Israel yapeleka msaada Sudan Kusini huku ikiendeleza njaa Gaza

Hatua hii inakuja huku kukiwa na taarifa za Sudan Kusini kuwa katika mpango wa kuwapa makazi Wapalestina.
18 Agosti, 2025
Tanzania: CHADEMA yaishitaki klabu ya Young Africans FIFA kufuatia harambee ya CCM

Katika harambee iliyofanyika Agosti 12 jijini Dar es Salaam, klabu ya Young Africans ilitoa kiasi cha milioni 100 kuisadia CCM katika kampeni zake, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
18 Agosti, 2025
Zaidi ya 40 hawajulikani walipo baada ya boti kupinduka nchini Nigeria

Juhudi za utafutaji na uokoaji zinaendelea baada ya boti iliyokuwa imebeba zaidi ya abiria 50 kuzama ilipokuwa ikielekea sokoni.
18 Agosti, 2025
Takriban watu tisa wameuawa katika shambulizi la ADF mashariki mwa DRC

Shambulizi la Allied Democratic Forces (ADF) limeua takriban watu tisa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, duru za ndani zilisema Jumapili.
18 Agosti, 2025

Uganda inalenga mauzo ya juu ya dhahabu nje ya nchi baada ya kuzindua kiwanda kikubwa cha kusafisha

Burundi yaweka msingi wa reli ya kwanza kuungana na Tanzania

RSF imewaua watu wengi katika shambulio dhidi ya kambi ya Darfur iliyoathiriwa na njaa

Kisukuku cha asili cha Ethiopia Lucy kinaelekea Ulaya huku kukiwa na wasiwasi wa usalama wake

Afrika Kusini yaanza mjadala wa taifa kutafuta suluhu ya matatizo
15 Agosti, 2025
Umoja wa Afrika wataka ulimwengu kutumia ramani ya dunia inayoonyesha ukubwa halisi wa Afrika
Umoja wa Afrika umeunga mkono kampeni inayolenga kukomesha matumizi ya ramani ya dunia ya karne ya 16 ya Mercator, inayotumiwa na serikali na mashirika ya kimataifa, na badala yake kutumia ramani inayowakilisha kwa usahihi zaidi ukubwa wa Afrika.

15 Agosti, 2025
Mali yawatia nguvuni wanajeshi, raia wa Kifaransa kwa kuvuruga amani nchini humo
Kati ya waliokamatwa, ni pamoja na raia wa Ufaransa, aliyetambulika kama Yann Vezilier.

15 Agosti, 2025
Mahakama Kenya yapigia msumari sheria ya kustaafu miaka 60
Uamuzi huo ulitolewa katika kesi iliyowasilishwa na raia mmoja, ambaye alidai kuwa kuwataka wafanyakazi kustaafu wakiwa na miaka 60 – au 65 ni ukiukaji wa haki za kikatiba za usawa kwa watu wenye ulemavu.

15 Agosti, 2025
Zaidi ya mataifa 30 yahimiza kusitishwa kuzingirwa kwa mji wa El Fasher nchini Sudan
Maafisa wakuu kutoka zaidi ya nchi 30 na mashirika ya kimataifa siku ya Alhamisi walihimiza kusitishwa mara moja kuzingirwa wa El Fasher katika jimbo la Darfur Kaskazini mwa Sudan.

14 Agosti, 2025
Watu wasiopungua 25 wamefukiwa kwenye mgodi mmoja kaskazini mwa Tanzania
Juhudi za uokoaji zinaendelea katika mgodi mmoja nchini Tanzania baada ya watu wasiopungua 25 kufukiwa, Rais wa nchi hiyo Samia Suluhu Hassan alisema siku ya Alhamisi.

14 Agosti, 2025
Kuridhia kwa serikali ya Eswatini kupokea waliotimuliwa Marekani kwapinga mahakamani
Wanaharakati wa Eswatini wameiomba mahakama kuu kuamua kuwa kinyume cha katiba hatua ya nchi hiyo kukubali kuwapokea raia watano wa kigeni ambao walifukuzwa Marekani.

14 Agosti, 2025
Watu kadhaa wafariki Sudan kutokana na kipindupindu ‘kibaya’ kuwahi kutokea ndani ya miaka mingi
Shirika la MSF linasema raia kuondolewa katika makazi yao kwa wingi kutokana na mapigano Sudan kumefanya mlipuko kuwa mbaya zaidi kwa watu kushindwa kupata maji safi.

14 Agosti, 2025
Air Tanzania mbioni kuanza safari za Dar es Salaam-Lagos
Hii ni baada ya shirika hilo kupata kibali cha safari hizo kutoka serikali ya Nigeria.

14 Agosti, 2025
Upinzani Uganda wanajaribu kufuta sheria ya wananchi kushtakiwa katika mahakama ya kijeshi
Chama kikuu cha upinzani nchini Uganda kimewasilisha kesi katika mahakama ya katiba ili kufuta sheria mpya iliyorudisha haki ya mahakama za kijeshi kusikiliza kesi za raia.

13 Agosti, 2025
Kiongozi wa Umoja wa Mataifa ashtumu mashambulizi ya RSF El Fasher, katika kambi ya wakimbizi Sudan
Turk aonya kuhusu ‘hatari mbaya ya mateso yanayochochewa kwa misingi ya kikabila’ huko Darfur Kaskazini




