Mahakama ya Kenya yatoa hati ya kukamatwa kwa raia wa Uingereza kufuatia mauaji ya Agnes Wanjiru

Kulingana na Alexander Muteti, ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Nairobi, kulikuwa na sababu za kutoa hati ya kukamatwa kwa mshukiwa huyo ambaye ni mkazi wa Uingereza.
17 Septemba, 2025
Tanzania: Yanga yatwaa taji la Ngao ya Jamii ikiifunga Simba 1-0

Bao pekee la ‘Wananchi’ lilipatikana katika dakika 53 ya mchezo, kupitia kwa mchezaji wao nyota, Pacome Zouzoua, na hivyo kuifanya Simba kupoteza mchezo wao wa sita mfululizo katika michezo tofauti, mbele ya mahasimu wao wa jadi.
17 Septemba, 2025
Bunge la Uganda laanza maandalizi ya michuano ya AFCON 2027

AFCON itaandaliwa na Uganda, Kenya, na Tanzania mwezi Juni na Julai 2027.
16 Septemba, 2025
Chama cha PFF cha Uganda chajiondoa katika kinyang’anyiro cha kugombea Urais 2026

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda wa chama cha PFF, Kizza Besigye, tangu awekwe kizuizini hivi sasa zimetimia siku 300. Besigye anashikiliwa kwa madai ya kumiliki silaha kinyume cha sheria pamoja na uhaini.
16 Septemba, 2025

Raia wa Malawi wapiga kura katika uchaguzi mkuu

Ahmed Arajiga kusimama katikati ya dimba kwenye ‘Derby ya Kariakoo’

Mnigeria Hilda Baci aweka rekodi Guinness kwa kupika kilogramu 8,780 za wali

Bunge la Uganda lahoji Mamlaka ya Mapato kuhusu gharama ya ukarabati wa magari

Jopo la mawakili wa makamu wa Rais wa Sudan Kusini wasema wako tayari kwenda mahakamani
15 Septemba, 2025
Mpina aondolewa tena kwenye mchakato wa kugombea Urais
Tume Huru ya Uchaguzi ya Tanzania (INEC) imemuondoa Luhaga Mpina kama mgombea urais kufuatia pingamizi dhidi yake iliyotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Hamza Johari.

15 Septemba, 2025
DRC yaanza kutoa chanjo dhidi ya mlipuko mpya wa Ebola
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeanza mpango wa chanjo dhidi ya ugonjwa mpya wa Ebola, ambao umeua watu 28 nchini humo tangu mwishoni mwa Agosti.

14 Septemba, 2025
Sudan inakaribisha juhudi za amani kumaliza vita na RSF, inakataa kuingiliwa na mataifa ya kigeni
Matamshi ya Sudan yanakuja baada ya taarifa ya pamoja ya Misri, Saudi Arabia, Imarati na Marekani kutaka kufikiwe makubaliano ya kibinadamu ili kuruhusu misaada katika maeneo yote ya Sudan.

14 Septemba, 2025
Mgombea wa upinzani aruhusiwa kugombea urais wa Tanzania baada ya amri ya mahakama
Luhaga Mpina alifanikiwa kupinga uamuzi wa kuenguliwa kwake kwa madai kuwa chama chake kimeshindwa kufuata taratibu za uteuzi.

14 Septemba, 2025
Malawi kufanya uchaguzi huku kukiwa na msukosuko wa kiuchumi
Wagombea watatu kati ya 17 wa uchaguzi wa Septemba 16 tayari wamehudumu kama rais wa taifa hilo la kusini mwa Afrika na mwingine ni makamu wa rais wa sasa.

13 Septemba, 2025
Rais Kagame, akutana na kiongozi wa Qatar, kuonyesha mshikamano baada ya shambulio la Israel
Rais Paul Kagame pia alieleza shukrani kwa “jukumu muhimu la Qatar katika juhudi za upatanishi katika migogoro mbalimbali, ikiwemo katika eneo la Maziwa Makuu.”

13 Septemba, 2025
Zaidi ya watu 100 wafariki baada ya boti kushika moto kwenye mto Congo
Shughuli za utafutaji ziliendelea siku ya Ijumaa na wafanyakazi wa majini na wajitolea wa jumuiya wakichanganya benki

12 Septemba, 2025
UN yaonya ya kwamba mafuriko makubwa Sudan Kusini yanaweza kuathiri zaidi ya watu milioni 1
Mapigano, maradhi ya kipindupindu, na kupunguzwa kwa ufadhili imeongeza ukali wa janga hilo, asema mwakilishi wa shirikia la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini humo.

12 Septemba, 2025
Wanajeshi kusimamia ujenzi wa hospitali Kenya
Ujenzi wa Hospitali ya Sogoo katika kaunti ya Narok haukumfurahisha Rais wa Kenya William Ruto alipozuru eneo hilo Mei mwaka huu, jambo lililomfanya kuagiza wanajeshi kuingilia kati.

12 Septemba, 2025
Raia wa Afrika kutolipia viza kuingia Burkina Faso
Hata hivyo, urahisi huo unaweza kubadilika baada ya nchi hiyo kujiondoa kutoka Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS).




