Wagombea zaidi wa Urais Tanzania wapokea fomu zao za uteuzi kutoka kwa Tume huru ya Uchaguzi

Miongoni mwa wagombea waliokabidhiwa fomu zao za kugombea urais na makamu wa rais, ni George Gabriel Bussungu kupitia tiketi ya Chama cha Tanzania Democratic Alliance (TADEA).
11 Agosti, 2025
Utapiamlo waua watu 63 kwa wiki katika jimbo la El-Fasher Sudan

Upungufu wa lishe umekuwa ukisababisha vifo vya angalau watu 63, wengi wakiwa wanawake na watoto, katika wiki moja katika mji uliozingirwa wa El-Fasher nchini Sudan, afisa wa afya alisema Jumapili.
11 Agosti, 2025
Sudan Kusini, Uganda kuchunguza mapigano ya mpakani

Sudan Kusini na Uganda kwa pamoja zitachunguza mapigano makali ya hivi majuzi kwenye mpaka wao, jeshi la Sudan Kusini lilisema Jumapili.
11 Agosti, 2025
Waziri wa Ulinzi wa Somalia Fiqi awapongeza wanajeshi kwa ‘ushujaa’ dhidi ya magaidi wa Al Shabab

Mji wa Bariire nchini Somalia ulikombolewa kutoka kwa magaidi wa Al Shabab kufuatia siku kadhaa za operesheni za kijeshi.
10 Agosti, 2025

Maelfu wafanya maandamano nchini Sudan kuishukuru Uturuki

Njaa na magonjwa yanaenea nchini Sudan – shirika la Umoja wa Mataifa

DR Congo inawatuhumu waasi kwa mauaji ya raia licha ya kuwepo kwa mapatano

Niger yataifisha mgodi pekee wa dhahabu nchini humo

Takriban waombolezaji 21 wafariki katika ajali ya basi nchini Kenya
8 Agosti, 2025
Marekani yasitisha huduma za viza nchini Zimbabwe
Ubalozi wa Marekani ulieleza hatua hiyo kuwa ya muda na ni sehemu ya juhudi za uongozi wa Trump za “kuzuia viza nyingi na matumizi mabaya.”

8 Agosti, 2025
Waziri Mkuu Kenya: Tuna haki ya kufanya biashara na nchi tofauti duniani
Waziri Mkuu wa Kenya Musalia Mudavadi amethibitisha haya wakati muswada unaopendekezwa katika Seneti ya Marekani ukitishia kufuta hadhi ya nchi hiyo isiyo ya NATO (MNNA) kuhusu uhusiano wake wa kibiashara na Iran na Urusi.

8 Agosti, 2025
Kenya: Ajali ya treni na basi dogo yaua watu 8
Kati ya waliopoteza maisha katika ajali hiyo, ni pamoja na dereva wa basi hilo linalomilikiwa na kampuni ya KPC.

7 Agosti, 2025
CHAN 2024: VAR ‘yaokoa milioni moja’ ya Rais William Ruto
Hii ni baada ya timu ya taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ kutoka suluhu na timu ya taifa ya Angola, katika mchezo wao wa pili wa Kundi A, uliofanyika Agosti 7, 2025.

7 Agosti, 2025
Kambi za wakimbizi Gambella, Ethiopia zakosa rasilimali za kutosha
Eneo hilo, ambalo linahifadhi zaidi ya wakimbizi 395,000 – wengi wao kutoka Sudan Kusini katika kambi saba – linashuhudia ongezeko la utapiamlo kwa watoto, ugonjwa wa malaria, na wagonjwa kulazwa.

6 Agosti, 2025
CHAN 2024: Tanzania yavuna alama sita baada ya kuifunga Mauritania
Michuano ya CHAN 2024 inaandaliwa kwa pamoja na nchi za Tanzania, Kenya na Uganda.

6 Agosti, 2025
Umoja wa Afrika wahuzunishwa na ajali ya helikopta iliyoua mawaziri wawili wa Ghana
Kupitia taarifa yake, mwenyekiti huyo alituma salamu zake za rambirambi kwa Rais wa Ghana John Dramani Mahama, serikali ya nchi, watu wa Ghana, pamoja na familia za wafiwa, kufuatia ajali hiyo iliyotokea Agosti 6, 2025.

6 Agosti, 2025
Spika za zamani wa bunge la Tanzania Job Ndugai afariki dunia
Ndugai amekuwa Spika wa Bunge tangu November 17, 2015 hadi Januari 06, 2022 alipojiuzulu na kuendelea kuwa Mbunge wa Kongwa ambapo hivi karibuni, alishinda kura za maoni ili aweze kugombea tena nafasi hiyo.

6 Agosti, 2025
ACT Wazalendo yapendekeza majina ya wagombea urais Tanzania bara na Zanzibar
Ama kwa upande wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, ambae ndie Makamu wa Rais wa Kwanza wa sasa Zanzibar, amependekezwa kugombea nafasi ya Urais.

6 Agosti, 2025
Uganda kuidhinisha mashirika mengine kutoa mafunzo ya ubobezi wa uanasheria
Kwa miaka 55 kituo hiki ndicho kilikuwa na uwezo pekee nchini Uganda kutoa mafunzo ya ubobezi wa uanasheria na idhini ya kuwa wakili.




