10 Oktoba, 2025

Burkina Faso yakataa pendekezo la kupokea waliotimuliwa kutoka Marekani

Burkina Faso imesema imekataa pendekezo kutoka kwa serikali ya Rais Trump la kuwapokea watu waliotimuliwa kutoka Marekani.

42fb855f3740666e49e9c7703e96be9bbe5ebe57e659d25d13bcc4d84c784e1c

10 Oktoba, 2025

Waandamanaji nchini Madagascar wamtaka rais wa nchi hiyo ajiuzulu

Polisi wanatumia mabomu ya machozi, na risasi za mpira kuwatawanya waandamanaji.

8c9e44e567239f2f28b9c41070310ef2e6fce61d0cf6a80a2b5c750f799fc250

9 Oktoba, 2025

Tshisekedi wa DRC amtaka Kagame wa Rwanda ‘kukumbatia amani’ katika mkutano jijini Brussels

Rais Felix Tshisekedi ametoa wito kwa mwenzake wa Rwanda Paul Kagame “kukumbatia amani” na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

71513d56fd213a7546d14c999754bdbb865259953b4939dabd9be7dcfce08027

9 Oktoba, 2025

Tanzania katika mazungumzo na Marekani kuhusu sharti la dhamana ya viza

Tanzania imekuwa ni nchi ya hivi karibuni kuingizwa katika orodha ya nchi ambazo raia wake wamewekewa masharti ya dhamana ya viza.

2025 10 09t071903z 2092711540 rc2x7ha68okz rtrmadp 3 usa finland main

9 Oktoba, 2025

Mashambulizi ya RSF katika hospitali yaua watu 20 huko Al-Fasher, Sudan

Mashambulizi ya wapiganaji wa Sudan RSF katika hospitali ya mji wa Al-Fasher yamewaua watu 20 ndani ya saa 24, vyanzo vya maafisa wa afya vimesema siku ya Jumatano.

b750c33b9f9362e8f0d12d19fa52679fef79347c3fafd0f4a740f247f6c7a10c

8 Oktoba, 2025

Upinzani CAR unasema hautoshiriki kwenye uchaguzi wa urais wa Disemba 2025

Upinzani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati unasema utasusia uchaguzi wa Disemba ambapo Rais Faustin-Archange Touadera anawania muhula wa tatu.

b71d988cbbfb179c778fcfcfc8cdf10801a1661229129c9c6a844b54d6e435e0

8 Oktoba, 2025

Somalia yaimarisha jeshi lake kwa ushirikiano na Rwanda

Mataifa yote mawili yamekubaliana kuhusu usalama katika kanda na fursa za kuimarisha uhusiano wa kijeshi.

986801ff45a591d710a171d0ef2bcc60a0b3be851f501bb2d2a467fa24cbbd82

8 Oktoba, 2025

Waandamanaji Madagascar wakataa mazungumzo na Rais

Rajoelina alilifuta baraza lake la mawaziri wiki iliyopita kwa nia ya kuzima machafuko hayo, akimteua waziri mkuu mpya na kutangaza mipango ya mazungumzo ya kitaifa yanayotarajiwa kuanza Jumatano alasiri.

2025 10 06t212017z 1 lynxnpel950z9 rtroptp 3 madagascar protests primeminister

8 Oktoba, 2025

Shirika la Msalaba Mwekundu lasema takriban 90% ya vituo vya afya DRC havina dawa

Uhaba wa wafanyakazi uliathiri 40% ya vituo vilivyofanyiwa utafiti, 13% havikuwa na kazi kabisa na nyingi ziliripoti uhaba wa usambazaji wa mara kwa mara kuanzia Januari, wakati M23 ilipoteka Goma, jiji kubwa zaidi katika kanda.

1759924922834 sg7x2m 559866ea456696020936b261dcec6b08c18995cc682982681fedcd6148af9572

8 Oktoba, 2025

Bunge la EALA lapongeza nchi wanachama wa EAC kwa kuandaa CHAN 2024

Pongezi hizo zinakuja baada ya Tanzania, Kenya na Uganda, kuandaa michuano ya CHAN kwa pamoja.

2819102dbf441b8c3a8bffa008991d7553c830940afb6c78e9f762484d68236f
Inapakia...