17 Julai, 2025

Rais wa Burundi kuongoza juhudi za Umoja wa Afrika kuleta amani Sahel

AU imesema Rais Ndayishimiye ataongoza usaidizi mpya wa kidiplomasia wa ngazi ya juu wa Umoja wa Afrika na juhudi shirikishi zinazolenga kutatua changamoto za kiusalama na kibinadamu katika Sahel.

2025 03 25t124503z 1 lynxnpel2o0jz rtroptp 3 africa diplomacy summit

17 Julai, 2025

Jeshi la Sudan latangaza kuzuia mashambulizi ya RSF dhidi ya El-Fasher

Wanajeshi wanaripoti makabiliano makali na wapiganaji wa RSF, huku makombora kwenye kambi ya wakimbizi yakiwaua raia 8, kulingana na chanzo cha matibabu.

2025 05 19t132919z 1512159103 rc2p5ea35asq rtrmadp 3 sudan politics unexploded ordnance

16 Julai, 2025

Eswatini inasema wafungwa waliofukuzwa Marekani siyo tishio kwa umma

Serikali ya Eswatini imethibitisha kuwa wafungwa watano waliofukuzwa Marekani wamewasili katika nchi hiyo, ikisema hawana hatari yoyote kwa raia wao.

65507d66ebbb0eb9953302acf259536f8480f4e10f351f049171a0982d297569

16 Julai, 2025

Viongozi wa kitamaduni Uganda wapewa zawadi ya magari

Kampeni nchini Uganda zimeanza huku rais wa sasa Yoweri Museveni akigombea tena kiti cha urais, na viongozi wa kitamaduni wamekuwa mawakala muhimu katika uhamasihaji wa kura.

7d53422e6fdb2285ab46d5ccedbac6aca31cf5f48ae6bc9d4d7c5b8a9ada1dd7

16 Julai, 2025

Hifadhi ya Kitaifa ya Maasai Mara, Kenya rasmi katika Kitabu cha Rekodi za Dunia

Kenya imetambuliwa kwa uhamiaji wa kila mwaka wa wanyamapori duniani kwa kuwa mwenyeji wa uhamiaji mkubwa zaidi na wa ajabu unaohusisha zaidi ya swala na pundamilia milioni 1.5 wanaovuka mfumo waikolojia ya Serengenti hadi Mara.

1999 08 03t120000z 946094087 rp1drilulmaa rtrmadp 3 kenya feature

16 Julai, 2025

Wanajeshi wa Kenya wauawa katika mlipuko wa bomu iliyotegwa

Wanajeshi hao walikuwa wakishika doria kando ya barabara kati ya Kiunga na Sankuri katika wakati gari lao lilipokanyaga kilipuzi kilichokuwa kimetegwa.

acd60463e7b5c2b90915087eecc7a359f9bc2bbd56d4600c9a37f6aa72363410

16 Julai, 2025

Msumbiji imeripoti ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa mpox

Mkoa wa Kaskazini wa Niassa unaripotiwa kuathirika zaidi

489652cc a32d 43e5 89b8 99f16959e1fd

16 Julai, 2025

Marekani inasema imewapeleka wahamiaji wahalifu waliofukuzwa nchini Eswatini

Mapema mwezi huu, afisa mkuu wa utawala wa Trump alisema katika kumbukumbu kwamba maafisa wa uhamiaji wa Marekani wanaweza kuwafukuza wahamiaji hadi nchi zingine isipokuwa mataifa yao asili kwa notisi ya saa sita pekee.

07c2fcf5ed192ddff3cd2db4d34dea688b8bf953c8cd1a38b3d2458745e61caf

16 Julai, 2025

Jumuiya ya Madola yairejesha uanachama Gabon baada ya kurejea kwa siasa za uchaguzi

Jumuiya ya Madola imeondoa marufuku yake kwa Gabon, ikikaribisha kurejea kwake kwa utaratibu wa kikatiba kufuatia uchaguzi wa rais wa Aprili 12, 2025.

f90f9ac9b5c8fc07047bc92f76800177300189ca274c95795638beec35e394d6

15 Julai, 2025

Rais wa zamani wa Nigeria Muhammadu Buhari azikwa katika eneo lake la nyumbani

Rais wa zamani wa Nigeria Muhammadu Buhari amezikwa katika eneo la nyumbani kwake katika jimbo la kaskazini mashariki la Katsina.

cf8d8bd23f5cc445a481b66f850f2f77e87993c8660cc3ae5c8b76293c8c5e4f
Inapakia...