6 Novemba, 2025

Mahakama ya ICC yathibitisha mashitaka dhidi ya Joseph Kony wa Uganda

Siku ya Alhamisi, mahakama hiyo ilimkuta Kony na hatia ya makosa mbalimbali, ikiwemo mauaji, ubakaji na utesaji.

fc9d344238525954edf898fa57277d5f091c93fd292d1cbe05753e8548cabe67

6 Novemba, 2025

Kenya: Kampuni ya Safaricom yapata faida zaidi

Mapato ya kutoa huduma yalipanda hadi shilingi bilioni 199.9 katika muda wa miezi sita hadi mwisho wa mwezi wa Septemba, kutoka shilingi bilioni 179.9 katika kipindi kama hicho mwaka uliotangulia, ilisema Alhamisi.

2025 05 09t074550z 1282674109 rc24eea2uow6 rtrmadp 3 safaricom results 1

6 Novemba, 2025

Benki Kuu ya Sudan yaondoa marufuku ya dhahabu kutouzwa nje ya nchi

Chini ya marufuku iliyowekwa hapo awali Benki kuu ya Sudan iliwajibisha wauzaji dhahabu nje ya nchi kuzingatia udhibiti uliotolewa na Wizara ya Viwanda, Wizara ya Madini, Shirika la Viwango na Hali ya hewa la Sudan, na Kampuni ya Sudan Gold Refinery.

2025 10 21t141031z 449903518 rc2dghavnird rtrmadp 3 sudan politics emirates gold

5 Novemba, 2025

Tanzania: Bei ya Petroli yabakia pale pale

Gharama hiyo ni sawa na ile iliyokuwa ikitumika kwa kipindi cha kuishia Oktoba 31, 2025.

79260f0b06fa07817d56a350bb7d3414ed8bb68528a423adc7ce1327b9eb0385

5 Novemba, 2025

‘Karibuni Tanzania, ipo salama’, yasema Wizara ya Utalii

Hakikisho hilo linafuatia vurugu zilizoibuka wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 na kusabisha vifo vya watu, majeruhi na uharibu wa mali.

280102a0de5afdff43b5cf90c3d3a0478df8fdc28fca63df56cc7ceb258a822d

5 Novemba, 2025

Zohran Mamdani mazaliwa Uganda achaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York

Zohran Mamdani,mwenye umri wa miaka 34 na anayejitambulisha kama msoshalisti, amechaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York.

1762326939778 wmb8v9 2c18532ce48008d676aef43e0df13937166d0c1e057c8538f9cd3b3e747c20fd

5 Novemba, 2025

Mwalimu Mkenya aripotiwa kuuwawa Tanzania

John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, ameripotiwa kuuawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.

e3b0be332ad039c7d69110a728ee9a0ff2c7e8a9359477b9300da645da0035ad

4 Novemba, 2025

Tanzania: Chama Cha Mapinduzi (CCM) chatangaza nafasi za kuwania Uspika bara na visiwani

Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuapishwa wa Samia Suluhu Hassan kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia ushindi wake wa kiti hicho katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.

4aab2a3b0db3e2e6ad2c1e6fea59204e5394fd939b70426120ab5505f4522326

4 Novemba, 2025

Hemed Suleiman ‘Morocco’ kutoipeleka Tanzania AFCON Morocco

Nafasi ya kocha huyo kwa sasa inachukuliwa na mzawa Miguel Gamondi, raia wa Argentina ambaye alikuwa akiifundisha Singida Big Stars ya nchini Tanzania.

53951f1fc2f13f4850b23988e67b2534e7ef9be7f3abcc8c22c85afb5c872674

4 Novemba, 2025

Kiongozi wa kijeshi Guinea atangaza kugombea urais

Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Guinea amewasilisha rasmi jina lake kugombea urais katika uchaguzi wa Disemba, akibatilisha ahadi yake ya awali kwamba hatagombea baada ya kuongoza mapinduzi miaka minne iliyopita.

7bab15cec9ac1b776600564f0af695efe340736a8fcad977d406de315fd2b1db main
Inapakia...