8 Agosti, 2025

Marekani yasitisha huduma za viza nchini Zimbabwe

Ubalozi wa Marekani ulieleza hatua hiyo kuwa ya muda na ni sehemu ya juhudi za uongozi wa Trump za “kuzuia viza nyingi na matumizi mabaya.”

7fb081b3ccef283071543fd45b1a2647834dda22a62116b26d51b74207ef91a1

8 Agosti, 2025

Waziri Mkuu Kenya: Tuna haki ya kufanya biashara na nchi tofauti duniani

Waziri Mkuu wa Kenya Musalia Mudavadi amethibitisha haya wakati muswada unaopendekezwa katika Seneti ya Marekani ukitishia kufuta hadhi ya nchi hiyo isiyo ya NATO (MNNA) kuhusu uhusiano wake wa kibiashara na Iran na Urusi.

2025 05 26t231220z 1506082910 rc2m3baofo3j rtrmadp 3 morocco kenya westernsahara

8 Agosti, 2025

Kenya: Ajali ya treni na basi dogo yaua watu 8

Kati ya waliopoteza maisha katika ajali hiyo, ni pamoja na dereva wa basi hilo linalomilikiwa na kampuni ya KPC.

471560bdf8025c427f80f449004a365a66b2619c94ed36a245a78eac9bfd4700

7 Agosti, 2025

CHAN 2024: VAR ‘yaokoa milioni moja’ ya Rais William Ruto

Hii ni baada ya timu ya taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ kutoka suluhu na timu ya taifa ya Angola, katika mchezo wao wa pili wa Kundi A, uliofanyika Agosti 7, 2025.

4f9d1101c086063c778fb15bdd125f7331aa0a19a50ceb5d711260e0ca6f6fd5

7 Agosti, 2025

Kambi za wakimbizi Gambella, Ethiopia zakosa rasilimali za kutosha

Eneo hilo, ambalo linahifadhi zaidi ya wakimbizi 395,000 – wengi wao kutoka Sudan Kusini katika kambi saba – linashuhudia ongezeko la utapiamlo kwa watoto, ugonjwa wa malaria, na wagonjwa kulazwa.

dd325073ce18c5eb4c984b0f9e71578948b8089a38d0a9533d5e2179fe4e7811

6 Agosti, 2025

CHAN 2024: Tanzania yavuna alama sita baada ya kuifunga Mauritania

Michuano ya CHAN 2024 inaandaliwa kwa pamoja na nchi za Tanzania, Kenya na Uganda.

f8a556a713351fee86b797f0de14979eaf93238d0203f0b8caa0d79c7ec76424

6 Agosti, 2025

Umoja wa Afrika wahuzunishwa na ajali ya helikopta iliyoua mawaziri wawili wa Ghana

Kupitia taarifa yake, mwenyekiti huyo alituma salamu zake za rambirambi kwa Rais wa Ghana John Dramani Mahama, serikali ya nchi, watu wa Ghana, pamoja na familia za wafiwa, kufuatia ajali hiyo iliyotokea Agosti 6, 2025.

3ae7153eab147bfbf54a3b89a8f6b30beb758740278c3a5311cdda79f18f02be

6 Agosti, 2025

Spika za zamani wa bunge la Tanzania Job Ndugai afariki dunia

Ndugai amekuwa Spika wa Bunge tangu November 17, 2015 hadi Januari 06, 2022 alipojiuzulu na kuendelea kuwa Mbunge wa Kongwa ambapo hivi karibuni, alishinda kura za maoni ili aweze kugombea tena nafasi hiyo.

a61ca148cba6e6d6d7297a02529e4ce49ae3f498bd703ac41c68a9d80d061aeb

6 Agosti, 2025

ACT Wazalendo yapendekeza majina ya wagombea urais Tanzania bara na Zanzibar

Ama kwa upande wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, ambae ndie Makamu wa Rais wa Kwanza wa sasa Zanzibar, amependekezwa kugombea nafasi ya Urais.

d0697632e476d8dd5fb7832c778a031565adb6133656d85f10418fef2615c896

6 Agosti, 2025

Uganda kuidhinisha mashirika mengine kutoa mafunzo ya ubobezi wa uanasheria

Kwa miaka 55 kituo hiki ndicho kilikuwa na uwezo pekee nchini Uganda kutoa mafunzo ya ubobezi wa uanasheria na idhini ya kuwa wakili.

360d3ac9d5bdee075f3e2e5ba991ddf7424f145906285e1384046f343c0451a3
Inapakia...