6 Julai, 2026

Zimbabwe yaingia gizani baada ya hitilafu kwenye Gridi ya taifa

Hata hivyo, kampuni mama ya umeme nchini humo (ZESA), ilisema kuwa changamoto hiyo ilitokana na hitilafu, ikiongeza kuwa mafundi walikuwa kazini kuhakikisha hali ya kawaida inarejea.

b5c32298ade8681cf91e42f3532a0670937439b761395fd0fce5dfa335015009

6 Julai, 2026

Idadi ya vifo vya Ebola nchini DRC vyavuka 500

Idadi ya vifo vilivyotokana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini DRC, sasa vimefikia zaidi ya 500.

1783363010291 dtaryb 9711a6eb23909f72434f852e073b3c38caf7eef4fc1ffc31869f7924e8009967

6 Julai, 2026

Waziri wa Ulinzi wa Israel atoa vitisho kwa Iran huku raia wakimuomboleza Khamenei

Viongozi kadhaa kutoka nchi mbalimbali wamewasili Iran kutoa salamu za rambirambi kufuatia mauaji ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran Ali Khamenei.

1782803709551 uc7vwr ac7ca7d1c8ced6731c46eaff0c494fa05fb7c1ef50e2b20b2759bb12fc67bcd2

6 Julai, 2026

Baraza la Haki za Binadamu la UN laagiza uchunguzi wa haraka kuhusu ukatili unaofanywa EL Obeid

Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Turk wiki iliyopita alielezea hali ndani na karibu na El Obeid kama “janga la haki za binadamu”, akitoa mfano wa mashambulizi yasiyoisha ya ndege zisizo na rubani na mauaji ya kushtukiza.

2026 07 03t104245z 656219531 rc2qzia2zku2 rtrmadp 3 sudan politics un

6 Julai, 2026

Vifo vya Ebola katika DRC vyazidi 500 huku maambukizi yakifikia 1,561

Mapema mwezi huu, Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza kuanza kwa tiba ya majaribio ya kingamwili ya MBP134, huku zaidi ya wagonjwa 1,000 wakitarajiwa kushiriki.

2026 07 06t051426z 1 lynxmpem650an rtroptp 3 health ebola usa

6 Julai, 2026

Uganda inadai raia wake watatu wameuawa Afrika Kusini katika maandamano dhidi ya wahamiaji

Maandamano dhidi ya wahamiaji nchini Afrika Kusini yamesababisha moja ya shughuli kubwa za kuwaondoa raia wa bara la Afrika kutoka nchini humo.

42a9a05d1d82f9e63bfda2bc87283e74dfdf0acf71895aab3d85e33b1ad93410

5 Julai, 2026

Mlipuko wa kipindupindu waua watu 30 katika jimbo la Kordofan Magharibi nchini Sudan

Shirika la misaada la Sudan limeripoti vifo 30 kutokana na mlipuko wa kipindupindu katika jimbo la Kordofan Magharibi, tangu tarehe 20 Juni.

1783256944269 6960u d0986823fcc795621e3b442d9ea4edc4e397e56921efd1f7eddc0c4237b09224

5 Julai, 2026

Misri yatupilia mbali uwezekano wa ‘uhusiano wa kawaida’ na Israel iwapo hakutakuwa na amani ya haki

Rais wa Misri ataka kukomeshwa kwa uvamizi wa Israel katika maeneo ya Palestina.

5eb25484edd98733453f5830deb447ca7d6a6f9ba3bf36476765125de5f53fbc

5 Julai, 2026

Wanafunzi DRC wafa maji katika mkasa wa boti baada ya kufanya mtihani

Kulikuwa na manusura 80 na miili 20, kulingana na afisa mmoja, huku shahidi mmoja akisema kuwa boti hiyo ilikuwa imebeba zaidi ya watu 200.

82697a31ca716f26e112c4c09d3bb0dffd18e6fb4e7bd01dd8756846ba755957

4 Julai, 2026

Mabasi zaidi ya Wasudan waliofurushwa yaondoka Misri kuelekea nyumbani

Kamati ya kurejesha watu kwa hiari inaandaa mabasi 24 yanayowasafirisha raia wa Sudan kurejea nyumbani, kulingana na vyombo vya habari vya serikali ya Sudan.

7158258240825d95f9197eb7ca183c193fa8a9fd4bec48d7a838ba57528ebc4c
Inapakia...