6 Mei, 2025

Mawaziri watakaoshindwa kuweka wazi mali wanazomiliki kufikia Jumatano watafutwa: Mahama

Rais wa Ghana amewaonya zaidi ya mawaziri wake 40 na wateule wengine kwa kushindwa kuweka wazi mali wanazomiliki, huku muda wa mwisho wa kufanya hivyo ukitarajiwa kuwa Jumatano, 7 Mei.

president john mahama

6 Mei, 2025

Mahakama ya kimataifa ya ICJ yakataa kesi ya Sudan dhidi ya UAE kuhusu mauaji ya halaiki

Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imetupilia mbali kesi ya Sudan dhidi ya UAE ya madai ya kuhusika katika mauaji ya halaiki kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Sudan.

1746453958005 wegnyg 2025 04 10t083953z 622827249 rc2w 3 rtrmadp 3 sudan uae world court 1

6 Mei, 2025

Rwanda inasema inafanya mazungumzo na Marekani ili ipokee wahamiaji

Kigali ilitia saini makubaliano na Uingereza mwaka 2022 kuchukua maelfu ya waomba hifadhi kutoka Uingereza kabla ya mkataba huo kufutiliwa mbali mwaka jana na Waziri Mkuu mteule wa wakati huo Keir Starmer.

1741089662577 lp5lg 2024 04 09t114255z 1791265221 rc2 27ajhgsn rtrmadp 3 britain rwanda

5 Mei, 2025

Walanguzi kadhaa wa dawa za kulevya wakamatwa Malawi

‘Tunashkuru serikali ya Marekani kwa operesheni hii ya usalama iliyofanikiwa,’ alisema waziri wa mambo ya ndani

chain

5 Mei, 2025

Umoja wa Afrika walaani mashambulizi ya Port Sudan

Kikosi cha Rapid Support Forces, RSF kinachovutana na jeshi la Sudan, kilifanya shambulio la ndege isiyo na rubani Jumapili, kwenye kambi ya jeshi la anga na vituo vyengine karibu na Uwanja wa Ndege wa Port Sudan.

2025 03 27t152642z 1054854513 rc2 rtrmadp 3 sudan politics airport

5 Mei, 2025

Uganda yamkamata anayeshukiwa kuwateka nyara watalii baada ya miaka sita

Jeshi la Uganda linasema limemkamata mshukiwa huyo katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrais ya Congo, DRC miaka sita baada ya kuteka nyara watalii.

1746436440943 sy1n1f 21558176 0 0 7360 4912

5 Mei, 2025

Benki Kuu Tanzania yakazia matumizi ya fedha za nchi kwa biashara za ndani

Benki kuu ya Tanzania mapema mwezi huu, imetoa taarifa inayosisitiza matumizi ya fedha za ndani katika manunuzi na biashara zote za ndani huku ikisema kuwa matumizi ya fedha za kigeni ndani ya nchi ni kinyume cha sheria.

1746435910433 knr1nn gettyimages 1416886403

5 Mei, 2025

M23 yadhibiti mji wa kimkakati wa wavuvi mashariki mwa DRC licha ya makubaliano ya amani

Waasi wa M23 na washirika wake wachukua udhibiti wa mji wa Lunyasenge magharibi mwa pwani ya Ziwa Edward kaskazini mwa DRC.

m23

5 Mei, 2025

Watatu mbaroni baada ya Rais Ruto kurushiwa kiatu

Rais William Ruto alirushiwa kiatu alipokuwa anawahutubia wakazi wa eneo la Kehancha, kaunti ya Migor siku ya Jumapili.

ruto 20shoe picsart aiimageenhancer

4 Mei, 2025

Jeshi la Sudan lasema RSF imelenga miundombinu karibu na uwanja wa ndege Port Sudan

Msemaji wa jeshi la Sudan amesema vikosi vya RSF vimelenga kambi ya jeshi la anga na miundombinu mengine karibu na eneo la uwanja wa ndege uliopo Port Sudan

1746112210961 6ggstu 2025 04 18t130528z 249290311 rc26 9 rtrmadp 3 sudan politics zamzam 1
Inapakia...