12 Agosti, 2025

Misri inasema haitoacha haki ya maji yake huku kukiwa na mvutano kuhusu bwawa la Nile na Ethiopia

Rais wa Misri anasema suala la maji ya Nile ni madai ya sehemu ya shinikizo kuhusu malengo yasiyohusiana na suala hilo

c582831e971a146d98f24b4e40bfd512efb6fa6f3262b07e1a6e2fbf8a69ba32

12 Agosti, 2025

Spika wa zamani wa Nigeria Tambuwal akamatwa kwa madai ya ufisadi wa milioni $123

Aminu Tambuwal alikamatwa Jumatatu katika mji mkuu, Abuja, kwa madai ya ubadhirigu wa fedha karibu Naira bilioni 189 (milioni $123).

bdf24a3cf207d44144af9225b0df4b64468258b8a710ff182894ca47d2da9278

12 Agosti, 2025

Vyama 11 vyachukua fomu za kuwania nafasi ya urais nchini Tanzania

Ikumbukwe kwamba, chama kikuu cha upinzani nchini humo, CHADEMA hakitoshiriki uchaguzi wa Oktoba 2025 baada ya kushindwa kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, wakitaka kufanyike kwa mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi nchini humo.

7de2aec113e4ab12fbb4ffd0f77b25e43719b2e1c33d2e21597789307f512ce6

12 Agosti, 2025

Rais wa Uganda afanya ziara Misri, maongezi kuhusu mto Nile yatarajiwa kufanyika

Ziara yake ni ya kidiplomasia inayolenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili na kuendeleza ushirikiano wa kikanda kwenye Mto Nile.

1754996323705 0jdn5 dbbfee8536986030640d521d76f2ac498686522fffb2beaefdf4cbcb1ce50a9c

12 Agosti, 2025

Kenya wawanolea makucha Morocco katika mkutano wa kwanza wa Kundi A katika uwanja wa Kasarani

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

ff3de0f974fbb3da6b4fcf115d54b74a810a6bdaf68a2dddce044ae049551d4c

12 Agosti, 2025

Watu 80 wamefariki dunia nchini Kenya katika ajali za barabarani ndani ya siku nne

Kenya imerekodi vifo 2,933 vya barabarani kufikia sasa mwaka wa 2025, huku vifo 80 vimeripotiwa katika muda wa siku nne zilizopita, amesema Waziri wa Barabara na Uchukuzi Davis Chirchir.

471560bdf8025c427f80f449004a365a66b2619c94ed36a245a78eac9bfd4700

12 Agosti, 2025

Somalia yawanyonga wanajeshi kwa kula njama na magaidi wa Al Shabab kumuua kamanda mkuu

Wanajeshi wawili wa Somalia waliohukumiwa kifo kwa kula njama na kundi la kigaidi la Al Shabab kumuua kamanda mmoja walinyongwa siku ya Jumatatu, maafisa wa mahakama ya kijeshi walisema.

dcc230e8ef01251d3605c2226eb7b7fb44d149a66905611f93e28bd65118b774 main

12 Agosti, 2025

Wanajeshi wa RSF waua zaidi ya 40 katika kambi ya Darfur: waokoaji

Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) vilishambulia kambi ya wakimbizi huko Darfur siku ya Jumatatu, na kuua takriban raia 40 na kuwajeruhi wengine 19, waokoaji walisema.

1748263774071 w5vsw 2025 04 18t130536z 110235616 rc27 h rtrmadp 3 sudan politics zamzam main

11 Agosti, 2025

Jeshi la Nigeria laua zaidi ya ‘wapiganaji’ 100 katika mashambulizi ya angani,ardhini

Kulingana na taarifa, mashambulizi hayo ya kijeshi yanaweza kuwa ni kujibu uvamizi wa wapiganaji wa mara kwa mara, hasa utekaji mwezi uliopita.

c64291db22760ab2033bdc3129e88f883e0ecff9fb4172320a62655abd00c75b

11 Agosti, 2025

Maafisa waliofariki katika ajali ya helikopta Ghana wazikwa

Waziri wa Mazingira, Sayansi na Teknolojia Ibrahim Murtala Muhammed na Naibu Mratibu wa Usalama Limuna Muniru Mohammed walizikwa siku ya Jumapili.

dafb1b87ba0dc5efff1b3628fce5fee10f7c9b6778ace698f6de63a12e3acf41
Inapakia...