Jeshi la Sudan lasema limewaua wapiganaji 60 wa RSF Darfur Kaskazini

Tangu Mei 2024 kumekuwa na mapigano makali El-Fasher kati ya jeshi la Sudan na RSF
25 Aprili, 2025
Rais wa Ukraine kukatisha ziara yake ya Afrika Kusini

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amesema amelazimika kukatisha sehemu ya ratiba yake nchini Afrika Kusini baada ya shambulizi la Urusi katika mji mkuu wa Kyiv.
24 Aprili, 2025
Rwanda yazindua mikakati mipya ya kuthibiti malaria

Mbinu mpya inahusisha kupima familia yote baada ya mtu mmoja kugundulika kuwa na ugonjwa wa malaria ili kutambua na kutibu wengine ambao wanaweza kuambukizwa lakini bado hawana dalili.
24 Aprili, 2025
Mahakama ya Senegal yazuia ombi la serikali la kufuta sheria ya msamaha kwa ‘wahalifu’

Baraza la Katiba la Senegal lilitangaza sheria mpya ya msamaha kuwa kinyume na katiba, na hivyo kuzua mvutano mpya wa kisiasa kati ya wapinzani.
24 Aprili, 2025

Serikali ya DRC, M23 wakubali kufanya mazungumzo

Waliojaribu kutorosha siafu kupitia JKIAkuhukumiwa mwezi ujao

Djibouti yawapa wahamiaji haramu wiki moja kuondoka au wawaondowe kwa lazima

Wafugaji wenye silaha wawaua watu 11 katika mashambulizi mengine Nigeria

Rais Ruto asaini mikataba 7 na Uchina ya uwekezaji wa zaidi ya dola milioni 823
23 Aprili, 2025
Kenya kuunda kitengo maalum kukabiliana na usafirishaji haramu wa binadamu
Kamati ya Kudumu ya Seneti ya Kenya kuhusu Kazi na Ustawi wa Jamii inaripoti kuwa takriban wafanyakazi 80,000 wa Kenya wako Saudi Arabia na 60,000 katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), wengi wao wakiwa wafanyakazi wa nyumbani

23 Aprili, 2025
Mataifa matatu ya Sahel kujiondoa kutoka Ecowas ‘inasikitisha’ – rais wa Ghana
Rais John Mahama anatoa wito wa “uimara zaidi na uelewano kwa ajili ya changamoto ngumu zinazowakabili ndugu zetu katika mataifa ya Sahelian.”

22 Aprili, 2025
Watu 3 wamefariki, na mamia wengine kuondoka katika makazi yao kutokana na mafuriko Nairobi, Kenya
Mwanamke mmoja, na watoto wake 2 walifariki baada ya kuangukiwa na ukuta wakati wa mvua kubwa

22 Aprili, 2025
Rais wa Ghana Mahama amsimamisha kazi Jaji Mkuu
Kumewasilishwa malalamiko rasmi matatu kutaka aondolewe ofisini, hata hivyo madai dhidi yake hayajafahamika wazi kwa umma.

22 Aprili, 2025
Jeshi la Burkina Faso linasema limetibua jaribio la shambulizi kwa rais
Maafisa wa kijasusi wamefanikiwa kutibua mawasiliano kati ya afisa mmoja wa jeshi na viongozi wa kigaidi kuhusu taarifa za pale vikosi vya Burkina Faso vilipo, amesema waziri wa usalama.

22 Aprili, 2025
Shirika la WFP laonya kuhusu ‘viwango vya kutisha’ vya utapiamlo nchini Ethiopia
Shirika hilo la mpango wa chakula la Umoja wa Mataifa limelazimika kusitisha msaada kwa wanawake na watoto 650,000 kutokana na ukosefu wa fedha

22 Aprili, 2025
Rwanda yaongeza mapato ya usafirishaji wa mizigo
Jumla ya mapato ya mauzo ya nje ya Rwanda yalifikia dola bilioni 4.2 mwaka 2024, ikionyesha ongezeko la asilimia 22 kutoka zaidi ya dola bilioni 3.5 mwaka 2023, ripoti ya Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB), imeonyesha.

22 Aprili, 2025
Vatican: Mazishi ya Papa Francis Papa kufanyika Aprili 26
Siku ya Jumatano, makao makuu ya Kanisa Katoliki duniani, yalitangaza kuwa jeneza lenye mwili wa Papa Francis, litabebwa kutoka kwenye kanisa la Casa Santa Marta hadi kwenye Basilica ya Mtakatifu Petro, huko Vatican.

22 Aprili, 2025
Serikali ya Kenya yaonya maafisa wa afya dhidi ya ukiukaji wa maadili
Kenya imekumbwa na sakata la baadhi ya mashirika ya afya kutoa baadhi ya viungo vya miili ya watu kwa ahadi ya kuwalipa.

22 Aprili, 2025
Rais Ruto kuongoza kongamano la biashara nchini China
Ni katika ziara yake ya kiserikali ya siku nne nchini humo, ambapo mbali na hiyo, pia atajadiliana masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa na mwenyeji wake Xi Jinping.


