22 Julai, 2025

Sudan imeripoti maambukizi 1,300 ya kipindupindu na vifo 18 katika wiki moja

Wizara ya afya ya Sudan imeripoti maambukizi mapya ya kipindupindu, huku idadi hiyo ikifika 1,307 na vifo 18 vilivyosababishwa na ugonjwa huo ndani ya wiki moja.

ace149b73ec7aa1192e54f679e023841da54009db4396ef0f0aae94bfeb1cb15

22 Julai, 2025

Ajali ya barabarani Zimbabwe yaua takriban watu 17

Takriban watu 17 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya barabarani katika mji wa Chitungwiza nchini Zimbabwe, polisi walisema Jumanne.

zimbabwe road accident 23832

22 Julai, 2025

Kenya: Polisi waanza uchunguzi baada ya mafuvu mawili, mwili kufukuliwa huko Kilifi

Sehemu ya Chakama, inahusisha pia msitu wa Shakahola, ambako miili ya zaidi ya watu 450 ilifukuliwa kutoka makaburi mafupi mwaka 2023, katika tukio maarufu lililogusa hisia za wengi nchini Kenya.

5194ef9371dceddb292849ed68b6b13c1d82c0f65ebeb98b70f7308ec8cd4d38

22 Julai, 2025

Nini chanzo cha mvutano kati ya Ethiopia na Eritrea?

Ethiopia ilikuwa ikitumika kama kitovu muhimu cha siasa za kijiografia na kiuchumi kwa shughuli za kibiashara, biashara, na mwingiliano na mataifa kadhaa ya Asia na Ulaya.

740d6c33d2e6eaabf2ba9735e9e1e94df2cae578de92e8ce9829dc677511b0c0

22 Julai, 2025

Mkenya Stephen Munyakho aachiliwa huru kutoka jela Saudi Arabia

Stephen Abdulkareem Munyakho, raia wa Kenya ambaye alikuwa anakabiliwa na adhabu ya kifo Saudia Arabia, ameachiliwa huru na anatarajiwa kusafiri hadi nchini kwake, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje Korir Sing’oei alitangaza Jumanne.

1a02e4b1f6d9dac3aec3a1d65d9e298f7885b30c61d1b7076b33d8937d732fff

22 Julai, 2025

Benki ya Dunia: Simu za mkononi zinavyoleta mageuzi katika sekta ya fedha

Utafiti wa Benki ya Dunia unaonyesha kuwa akaunti za pesa za rununu zinachangia ongezeko la umiliki wa akaunti.

2851c5974872ae58acc6699b6c4de9ccc5cbf101058f3b96de860ed6604951d9

22 Julai, 2025

Kutoka chumba cha habari hadi bungeni

Hii ni simulizi ya Isaac Imaka, ambaye aliamua kuachana na uandishi wa habari, na kuamua kuingia kwenye siasa akiwa na ndoto za kuwa mbunge.

b5b571d431dbac029cd6aacfa94fdf6b252b68be5a7ff4747b7a957f9dc410d6

22 Julai, 2025

Rais wa Afrika Kusini amfuta kazi waziri wa elimu ya juu

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amemwondoa waziri wake wa elimu ya juu aliyekuwa katika matatizo kwa madai ya rushwa.

1ccd358515864caf721157bf662723d403576b4a7011e4af43c455d1a646efde main

21 Julai, 2025

Zambia inatarajia uchimbaji madini kuongeza ukuaji wa uchumi

Zambia inataraji ukuaji wa uchumi kuongezeka hadi 6.4% mwaka ujao.

2025 04 30t102012z 1 lynxmpel3t0hd rtroptp 3 safrica economy

21 Julai, 2025

Burundi yafuatilia uamuzi wa Marekani kuwanyima viza

Kutoka 9 juni 2025, Marekani ilisitisha kwa muda utoaji wa viza kwa raia wa Burundi, Cuba, Laos, Sierra Leone, Togo, Turkmenistan, na Venezuela.

11bd6bcd4644f2b56d17ea1c0e8b5934ff36003a3e2cc8b19d00d8a7e4320aa5
Inapakia...