Wahamiaji 4 wafariki baada ya boti mbili zilizokuwa zimebeba makumi ya watu kuzama pwani ya Libya

Wahamiaji wanne walifariki baada ya boti mbili zilizokuwa zimebeba karibu watu 100 kupinduka katika pwani ya Al-Khums kaskazini magharibi mwa Libya, Shirika la Hilali Nyekundu la Libya lilisema Jumamosi jioni.
16 Novemba, 2025
Kikundi cha matabibu kinaripoti visa ya ubakaji wa wasichana wa Al Fasher baada ya RSF kuteka

Mtandao wa Madaktari wa Sudan unasema ubakaji “ni sawa na uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu.”
16 Novemba, 2025
Mlipuko wa virusi vya Marburg umethibitishwa kusini mwa Ethiopia

Ugonjwa wa virusi uliogunduliwa unaonyesha kufanana na wale waliotambuliwa hapo awali Afrika Mashariki, CDC ya Afrika ilisema.
16 Novemba, 2025
DR Congo, M23 wasaini makubaliano ya amani ‘ya kihistoria’ nchini Qatar

Qatar imeandaa vikao vya moja kwa moja kadhaa kati ya serikali ya DRC na M23.
15 Novemba, 2025

Baraza la Maaskofu Tanzania lataka uwajibikaji kwa waliohusika na mauaji ya waandamanaji

Baraza la usalama la UN laongezea mwaka mmoja ujumbe wa amani wa Abyei

Kiongozi wa zamani wa waasi wa DRC anayeshtakiwa Paris kwa uhalifu wa kivita aanza mgomo wa kula

UN yaagiza uchunguzi wa dharura ufanyike kuhusu ukiukaji wa sheria katika Al Fasher ya Sudan

Rais wa Tanzania atangaza uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji katika uchaguzi
14 Novemba, 2025
Wakimbizi 57,000 wamewasili kaskazini mwa Sudan baada ya mashambulizi ya RSF huko Darfur, Kordofan
Watu waliokimbia makazi yao walikumbwa na hali ‘mbaya’ wakati wa safari yao kuelekea Jimbo la Kaskazini, anasema kamishna wa misaada ya kibinadamu.

14 Novemba, 2025
Afrika Kusini yaruhusu kuingia kwa wakimbizi zaidi ya 150 kutoka Gaza, Palestina
Ndege hiyo ni ya pili kuwasafirisha Wapalestina wanaokimbia mauaji ya halaiki huko Gaza hadi Afrika Kusini

14 Novemba, 2025
Afrika yakumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25
Kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa Afrika (CDC) kimesema bara hilo linakabiliwa na mlipuko mbaya zaidi wa kipindupindu katika kipindi cha robo karne, hali inayochochewa na mifumo dhaifu ya maji na migogoro.

13 Novemba, 2025
Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano
Mawaziri wa mambo ya nje wa matafia ya G7 Jumatano wamelaani vikali mashambulizi wanayoyaita “ya kikabila” yanayotekelezwa na wapiganaji wa RSF dhidi ya raia na wafanyakazi wanaotoa misaada katika miji ya El-Fasher na Kordofan Kaskazini.

13 Novemba, 2025
Wakenya zaidi ya 200 wajiunga na jeshi la Urusi
Serikali ya Kenya imesema zaidi ya raia wake 200 wamejiunga na jeshi la Urusi katika vita vinayvoendelea kati ya Urusi na Ukraine, na kwamba mashirika ya ajira bado yanaendelea kutafuta Wakenya zaidi kujiunga katika mapigano.

13 Novemba, 2025
AU yakanusha tuhuma za Trump kuhusu mauaji ya halaiki Nigeria
Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai ya kwamba Wakristo wengi wanauawa nchini Nigeria, na hivyo kutishia kuwashambulia kundi la kigaidi linalotekeleza mauaji hayo.

13 Novemba, 2025
Mwigulu Nchemba ateuliwa Waziri Mkuu Tanzania
Daktari Mwigulu Nchemba anachukua nafasi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa.

12 Novemba, 2025
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amfuta kazi makamu wake
Bol Mel aliteuliwa mwezi Februari mwaka huu kama mmoja kati ya mamakamu 5 wa urais nchini humo.

12 Novemba, 2025
Duma wa Botswana aipa India zawadi ya duma 8
Kulingana na Rais Boko Duma wa Botswana, uamuzi huo unalenga kuhuisha idadi ya wanyamapori hao nchini India.

12 Novemba, 2025
Kesi ya Roger Lumbala wa DRC yaanza kusikilizwa
Serikali ya DRC ilitoa hati yake ya kukamatwa kwake mwaka 2011 baada ya kuhusishwa na kukiunga mkono kikundi cha waasi cha M23, na kulazimika kukimbilia nchini Ufaransa.



