AU yaridhishwa na hatua ya kusitishwa mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

Umoja wa Afrika umetoa wito kwa makundi yenye silaha katika nchi hiyo “kuweka silaha zao chini na kushiriki kwa nia njema katika majadiliano ya kitaifa na maridhiano”.
18 Julai, 2025
Uganda kuweka huduma dhidi ya Ukimwi kwa huduma ya afya ya jumla

Takwimu za Uganda Aida Commission zinaonyesha kuwa asilimia 70 ya maambukizi mapya ya ukimwi ni miongoni mwa vijana wenye umri wa miaka 15 hadi 24 ni hasa kwa miongoni mwa wasichana na wanawake vijana
18 Julai, 2025
Raia wa Libya akamatwa na Mahakama ya Kitaifa ya ICC

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilifikisha malalamiko yake dhidi ya Khaled Mohamed Ali El Hishri, raia wa Libya katika mahakama ya ICC kutokana na uhalifu wa kibinadamu nchini Libya.
18 Julai, 2025
Barcelona yaingia mkataba na DRC kukuza utalii

DRC imesaini mikataba mingine ya aina hiyo na vilabu vingine vya Ulaya, ikiwemo AS Monaco na AC Milan.
18 Julai, 2025

Mshukuwa wa mauaji ya mgonjwa katika Hospital kuu Kenya akamatwa

Serikali ya muungano Afrika Kusini hatarini baada ya mjumbe kushindwa kwenda Marekani

Ghana yamshtaki aliyekuwa mkuu wa shirika la kuratibu sekta ya mafuta kwa ufisadi

Ufaransa yawakabidhi Senegal kambi ya mwisho ya kijeshi kuashiria ukomo wao Afrika Magharibi

Rwanda kutoa leseni kwa wawekezaji wapya wa madini
17 Julai, 2025
Rais wa Burundi kuongoza juhudi za Umoja wa Afrika kuleta amani Sahel
AU imesema Rais Ndayishimiye ataongoza usaidizi mpya wa kidiplomasia wa ngazi ya juu wa Umoja wa Afrika na juhudi shirikishi zinazolenga kutatua changamoto za kiusalama na kibinadamu katika Sahel.

17 Julai, 2025
Jeshi la Sudan latangaza kuzuia mashambulizi ya RSF dhidi ya El-Fasher
Wanajeshi wanaripoti makabiliano makali na wapiganaji wa RSF, huku makombora kwenye kambi ya wakimbizi yakiwaua raia 8, kulingana na chanzo cha matibabu.

16 Julai, 2025
Eswatini inasema wafungwa waliofukuzwa Marekani siyo tishio kwa umma
Serikali ya Eswatini imethibitisha kuwa wafungwa watano waliofukuzwa Marekani wamewasili katika nchi hiyo, ikisema hawana hatari yoyote kwa raia wao.

16 Julai, 2025
Viongozi wa kitamaduni Uganda wapewa zawadi ya magari
Kampeni nchini Uganda zimeanza huku rais wa sasa Yoweri Museveni akigombea tena kiti cha urais, na viongozi wa kitamaduni wamekuwa mawakala muhimu katika uhamasihaji wa kura.

16 Julai, 2025
Hifadhi ya Kitaifa ya Maasai Mara, Kenya rasmi katika Kitabu cha Rekodi za Dunia
Kenya imetambuliwa kwa uhamiaji wa kila mwaka wa wanyamapori duniani kwa kuwa mwenyeji wa uhamiaji mkubwa zaidi na wa ajabu unaohusisha zaidi ya swala na pundamilia milioni 1.5 wanaovuka mfumo waikolojia ya Serengenti hadi Mara.

16 Julai, 2025
Wanajeshi wa Kenya wauawa katika mlipuko wa bomu iliyotegwa
Wanajeshi hao walikuwa wakishika doria kando ya barabara kati ya Kiunga na Sankuri katika wakati gari lao lilipokanyaga kilipuzi kilichokuwa kimetegwa.

16 Julai, 2025
Msumbiji imeripoti ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa mpox
Mkoa wa Kaskazini wa Niassa unaripotiwa kuathirika zaidi

16 Julai, 2025
Marekani inasema imewapeleka wahamiaji wahalifu waliofukuzwa nchini Eswatini
Mapema mwezi huu, afisa mkuu wa utawala wa Trump alisema katika kumbukumbu kwamba maafisa wa uhamiaji wa Marekani wanaweza kuwafukuza wahamiaji hadi nchi zingine isipokuwa mataifa yao asili kwa notisi ya saa sita pekee.

16 Julai, 2025
Jumuiya ya Madola yairejesha uanachama Gabon baada ya kurejea kwa siasa za uchaguzi
Jumuiya ya Madola imeondoa marufuku yake kwa Gabon, ikikaribisha kurejea kwake kwa utaratibu wa kikatiba kufuatia uchaguzi wa rais wa Aprili 12, 2025.

15 Julai, 2025
Rais wa zamani wa Nigeria Muhammadu Buhari azikwa katika eneo lake la nyumbani
Rais wa zamani wa Nigeria Muhammadu Buhari amezikwa katika eneo la nyumbani kwake katika jimbo la kaskazini mashariki la Katsina.




