo hicho ni uvunjifu wa katiba na ‘kuvuruga mapenzi ya watu wa Benin’ huku ikiahidi hatua zote za kuilinda serikali halali.
7 Desemba, 2025
Ikulu ya Benin yasema Rais Talon yuko salama licha ya wanajeshi kutangaza ‘mapinduzi’ na kudhibiti televisheni ya taifa

Vyanzo vya serikali vinasema jeshi la kawaida linarejesha amri baada ya kundi dogo la wanajeshi kujitangaza kuwa limeondoa utawala wa Talon kupitia matangazo ya TV ya taifa.
7 Desemba, 2025

Wanajeshi watangaza kumng’oa Rais Talon, serikali ya Benin yasema hali iko chini ya udhibiti

Serikali ya Tanzania yashangazwa na taarifa ya nchi za kigeni juu ya matukio ya Oktoba 29

Mapigano yachacha Congo saa chache baada ya hafla ya kusaini makubaliano ya amani ya Trump

Watoto 43 kati ya 79 waliouawa katika shambulio la droni ya RSF huko Kordofan Kusini

Wasomali wakamatwa Minneapolis katika msako wa wahamiaji
5 Desemba, 2025
Makubaliano ya Rwanda na DRC yafungua nafasi ya Marekani kuchimba madini
Mnamo Machi 2025, Rais wa DRC Felix Tshisekedi alipendekeza kwa Marekani kuwezesha upatikanaji wa madini ya kimkakati ili kubadilishana na makubaliano rasmi ya usalama.

5 Desemba, 2025
Baadhi ya nchi za Magharibi zataka Tanzania ikabidhi maiti za waliouawa baada ya uchaguzi
Serikali ya Tanzania imetakiwa kukabidhi miili ya waliouawa baada ya uchaguzi mkuu kwa ndugu zao, pamoja na kuwaachia wafungwa wote wa kisiasa.

5 Desemba, 2025
Trump ameipongeza Congo na Rwanda kwa kusaini mkataba wa amani unaosimamiwa na Marekani
Rais Donald Trump aliwapongeza viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Rwanda kwa ujasiri wao walipotia saini makubaliano siku ya Alhamisi yenye lengo la kumaliza mzozo wa mashariki mwa Congo na kutoa fursa ya uchimbaji madini kwa Marekani.

4 Desemba, 2025
Marais Paul Kagame, Felix Tshisekedi watia saini mkataba wa kumaliza machafuko mashariki mwa DRC
Utiaji saini wa mkataba huo wa amani unakuja miezi mitano, baada ya mawaziri wa mambo ya nje wa Rwanda na DRC kukutana na Rais Trump, na kuonesha nia yao ya kumaliza mapigano.

4 Desemba, 2025
Marekani ‘kupitia upya’ uhusiano wake na Tanzania
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inasema kuwa haiwezi kudharua matukio yenye kuhatarisha usalama wa raia wa Marekani waliopo nchini Tanzania

4 Desemba, 2025
Malawi yaidhinisha matumizi ya sindano ya dawa ya Virusi Vya Ukimwi (VVU)
Wataalamu wa afya wamepongeza hatua hiyo katika kudhibiti wimbi la maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU).

4 Desemba, 2025
Mkuu wa masuala ya haki aonya kuhusu ‘wimbi jipya la ukatili’ katika eneo la Kordofan, Sudan
Mkuu wa masuala ya Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk, ametoa wito wa mapigano kusitishwa mara moja huku vifo vya raia na njaa vikizidi kuongezeka.

4 Desemba, 2025
Morocco Yageukia Maji ya Bahari Ili Kukabiliana na Ukame Mkali
“Mitambo yote mipya itatumia nishati jadidifu,” — Wizara ya Maji ya Morocco.

4 Desemba, 2025
Trump Kuandaa Utiaji Saini wa Amani kati ya DR Congo na Rwanda
“Majaribio ya kusabotisha mchakato wa amani yanaendelea,” jeshi la DR Congo limesema likiwatuhumu waasi wa M23.

4 Desemba, 2025
Afrika Kusini ‘haitashiriki’ G20 chini ya Trump
“Kwa sasa, tutapumzika na tutaendelea na mipango ya kawaida,” alisema msemaji wa Rais.



