Zimamoto yapambana kuzima moto katika msitu kaskazni mwa Morocco

Morocco imekuwa na matukio ya moto wa msituni 382 mwaka 2024, na kusababisha uharibifu wa hekta karibu 874
13 Agosti, 2025
Sudan Kusini yakanusha mazungumzo na Israel kuhusu kuwapa makazi Wapalestina

Madai hayo ‘hayana msingi na hayaashirii msimamo au sera rasmi’ ya serikali, Wizara ya Mambo ya Nje imesema
13 Agosti, 2025
Kenya yafanya mazungumzo na Iran ya kuondoa marufuku ya kununua chai yake

Iran ilipiga marufuku ununuzi wa chai kutoka Kenya ikichochewa na madai ya biashara mbovu ya uhalifu iliyohusisha kampuni moja ya Kenya.
13 Agosti, 2025
Marekani yaiwekea vikwazo kundi la wapiganaji, makampuni ya uchimbaji madini haramu nchini DRC

Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya kundi lenye silaha linaloshirikiana na jeshi la Congo pamoja na kampuni ya uchimbaji madini nchini humo na wafanyabiashara wawili kutoka Hong Kong kwa kutumia silaha na uuzaji wa madini haramu.
13 Agosti, 2025

Ufaransa inakiri ‘kuvuruga amani ya Cameroon’ baada ya ukoloni

Maelfu ya watu wamehamishwa kusini mwa Sudan kutokana na mapigano mapya kati ya jeshi na RSF

Sisi anasema maji ya Nile ni ‘uhai halisi’ wa Misri, anataka ushauri kuhusu matumizi yake

Mzize ‘Goal Machine’: Mshambulizi mwenye ari kubwa aliyelenga macho kwa ubingwa wa CHAN

Wanaoshukiwa kuwa waandamanaji wachoma jengo la serikali Afrika Kusini
12 Agosti, 2025
Misri inasema haitoacha haki ya maji yake huku kukiwa na mvutano kuhusu bwawa la Nile na Ethiopia
Rais wa Misri anasema suala la maji ya Nile ni madai ya sehemu ya shinikizo kuhusu malengo yasiyohusiana na suala hilo

12 Agosti, 2025
Spika wa zamani wa Nigeria Tambuwal akamatwa kwa madai ya ufisadi wa milioni $123
Aminu Tambuwal alikamatwa Jumatatu katika mji mkuu, Abuja, kwa madai ya ubadhirigu wa fedha karibu Naira bilioni 189 (milioni $123).

12 Agosti, 2025
Vyama 11 vyachukua fomu za kuwania nafasi ya urais nchini Tanzania
Ikumbukwe kwamba, chama kikuu cha upinzani nchini humo, CHADEMA hakitoshiriki uchaguzi wa Oktoba 2025 baada ya kushindwa kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, wakitaka kufanyike kwa mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi nchini humo.

12 Agosti, 2025
Rais wa Uganda afanya ziara Misri, maongezi kuhusu mto Nile yatarajiwa kufanyika
Ziara yake ni ya kidiplomasia inayolenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili na kuendeleza ushirikiano wa kikanda kwenye Mto Nile.

12 Agosti, 2025
Kenya wawanolea makucha Morocco katika mkutano wa kwanza wa Kundi A katika uwanja wa Kasarani
Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

12 Agosti, 2025
Watu 80 wamefariki dunia nchini Kenya katika ajali za barabarani ndani ya siku nne
Kenya imerekodi vifo 2,933 vya barabarani kufikia sasa mwaka wa 2025, huku vifo 80 vimeripotiwa katika muda wa siku nne zilizopita, amesema Waziri wa Barabara na Uchukuzi Davis Chirchir.

12 Agosti, 2025
Somalia yawanyonga wanajeshi kwa kula njama na magaidi wa Al Shabab kumuua kamanda mkuu
Wanajeshi wawili wa Somalia waliohukumiwa kifo kwa kula njama na kundi la kigaidi la Al Shabab kumuua kamanda mmoja walinyongwa siku ya Jumatatu, maafisa wa mahakama ya kijeshi walisema.

12 Agosti, 2025
Wanajeshi wa RSF waua zaidi ya 40 katika kambi ya Darfur: waokoaji
Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) vilishambulia kambi ya wakimbizi huko Darfur siku ya Jumatatu, na kuua takriban raia 40 na kuwajeruhi wengine 19, waokoaji walisema.

11 Agosti, 2025
Jeshi la Nigeria laua zaidi ya ‘wapiganaji’ 100 katika mashambulizi ya angani,ardhini
Kulingana na taarifa, mashambulizi hayo ya kijeshi yanaweza kuwa ni kujibu uvamizi wa wapiganaji wa mara kwa mara, hasa utekaji mwezi uliopita.

11 Agosti, 2025
Maafisa waliofariki katika ajali ya helikopta Ghana wazikwa
Waziri wa Mazingira, Sayansi na Teknolojia Ibrahim Murtala Muhammed na Naibu Mratibu wa Usalama Limuna Muniru Mohammed walizikwa siku ya Jumapili.




