14 Novemba, 2025

Wakimbizi 57,000 wamewasili kaskazini mwa Sudan baada ya mashambulizi ya RSF huko Darfur, Kordofan

Watu waliokimbia makazi yao walikumbwa na hali ‘mbaya’ wakati wa safari yao kuelekea Jimbo la Kaskazini, anasema kamishna wa misaada ya kibinadamu.

956d091893012e5544bc7f62fbd0f77b540badde0d9dfa7d4b081f4051cc8234

14 Novemba, 2025

Afrika Kusini yaruhusu kuingia kwa wakimbizi zaidi ya 150 kutoka Gaza, Palestina

Ndege hiyo ni ya pili kuwasafirisha Wapalestina wanaokimbia mauaji ya halaiki huko Gaza hadi Afrika Kusini

f4a25dc33a28b81ce5ae3aa759a8976ad0d6e5d1f44bd83f86a34a5ec4631309 main

14 Novemba, 2025

Afrika yakumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25

Kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa Afrika (CDC) kimesema bara hilo linakabiliwa na mlipuko mbaya zaidi wa kipindupindu katika kipindi cha robo karne, hali inayochochewa na mifumo dhaifu ya maji na migogoro.

15ef5efc9a9a23ee0f0a936cafd3b0eac664f52b012905190d531886b525b2ca

13 Novemba, 2025

Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano

Mawaziri wa mambo ya nje wa matafia ya G7 Jumatano wamelaani vikali mashambulizi wanayoyaita “ya kikabila” yanayotekelezwa na wapiganaji wa RSF dhidi ya raia na wafanyakazi wanaotoa misaada katika miji ya El-Fasher na Kordofan Kaskazini.

a1814576f813db284fc0e788fda2dce46d0414fbfcb2c4db30c78fd0e2a1f783

13 Novemba, 2025

Wakenya zaidi ya 200 wajiunga na jeshi la Urusi

Serikali ya Kenya imesema zaidi ya raia wake 200 wamejiunga na jeshi la Urusi katika vita vinayvoendelea kati ya Urusi na Ukraine, na kwamba mashirika ya ajira bado yanaendelea kutafuta Wakenya zaidi kujiunga katika mapigano.

c5d49a484e9f74f0de0aa0e0d99c7736f247a364716cc8a04a989354b2a9c4e5 main

13 Novemba, 2025

AU yakanusha tuhuma za Trump kuhusu mauaji ya halaiki Nigeria

Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai ya kwamba Wakristo wengi wanauawa nchini Nigeria, na hivyo kutishia kuwashambulia kundi la kigaidi linalotekeleza mauaji hayo.

1763028510401 e44bpk 3f3420e07eb2cc19965076d11badb0c5f3aa443acb03a9224afd8e0b61b11b19 main

13 Novemba, 2025

Mwigulu Nchemba ateuliwa Waziri Mkuu Tanzania

Daktari Mwigulu Nchemba anachukua nafasi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa.

daf398b3957d34928fe68242775f8a22b91ca52ea20a8a0c40531c2513441709

12 Novemba, 2025

Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amfuta kazi makamu wake

Bol Mel aliteuliwa mwezi Februari mwaka huu kama mmoja kati ya mamakamu 5 wa urais nchini humo.

1990ce04b841b8febd310f224ef1d862a4256872cebc6ff99ae0c9cf87410310

12 Novemba, 2025

Duma wa Botswana aipa India zawadi ya duma 8

Kulingana na Rais Boko Duma wa Botswana, uamuzi huo unalenga kuhuisha idadi ya wanyamapori hao nchini India.

bc3fe30ef585d6478c03fc892aa5013aef7656e79cd506f2d4c4466110ca1848

12 Novemba, 2025

Kesi ya Roger Lumbala wa DRC yaanza kusikilizwa

Serikali ya DRC ilitoa hati yake ya kukamatwa kwake mwaka 2011 baada ya kuhusishwa na kukiunga mkono kikundi cha waasi cha M23, na kulazimika kukimbilia nchini Ufaransa.

15dd7113ac49c2afcd199538cb3883a2af9c68d58e6d862ee12cce3a3cf57ebc
Inapakia...