Mwanajeshi wa Uingereza akamatwa kwa mauaji ya mwanamke wa Kenya mwaka 2012

Robert James Purkiss aliyekamatwa huko Tidworth, Wiltshire mnamo 6 Novemba na alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu ya Westminster siku ya Ijumaa na huenda akarejeshwa Kenya kujibu mashtaka
8 Novemba, 2025
Trump aapa hakuna afisa wa Marekani atakayehudhuria Mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini

Trump anasema anatarajia kuandaa Mkutano wa G20 wa 2026 huko Miami.
8 Novemba, 2025
Raia wa Sudan Kusini kurejeshwa nyumbani kutoka US

Awali Sudan Kusini iliorodheshwa miongoni mwa mataifa ambayo yangefaidika kwa muda mnamo Oktoba 13, 2011, kulingana na mapigano nchini humo kati ya serikali ya rais Salva Kiir na makamu wake wa wakati huo Riek Machar.
7 Novemba, 2025
Tanzania yawashtaki watu 98 kwa uhaini

Miongoni walioshikwa ni mfanyabiashara, Jenifer Bilikwiza Jovin almaarufu Niffer amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo Ijumaa.
7 Novemba, 2025

Rais Ruto atoa wito wa kuachiliwa kwa Wakenya wanaoshikiliwa Ukraine

Paul Biya, kiongozi mkongwe zaidi duniani, aapishwa kuwa Rais wa Cameroon

Kenya yathibitisha kuuwawa kwa mwalimu Mkenya Tanzania

Hamas warudisha mwili wa Mtanzania Joshua Loitu Mollel

Malawi yapiga marufuku usafirishaji wa mazao kuimarisha usalama wa chakula
6 Novemba, 2025
Mahakama ya ICC yathibitisha mashitaka dhidi ya Joseph Kony wa Uganda
Siku ya Alhamisi, mahakama hiyo ilimkuta Kony na hatia ya makosa mbalimbali, ikiwemo mauaji, ubakaji na utesaji.

6 Novemba, 2025
Kenya: Kampuni ya Safaricom yapata faida zaidi
Mapato ya kutoa huduma yalipanda hadi shilingi bilioni 199.9 katika muda wa miezi sita hadi mwisho wa mwezi wa Septemba, kutoka shilingi bilioni 179.9 katika kipindi kama hicho mwaka uliotangulia, ilisema Alhamisi.

6 Novemba, 2025
Benki Kuu ya Sudan yaondoa marufuku ya dhahabu kutouzwa nje ya nchi
Chini ya marufuku iliyowekwa hapo awali Benki kuu ya Sudan iliwajibisha wauzaji dhahabu nje ya nchi kuzingatia udhibiti uliotolewa na Wizara ya Viwanda, Wizara ya Madini, Shirika la Viwango na Hali ya hewa la Sudan, na Kampuni ya Sudan Gold Refinery.

5 Novemba, 2025
Tanzania: Bei ya Petroli yabakia pale pale
Gharama hiyo ni sawa na ile iliyokuwa ikitumika kwa kipindi cha kuishia Oktoba 31, 2025.

5 Novemba, 2025
‘Karibuni Tanzania, ipo salama’, yasema Wizara ya Utalii
Hakikisho hilo linafuatia vurugu zilizoibuka wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 na kusabisha vifo vya watu, majeruhi na uharibu wa mali.

5 Novemba, 2025
Zohran Mamdani mazaliwa Uganda achaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York
Zohran Mamdani,mwenye umri wa miaka 34 na anayejitambulisha kama msoshalisti, amechaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York.

5 Novemba, 2025
Mwalimu Mkenya aripotiwa kuuwawa Tanzania
John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, ameripotiwa kuuawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.

4 Novemba, 2025
Tanzania: Chama Cha Mapinduzi (CCM) chatangaza nafasi za kuwania Uspika bara na visiwani
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuapishwa wa Samia Suluhu Hassan kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia ushindi wake wa kiti hicho katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.

4 Novemba, 2025
Hemed Suleiman ‘Morocco’ kutoipeleka Tanzania AFCON Morocco
Nafasi ya kocha huyo kwa sasa inachukuliwa na mzawa Miguel Gamondi, raia wa Argentina ambaye alikuwa akiifundisha Singida Big Stars ya nchini Tanzania.

4 Novemba, 2025
Kiongozi wa kijeshi Guinea atangaza kugombea urais
Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Guinea amewasilisha rasmi jina lake kugombea urais katika uchaguzi wa Disemba, akibatilisha ahadi yake ya awali kwamba hatagombea baada ya kuongoza mapinduzi miaka minne iliyopita.



