Rais wa Zanzibar apongeza mchango wa kambi za matibabu

Rais Mwinyi amewahakikishia wananchi kuwa kuwa serikali yake itaendelea kufanya juhudi za kuleta mageuzi katika kuimarisha sekta ya afya.
21 Julai, 2025
Mafuta miongoni mwa bidhaa zinazoongoza kuagizwa kutoka nje Rwanda

Bidhaa 10 bora za Rwanda zilizoagizwa kutoka nje mwaka 2024 zilifikia zaidi ya dola bilioni 1.95 (takriban Rwf2.8 trilioni), kulingana na takwimu ya Wizara ya Biashara na Viwanda.
21 Julai, 2025
Rais Ruto wa Kenya aahidi kutimiza ahadi alizozitoa

Rais William Ruto wa Kenya anasema kuwa anasingiziwa na kwamba, aliahidi tu kinachoweza kufanyika wala hazikuwa ahadi za kupitiliza bali ni kuinua matumaini ya Wakenya.
21 Julai, 2025
Shirika la Msalaba Mwekundu lasema liko tayari kuwasaidia waliokuwa wamezuiliwa na M23

Hii inafuatia makubaliano ya amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kikundi chenye silaha cha M23 Movement (AFC/M23).
21 Julai, 2025

Rais wa Eritrea aonya Ethiopia dhidi ya vita

Uturuki inakaribisha makubaliano ya amani ya DRC na waasi wa M23

Rwanda yapongeza makubaliano ya DRC ya kusitisha mapigano na waasi wa M23 kama ‘hatua muhimu’

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wafikia makubaliano ya muda ya kumaliza mzozo

CCM yaahirisha vikao vya kitaifa bila kutangaza tarehe mpya
18 Julai, 2025
Dola milioni 60 kwa mradi wa mafuta na gesi Mtwara, Tanzania
Tanzania inatarajia kutumia dola milioni 60 kufanikisha uchimbaji mafuta na gesi katika kitalu cha Mnazibay mkoani Mtwara kusini mwa nchi. Gharama hiyo itahusisha uchimbaji wa visima vitatu pekee ikiwa ni hatua ya kuthibitisha kiwango cha gesi

18 Julai, 2025
AU yaridhishwa na hatua ya kusitishwa mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati
Umoja wa Afrika umetoa wito kwa makundi yenye silaha katika nchi hiyo “kuweka silaha zao chini na kushiriki kwa nia njema katika majadiliano ya kitaifa na maridhiano”.

18 Julai, 2025
Uganda kuweka huduma dhidi ya Ukimwi kwa huduma ya afya ya jumla
Takwimu za Uganda Aida Commission zinaonyesha kuwa asilimia 70 ya maambukizi mapya ya ukimwi ni miongoni mwa vijana wenye umri wa miaka 15 hadi 24 ni hasa kwa miongoni mwa wasichana na wanawake vijana

18 Julai, 2025
Raia wa Libya akamatwa na Mahakama ya Kitaifa ya ICC
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilifikisha malalamiko yake dhidi ya Khaled Mohamed Ali El Hishri, raia wa Libya katika mahakama ya ICC kutokana na uhalifu wa kibinadamu nchini Libya.

18 Julai, 2025
Barcelona yaingia mkataba na DRC kukuza utalii
DRC imesaini mikataba mingine ya aina hiyo na vilabu vingine vya Ulaya, ikiwemo AS Monaco na AC Milan.

18 Julai, 2025
Mshukuwa wa mauaji ya mgonjwa katika Hospital kuu Kenya akamatwa
Edward Maingi Ndegwa alikutwa amekufa huku koo lake ikiwa limekatwa Julai, 17. 2025. Walioshuhudia walisema mwathiriwa alikuwa ni mlemavu.

17 Julai, 2025
Serikali ya muungano Afrika Kusini hatarini baada ya mjumbe kushindwa kwenda Marekani
Washirika wakuu wa serikali ya muungano ya Afrika Kusini ANC na DA wametofautiana kuhusu namna ya kukabiliana na ushuru wa serikali ya Trump.

17 Julai, 2025
Ghana yamshtaki aliyekuwa mkuu wa shirika la kuratibu sekta ya mafuta kwa ufisadi
Taasisi ya kupambana na ufisadi nchini Ghana imemshtaki aliyekuwa mkuu wa shirika la kuratibu sekta ya mafuta na wengine sita kwa kuhusika na madai ya ufisadi wa dola milioni 28.

17 Julai, 2025
Ufaransa yawakabidhi Senegal kambi ya mwisho ya kijeshi kuashiria ukomo wao Afrika Magharibi
Kuondoka kwao kunatia ukomo wa miaka 65 wa jeshi la Ufaransa nchini Senegal baada ya Rais Bassirou Diomaye Faye kutaka Ufaransa kuondoa vikosi vyake kutoka nchini humo kufikia 2025.

17 Julai, 2025
Rwanda kutoa leseni kwa wawekezaji wapya wa madini
Bodi ya Migodi, Petroli na Gesi ya Rwanda (RMB) ilionyesha maeneo 52 yenye uwezo wa kuzalisha madini nchini kote.


