28 Julai, 2025

Mkutano wa UN wa kutathmini mifumo ya chakula wafanyika Ethiopia

Katika mkutano kati ya 28 na 29 Julai, 2025 unaofanyika nchini Ethiopia, Umoja wa Mataifa, UN na nchi za Afrika zinatathmini hali ya mabadiliko ya mifumo ya chakula.

6b6f0c82c92bdbe44f102d8896d91fff3ac4186f6f923f87ab7790c86d20ff2e

28 Julai, 2025

Afrika Kusini ‘yatamaushwa na njaa ya kimakusudi’ ya Wapalestina huko Gaza: Ramaphosa

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ameeleza wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, akisema kwamba wao “wanaogopa sana njaa iliyokusudiwa” ya “dola ya ubaguzi wa rangi ya Israeli.”

2025 07 21t171652z 1 lynxmpel6k0vr rtroptp 3 safrica politics main

28 Julai, 2025

Eswatini inakabili na shinikizo la umma baada ya kukubali wafungwa waliofukuzwa Marekani

Shinikizo la umma limekuwa likizidi dhidi ya serikali ya Eswatini baada ya taifa hilo la Afrika Kusini kukubali wafungwa waliotupwa nje na Marekani hivi karibuni.

2025 03 31t172915z 1318757725 rc2rnda44pwh rtrmadp 3 usa trump migration el salvador main

27 Julai, 2025

Shambulio la kundi la waasi la ADF dhidi ya kanisa katoliki la DRC limeua takriban watu 21

Angalau watu 21 wameuawa katika shambulio lililofanywa dhidi ya majengo ya kanisa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kundi la waasi la Allied Democratic Force (ADF).

nigeria obit pope francis global reax 55189 main

27 Julai, 2025

Mpinzani mkuu wa rais wa Cameroon Maurice Kamto amezuiwa kushiriki katika uchaguzi

Maurice Kamto hakuwa miongoni mwa wagombea 13 kwenye orodha ya awali iliyotolewa Jumamosi na baraza la taifa la uchaguzi.

a6853f1c3eda3b2d35020f90e327b8ef6bc0dece5c7892bce4fb5a521b4d3bd3

27 Julai, 2025

Muungano unaoongozwa na RSF watangaza serikali sambamba nchini Sudan

Kikosi cha kijeshi cha RSF na washirika wake wameapa kujenga “Sudan Mpya”.

454387d5257ffcf18d94f8dfe8e11e35fc0f739de6953b2580d4c7dc3dda7ab8

26 Julai, 2025

TRA yalenga kutoza kodi biashara za mitandaoni na vyumba vya Air BnB

Mamlaka ya ukusanyaji Kodi Tanzania TRA imetoa makataa ya hadi mwisho wa Agosti kwa biashara zote za kidijitiali na za Air Bnb kusajiliwa kupewa nambari ya utambulisho TIN au wakabiliwe na sheria.

3114a77033108d8241e2da3550ead4cb0a168cc715fddff6ed8a9ae1af675196

26 Julai, 2025

Mkuu wa Tume ya AU apongeza utambuzi wa Ufaransa wa taif ala Palestina

Mahmoud Youssouf alisema uamuzi huo unaendana na “msimamo wa kudumu wa Umoja wa Afrika” kuhusu haki za watu wa Palestina.

2025 05 12t080126z 192879436 rc27geaz76o1 rtrmadp 3 africa diplomacy

26 Julai, 2025

Tanzania kupiga kura Oktoba 29 – yatangaza Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

Tume hiyo imetangaza ratiba kamili ya uteuzi, kampeni na upigaji kura kwa ngazi zote husika Tanzania Bara na Zanzibar

19e4590b1de98be92d3c44ba28e6bce95e9b56369be8bd84722c1f81d621a26b

23 Julai, 2025

Mahakama ya juu zaidi ya Umoja wa Mataifa itaamua Jumatano juu ya majukumu ya hali ya hewa ya nchi

Kati ya 2013 – 2023, viwango vya bahari vimeongezeka kwa wastani wa kimataifa wa karibu sentimeta 4.3, huku dunia ikipanda nyuzi joto 1.3 tangu nyakati za kabla ya viwanda

496a05f37ef3cf8d0180eba9d6cbf7757b81e4fa01174430958f721ebdacc09f
Inapakia...