23 Aprili, 2025

Kenya kuunda kitengo maalum kukabiliana na usafirishaji haramu wa binadamu

Kamati ya Kudumu ya Seneti ya Kenya kuhusu Kazi na Ustawi wa Jamii inaripoti kuwa takriban wafanyakazi 80,000 wa Kenya wako Saudi Arabia na 60,000 katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), wengi wao wakiwa wafanyakazi wa nyumbani

fab 1 2

23 Aprili, 2025

Mataifa matatu ya Sahel kujiondoa kutoka Ecowas ‘inasikitisha’ – rais wa Ghana

Rais John Mahama anatoa wito wa “uimara zaidi na uelewano kwa ajili ya changamoto ngumu zinazowakabili ndugu zetu katika mataifa ya Sahelian.”

fab 202

22 Aprili, 2025

Watu 3 wamefariki, na mamia wengine kuondoka katika makazi yao kutokana na mafuriko Nairobi, Kenya

Mwanamke mmoja, na watoto wake 2 walifariki baada ya kuangukiwa na ukuta wakati wa mvua kubwa

kenya 20floods

22 Aprili, 2025

Rais wa Ghana Mahama amsimamisha kazi Jaji Mkuu

Kumewasilishwa malalamiko rasmi matatu kutaka aondolewe ofisini, hata hivyo madai dhidi yake hayajafahamika wazi kwa umma.

ghana 20cj

22 Aprili, 2025

Jeshi la Burkina Faso linasema limetibua jaribio la shambulizi kwa rais

Maafisa wa kijasusi wamefanikiwa kutibua mawasiliano kati ya afisa mmoja wa jeshi na viongozi wa kigaidi kuhusu taarifa za pale vikosi vya Burkina Faso vilipo, amesema waziri wa usalama.

Burkina Ibrahima Traore

22 Aprili, 2025

Shirika la WFP laonya kuhusu ‘viwango vya kutisha’ vya utapiamlo nchini Ethiopia

Shirika hilo la mpango wa chakula la Umoja wa Mataifa limelazimika kusitisha msaada kwa wanawake na watoto 650,000 kutokana na ukosefu wa fedha

ethiopia 20women

22 Aprili, 2025

Rwanda yaongeza mapato ya usafirishaji wa mizigo

Jumla ya mapato ya mauzo ya nje ya Rwanda yalifikia dola bilioni 4.2 mwaka 2024, ikionyesha ongezeko la asilimia 22 kutoka zaidi ya dola bilioni 3.5 mwaka 2023, ripoti ya Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB), imeonyesha.

rwanda 20air

22 Aprili, 2025

Vatican: Mazishi ya Papa Francis Papa kufanyika Aprili 26

Siku ya Jumatano, makao makuu ya Kanisa Katoliki duniani, yalitangaza kuwa jeneza lenye mwili wa Papa Francis, litabebwa kutoka kwenye kanisa la Casa Santa Marta hadi kwenye Basilica ya Mtakatifu Petro, huko Vatican.

pope 202

22 Aprili, 2025

Serikali ya Kenya yaonya maafisa wa afya dhidi ya ukiukaji wa maadili

Kenya imekumbwa na sakata la baadhi ya mashirika ya afya kutoa baadhi ya viungo vya miili ya watu kwa ahadi ya kuwalipa.

22 Aprili, 2025

Rais Ruto kuongoza kongamano la biashara nchini China

Ni katika ziara yake ya kiserikali ya siku nne nchini humo, ambapo mbali na hiyo, pia atajadiliana masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa na mwenyeji wake Xi Jinping.

2024 09 05t101152z 590141888 rc23 gv4 rtrmadp 3 china africa summit
Inapakia...