Libya yatakiwa kufunga vituo vya kuwazuilia wahamiaji katika mkutano wa Umoja wa Mataifa

Libya imetakiwa na Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kufunga vituo vya kuwazuiliia wahamiaji ambapo mashirika ya haki za binadamu yanasema wahamiaji na wakimbizi wamekuwa wakiteswa, kunyanyaswa na wakati mwingine kuuawa.
12 Novemba, 2025
Rais Museveni aonya kuzuka kwa vita endapo nchi za Afrika zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi

Katika kauli iliyotafsiriwa kama onyo lililolenga nchi jirani, Rais Yoweri Museveni ameonya kuhusu uwezekano wa kutokea kwa vita katika siku zijazo endapo nchi za Afrika ambazo hazina bandari zitaendelea kunyimwa haki ya kufikia Bahari ya Hindi.
12 Novemba, 2025
UN: Milioni 11 wanawake na wasichana wanabeba uzito mkubwa wakati njaa ya Sudan inaendelea kupamba moto

Takriban asilimia 73.7 ya wanawake “hawafikii kiwango cha chini cha utofauti wa lishe, inayoonyesha lishe duni na hatari kubwa ya utapiamlo,” shirika hilo linaripoti.
12 Novemba, 2025
Ethiopia yachagguliwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa, COP32

Ethiopia inatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kilele wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa wa COP32 mwaka 2027 baada ya Kundi la Wapatanishi wa Afrika kuidhinisha hatua hiyo.
12 Novemba, 2025

Ghana yafichua sababu ya ajali ya helikopta iliyoua watu wanane, wakiwemo mawaziri, mwezi Agosti

Kenya kuanzisha balozi zake mpya Vatican City, Denmark na Vietnam

Mtoto wa Gaddafi aachiliwa huru baada ya miaka kumi gerezani

Zaidi ya mataifa 20 yanalaani ukatili wa RSF nchini Sudan, na kutaka kukomeshwa kwa ghasia

Rais wa Misri, afisa mkuu wa usalama wa Urusi kujadili ushirikiano wa kijeshi
11 Novemba, 2025
Maelfu ya wananchi wanashikiliwa katika hali mbaya sana katika Al Fasher, Sudan: madaktari
Maelfu ya raia wa Sudan wanazuiliwa katika “hali mbaya” na Wanajeshi wa Msaada wa Haraka (RSF) huko Al Fasher, mji mkuu wa Darfur Kaskazini, kikundi cha matabibu cha ndani kilisema.

11 Novemba, 2025
Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance aghairi ziara iliyopangwa nchini Kenya
Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance amesitisha ziara yake nchini Kenya iliyopangwa kufanyika baadaye mwezi huu baada ya safari yake aliyotarajia kwenda kwenye mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini kufutwa na Rais Donald Trump.

10 Novemba, 2025
‘Mauaji ya waandamanaji ni chukizo mbele za Mungu’
Askofu Ruwa’ichi ametoa kauli hiyo wakati wa homilia yake ya Novemba 10, 2025 katika Ibada ya Misa ya kuwaombea waliofariki wakati wa vurugu baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, nchini Tanzania.

10 Novemba, 2025
Jeshi la Sudan lazima shambulio la RSF katika mji wa Babnousa huko Kordofan Magharibi
Jeshi la Sudan lilizima shambulio la Wanajeshi wa Msaada wa Haraka (RSF) siku ya Jumapili kwenye mji wa Babnousa huko Kordofan Magharibi, walioshuhudia walisema.

10 Novemba, 2025
Majeshi ya Somalia yawaua viongozi watatu wakuu wa Al Shabaab
Kikosi cha Wanajeshi wa Kitaifa wa Somalia kimefanya msururu wa operesheni katika maeneo ya Bakool na Bay, na kuwaua maafisa kadhaa waandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabab.

10 Novemba, 2025
Rwanda, DRC zaanzisha mfumo wa ushirikiano wa kiuchumi huku kukiwa na mazungumzo ya amani
Mfumo wa ushirikiano wa kiuchumi wa kikanda (REIF) “unaelezea maeneo muhimu ya kukuza ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo kati ya mataifa hayo mawili, kuonyesha manufaa yanayoonekana ya amani,” nchi hizo mbili zilisema.

9 Novemba, 2025
RSF yazika miili katika makaburi ya halaiki, inachoma wengine ili ‘kuficha ushahidi wa mauaji
Madaktari wa eneo hilo waliripoti Jumapili kwamba Vikosi vya Msaada wa Haraka vya kijeshi huko Al Fasher, magharibi mwa Sudan, wamezika mamia ya raia kwenye makaburi ya halaiki na kuwachoma wengine kuficha ushahidi wa uhalifu wa kivita

9 Novemba, 2025
Wananchi katika Al Fasher, Sudan, wanakabiliwa na ukatili ‘wa kiwango kisichoweza kuaminika’ — UN
Li Fung, Mwakilishi wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan, anasema Al Fasher imekuwa mji wa huzuni kwani Kikosi cha RSF kinaendelea na mashambulizi yake ya kinyama.

9 Novemba, 2025
Chama tawala nchini Djibouti kimemteua Rais Guelleh kwa muhula wa sita
Rais Ismail Omar Guelleh amekuwa madarakani tangu 1999, na hakuna vikwazo vya kisheria vinavyomzuia kugombea tena.

8 Novemba, 2025
Amaan Golugwa akamatwa huku polisi Tanzania ikiwasaka viongozi wa upinzani kufuatia maandamano
Tayari mamia ya wananchi wamefunguliwa mashtaka kwa makosa ya jinai huku viongozi wa upinzani wakiwekwa kwenye orodha mpya ya watakaokamatwa na kushtakiwa



