18 Julai, 2025

Dola milioni 60 kwa mradi wa mafuta na gesi Mtwara, Tanzania

Tanzania inatarajia kutumia dola milioni 60 kufanikisha uchimbaji mafuta na gesi katika kitalu cha Mnazibay mkoani Mtwara kusini mwa nchi. Gharama hiyo itahusisha uchimbaji wa visima vitatu pekee ikiwa ni hatua ya kuthibitisha kiwango cha gesi

37f4181014523a5a61c4d7af832145859d57cea807a1fd1f6b934a1b00f568c1

18 Julai, 2025

AU yaridhishwa na hatua ya kusitishwa mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

Umoja wa Afrika umetoa wito kwa makundi yenye silaha katika nchi hiyo “kuweka silaha zao chini na kushiriki kwa nia njema katika majadiliano ya kitaifa na maridhiano”.

0078ee5bcd05e30126968a0c1b36fe0d40c9b15df62238de5e61af3f52f699b7

18 Julai, 2025

Uganda kuweka huduma dhidi ya Ukimwi kwa huduma ya afya ya jumla

Takwimu za Uganda Aida Commission zinaonyesha kuwa asilimia 70 ya maambukizi mapya ya ukimwi ni miongoni mwa vijana wenye umri wa miaka 15 hadi 24 ni hasa kwa miongoni mwa wasichana na wanawake vijana

3edeb8261cb7c4ee7bcf1e977fa20f9876e7772723bb5eae84f866ca6d21e2b6

18 Julai, 2025

Raia wa Libya akamatwa na Mahakama ya Kitaifa ya ICC

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilifikisha malalamiko yake dhidi ya Khaled Mohamed Ali El Hishri, raia wa Libya katika mahakama ya ICC kutokana na uhalifu wa kibinadamu nchini Libya.

gettyimages 2172421167

18 Julai, 2025

Barcelona yaingia mkataba na DRC kukuza utalii

DRC imesaini mikataba mingine ya aina hiyo na vilabu vingine vya Ulaya, ikiwemo AS Monaco na AC Milan.

7b38806e69db46079d551680b01b32c1977f288f8ce0d31870fbe9755c9c6d54

18 Julai, 2025

Mshukuwa wa mauaji ya mgonjwa katika Hospital kuu Kenya akamatwa

Edward Maingi Ndegwa alikutwa amekufa huku koo lake ikiwa limekatwa Julai, 17. 2025. Walioshuhudia walisema mwathiriwa alikuwa ni mlemavu.

212930edb24227e3b39344558b49c5e8b30d076364fc81c952f2c3792a8612af

17 Julai, 2025

Serikali ya muungano Afrika Kusini hatarini baada ya mjumbe kushindwa kwenda Marekani

Washirika wakuu wa serikali ya muungano ya Afrika Kusini ANC na DA wametofautiana kuhusu namna ya kukabiliana na ushuru wa serikali ya Trump.

90eb21bc01c8147b7e4a618d82bb074c141880765dd1c727ce1229708975afa2

17 Julai, 2025

Ghana yamshtaki aliyekuwa mkuu wa shirika la kuratibu sekta ya mafuta kwa ufisadi

Taasisi ya kupambana na ufisadi nchini Ghana imemshtaki aliyekuwa mkuu wa shirika la kuratibu sekta ya mafuta na wengine sita kwa kuhusika na madai ya ufisadi wa dola milioni 28.

a5ceea4ce1e6e3bc4e96468b009b8fd18fa99f16a56448796cf4ee1c15ea0ebd

17 Julai, 2025

Ufaransa yawakabidhi Senegal kambi ya mwisho ya kijeshi kuashiria ukomo wao Afrika Magharibi

Kuondoka kwao kunatia ukomo wa miaka 65 wa jeshi la Ufaransa nchini Senegal baada ya Rais Bassirou Diomaye Faye kutaka Ufaransa kuondoa vikosi vyake kutoka nchini humo kufikia 2025.

6bab4be26051d718ea196094759aaf2217db36b3c15e32c673e3717c78700154

17 Julai, 2025

Rwanda kutoa leseni kwa wawekezaji wapya wa madini

Bodi ya Migodi, Petroli na Gesi ya Rwanda (RMB) ilionyesha maeneo 52 yenye uwezo wa kuzalisha madini nchini kote.

4b5c8f0a364376f9768a2b7874e5bf5e34eca5d89e9e3aada45609e2a4872542
Inapakia...