11 Julai, 2026

Sudan yaweka sharti la kuondolewa na kupokonywa silaha kwa RSF ili kukubali mpango wa amani

Serikali inapendekeza kusitisha mapigano kwa siku 90 lakini inaweka masharti ya RSF kujiondoa katika miji yote iliyo chini ya udhibiti wake na mipango ya usalama inayofuatiliwa na Umoja wa Mataifa.

7152f5e3 35ce 45f5 9307 0e10df4b1544 1776344512807

10 Julai, 2026

Waandamanaji nchini Afrika Kusini wanavamia nyumba hadi nyumba kuwasaka wahamiaji

Kutokana na maandamano hayo, polisi wameongeza operesheni za kuwakamata wahamiaji wasiokuwa na nyaraka halali, huku pia wakipeleka maafisa katika maeneo ya maandamano kwa ajili ya kuimarisha usalama.

5102a54d 00dc 4a0d bffb 4f74d243e8f9 1783676852022

10 Julai, 2026

Morocco yaahidi kujiimarisha zaidi baada ya kutolewa Kombe la Dunia

Koacha Ouahbi anasisitiza kuwa kwa sasa wanaangazia AFCON, kabla ya kuanza kujiandaa kwa ajili ya Kombe la Dunia 2030 ambapo Morocco ni mmoja wa wenyeji pamoja na Hispania na Ureno.

6437d01a cf53 4a0e b7fe dabd8f9d4ee8 1783674598927

10 Julai, 2026

Benki ya Dunia: Wakenya milioni 2.4 wako hatarini kutumbukia kwenye umaskini

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo, Mchumi Kiongozi wa Benki ya Dunia, Tom Bundervoet, ameeleza kuwa kupanda kwa bei ya mafuta kumeongeza pia gharama za usafirishaji wa bidhaa na utoaji wa huduma.

f7eace47 28cf 46ec aa59 06c26238c6b9 1783672517132

10 Julai, 2026

Aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei azikwa, huku waombolezaji waapa kulipiza kisasi

Mamilioni ya watu wamekusanyika katika mji wa Mashhad kwa swala ya maiti iliongozwa na mtoto mkubwa wa Khamenei, Hojjatoleslam Seyyed Mostafa Hosseini Khamenei, kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA.

f837767b 2971 4b07 8e07 82b101fcfd49 1783670061587

9 Julai, 2026

Urusi kuisaidia Msumbiji kupambana na ugaidi

Uamuzi huo, unafuatia ombi lilitoka kwa Rais Daniel Francisco Chapo, mara baada ya kukutana na Waziri wa Mambo wa Nje wa Urusi, Sergey Lavrov.

33c705dc f60e 450d b416 1bd363948eca 1783618411262

9 Julai, 2026

Tanzania: Watu 130 wakamatwa kwa kuhamasisha vitendo vya kihalifu

Jeshi la Polisi nchini humo, limedai kubaini madai ya mipango mbalimbali ikiwemo kuchoma shule, kuharibu miundombinu ya umeme, kupora mali pamoja na kupanga kushambulia baadhi ya viongozi, wananchi na askari wa vyombo vya ulinzi na usalama.

f89ceaa2 1418 4f95 8c5d 46b7ece892cf 1783616594658

9 Julai, 2026

Marekani yashambulia daraja muhimu la reli linalounganisha Iran, China na Urusi

Shirika la Habari la Fars la Iran limesema shambulio hilo la kombora la masafa marefu limelenga daraja la reli la Ogtay Khan lililoko katika mkoa wa Golestan, kaskazini mashariki mwa Iran, mapema Alhamisi.

d04c581f 227d 4487 9f14 f36181a20367 1783601193775

9 Julai, 2026

Vifo vya Ebola vyafikia 600 nchini DRC huku maambukizi yakiripotiwa katika jimbo jipya

Idadi ya maambukizi iliyothibitishwa imefikia zaidi ya 1,700 huku maambukizi yakiendelea kusambaa katika jamii, kwa mujibu wa mamlaka za afya.

36bed206 2033 44c6 afa2 ca12b129b6bd 1783598505624

9 Julai, 2026

CCM na ACT-Wazalendo wamaliza mgogoro wa kisiasa Zanzibar

Hatua hii ya uwasilishwaji wa Tamko la Pamoja la Muafaka wa Kisiasa inaashiria kumalizika kwa mkwamo wa kisiasa.

d6673e2d e47f 49a5 9683 b8e627a20b22 1783592587448
Inapakia...