5 Desemba, 2025

Makubaliano ya Rwanda na DRC yafungua nafasi ya Marekani kuchimba madini

Mnamo Machi 2025, Rais wa DRC Felix Tshisekedi alipendekeza kwa Marekani kuwezesha upatikanaji wa madini ya kimkakati ili kubadilishana na makubaliano rasmi ya usalama.

328c22c252c96315e515a0c915ea3e3a5ae93e4cb911e9ba9068e5bd8ac757d3

5 Desemba, 2025

Baadhi ya nchi za Magharibi zataka Tanzania ikabidhi maiti za waliouawa baada ya uchaguzi

Serikali ya Tanzania imetakiwa kukabidhi miili ya waliouawa baada ya uchaguzi mkuu kwa ndugu zao, pamoja na kuwaachia wafungwa wote wa kisiasa.

28c5d30ee192f83d52ceed945eae3c264a32686b9adb9ee1fc619374685a1799 main

5 Desemba, 2025

Trump ameipongeza Congo na Rwanda kwa kusaini mkataba wa amani unaosimamiwa na Marekani

Rais Donald Trump aliwapongeza viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Rwanda kwa ujasiri wao walipotia saini makubaliano siku ya Alhamisi yenye lengo la kumaliza mzozo wa mashariki mwa Congo na kutoa fursa ya uchimbaji madini kwa Marekani.

f4b451c8d615a7e39dc60b22ffa8ed6b45c53d6d435be8d534a9aa0da4895c6c main

4 Desemba, 2025

Marais Paul Kagame, Felix Tshisekedi watia saini mkataba wa kumaliza machafuko mashariki mwa DRC

Utiaji saini wa mkataba huo wa amani unakuja miezi mitano, baada ya mawaziri wa mambo ya nje wa Rwanda na DRC kukutana na Rais Trump, na kuonesha nia yao ya kumaliza mapigano.

1ebbce92c481c96126a6e57386e912ca3c5dbecfb36dd4c501d6ecc59e4b6b13

4 Desemba, 2025

Marekani ‘kupitia upya’ uhusiano wake na Tanzania

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inasema kuwa haiwezi kudharua matukio yenye kuhatarisha usalama wa raia wa Marekani waliopo nchini Tanzania

7cfe6aeb1dcea444bfa166cc521fdb24f37ad899c616f68a4159dce306807282

4 Desemba, 2025

Malawi yaidhinisha matumizi ya sindano ya dawa ya Virusi Vya Ukimwi (VVU)

Wataalamu wa afya wamepongeza hatua hiyo katika kudhibiti wimbi la maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU).

490a9e3f52c4e204c46900286d88df5aa2ea38399c63e3c408a6f4541abf5493

4 Desemba, 2025

Mkuu wa masuala ya haki aonya kuhusu ‘wimbi jipya la ukatili’ katika eneo la Kordofan, Sudan

Mkuu wa masuala ya Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk, ametoa wito wa mapigano kusitishwa mara moja huku vifo vya raia na njaa vikizidi kuongezeka.

1762181355837 0uqpfr dd5c4a1354be61910ea50d36a667b397bacaeb224a2c3972e646a81f49390197

4 Desemba, 2025

Morocco Yageukia Maji ya Bahari Ili Kukabiliana na Ukame Mkali

“Mitambo yote mipya itatumia nishati jadidifu,” — Wizara ya Maji ya Morocco.

83 1

4 Desemba, 2025

Trump Kuandaa Utiaji Saini wa Amani kati ya DR Congo na Rwanda

“Majaribio ya kusabotisha mchakato wa amani yanaendelea,” jeshi la DR Congo limesema likiwatuhumu waasi wa M23.

82

4 Desemba, 2025

Afrika Kusini ‘haitashiriki’ G20 chini ya Trump

“Kwa sasa, tutapumzika na tutaendelea na mipango ya kawaida,” alisema msemaji wa Rais.

19fd1fdd41698035664824277b8e4bb82ee1d7a16c5b76f895691522473b53b4
Inapakia...