18 Oktoba, 2025

Obama amkumbuka kwa sifa tele Raila Odinga, kiongozi wa upinzani wa Kenya aliyefariki

Babake Barrack Obama alitoka Kaunti ya Siaya kwenye ufuo wa Ziwa Victoria – eneo ambalo Raila Odinga alizaliwa na atazikwa Jumapili.

b670acee83449e1752435219a94b21818da461005e625697d1a50fd8a6c2b647

17 Oktoba, 2025

Msongamano katika mazishi ya Raila wasababisha watu kadhaa kujeruhiwa

Watu kumi na nane wamejeruhiwa wakati wa msongamano uliojitokeza katika uwanja wa Nyayo wakati wa mazishi ya kitaifa ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga, aliyefariki dunia wiki hii India akiwa na umri wa miaka 80.

1760723891651 cw4xco 85d6bf2fc8f7490f07b5dbf75e8e0f9a860f6b704bf5b9f4ea3280ef884e5bf1

17 Oktoba, 2025

Uturuki na Afrika zaanza enzi mpya ya ushirikiano thabiti – AU

Uturuki ni mshirika wa kuaminika, anayejenga, kuwekeza, kusikiliza na kuchukua hatua sambamba na matarajio ya Afrika, alisema Kamishna wa Maendeleo ya Kiuchumi wa Umoja wa Afrika, Francisca Tatchouop Belobe.

1760708303120 o4qgoc b871c28d8e4cb636840a0dca8213b27479420b11db581e3a1c5d9cfb6bc10773

17 Oktoba, 2025

Wasira wa CCM awataka vijana kutotumika kuiharibu Tanzania

Tanzania inatarajia kufanya Uchaguzi wake Mkuu Oktoba 29, 2025 ambapo wananchi wa taifa hilo wanatumia haki yao ya kikatiba kuchagua viongozi mbalimbali, kuanzia rais, wabunge na madiwani.

f09644ed440f656d9504c636b3b14f9d460f090c6a24488a26416fb4f52d2706

17 Oktoba, 2025

Tanzania: Viongozi wa CHADEMA kwenda Kenya kumzika Raila Odinga

Msafara huo utakwenda baada ya mazungumzo yaliyofanywa na Mwenyekiti CHADEMA taifa, Tundu Antiphas Lissu na Heche mahakamani, siku ya Oktoba 16, 2025.

cb5a39b2d8c4a39b19e6b2657883a5762a8ed57b9453ef989601e5b9de8ced5a

17 Oktoba, 2025

Kiongozi wa kijeshi Madagascar kuapishwa huku akiahidi mazungumzo na AU

“Uamuzi huo ulitarajiwa. (Lakini) kuanzia sasa, kutakuwa na majadiliano. Tutaona jinsi mambo yataendelea,” Koloneli Michael Randrianirina anasema.

3b6ba5d556bdd950b7bb134c2ccfaff6947abcba9a1758ac66e77442ecd9e8df

16 Oktoba, 2025

Watu wanne wafariki dunia kufuatia majaribio ya vikosi vya usalama kuwatawanya waombolezaji wa Raila

Watu wanne wamefariki dunia jijini Nairobi, Kenya, siku ya Alhamisi baada ya vikosi vya usalama kufyatua risasi na kurusha mabomu ya gesi kuwatawanya maelfu ya watu waliokusanyika kwenye uwanja wa Kasarani kuuaga mwili wa Raila Odinga.

61c1c06b499bf0f2e53779e1674cc268b0bf62e1ab9ee11eedb1d85cb7a173e7

16 Oktoba, 2025

Cyril Ramaphosa amsimamisha kazi Mkuu wa Idara ya Usalama ya Afrika Kusini

Kusimamishwa kwa Fazel kunakuja katikati ya sakata la tuhuma mbalimbali zinazolikabili jeshi la polisi la nchi hiyo pamoja na idara ya usalama hususani zile zinazomkabili kamishna wa Polisi wa eneo la KwaZulu-Natal, Nhlanhla Mkhwanazi mwezi Julai.

cb2d70b11cb16437bda72b9f9448c6362cb76267fad4df4cb5886a255b383d8c

16 Oktoba, 2025

Umoja wa Afrika waifungia kwa muda Madagascar baada ya mapinduzi

Mwenyekiti wa Tume ya AU Mahamoud Ali Youssouf anasema kuwa kusimamishwa huko kutakuwa na athari mara moja.

3b6ba5d556bdd950b7bb134c2ccfaff6947abcba9a1758ac66e77442ecd9e8df

16 Oktoba, 2025

Bunge la Afrika Mashariki lachagua wajumbe maalumu wa kupambana na ufisadi, kukuza uwajibikaji

Uchaguzi huo umefanyika katika kikao cha bunge hilo kilichofanyika katikati ya wiki jijini Arusha, Tanzania.

d75175b23e80aa38fab61861aa8abbae1bf869a9c5a07ef0c1c33f8d716370e2
Inapakia...