Maafisa wa Kenya Haiti kurudi nyumbani

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha kikosi kipya cha kimataifa cha Kupambana na Magenge (GSF) nchini Haiti na kuchukua nafasi ya ujumbe wa usaidizi wa usalama unaoongozwa na Kenya.
2 Oktoba, 2025
Mkuu wa haki za binadamu UN atoa wito wa kuzuiwa ‘ukatili mkubwa zaidi’ El Fasher, Sudan

Raia wamezuiwa kutoka Darfur Kaskazini, njaa, mashambulizi yanayoongezeka, anaonya Volker Turk
2 Oktoba, 2025
Maandamano ya Morocco: Zaidi ya 400 wakamatwa baada ya mapigano ya kuvuruga na polisi

Maandamano yanayoongozwa na vijana yametikisa miji kadhaa ya Morocco, ambapo waandamanaji wanaitaka serikali kufanya mabadiliko katika sekta za afya na elimu ya umma.
2 Oktoba, 2025
Wakazi Dar es Salaam, Tanzania wapata mabasi mapya ya Mwendokasi

Ni katika muendelezo wa matukio hayo ambapo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alilazimika kukutana na baadhi ya wakazi wa jiji hilo na kujaribu kutuliza hasira za wananchi, huku akiomba msamaha kwa niaba ya serikali.
2 Oktoba, 2025

Ahueni kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri bei za mafuta zikishuka mwezi Oktoba

Mgomo wa wafanyakazi wa mafuta Nigeria wasitishwa

Waandamanaji wa Madagascar warejea mitaani licha ya hatua ya kuvunja serikali

Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila ahukumiwa kifo

DRC yawaachia huru zaidi ya raia 50 wa Somalia baada ya juhudi za kidiplomasia
30 Septemba, 2025
Mkuu wa Exxon alitaka hakikisho la usalama kwa mradi wa gesi kutoka kwa rais wa Msumbiji
Afisa Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Exxon, Darren Woods alitaka kuhakikishiwa usalama na rais wa Msumbiji Daniel Chapo kwa mradi wa gesi wa dola bilioni 30 kabla ya kuruhusu mpango huo kuendelea.

30 Septemba, 2025
Serikali ya Trump yaunga mkono mpango wa kuongeza muda wa mwaka 1 kwa biashara ya Afrika
Utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump unaunga mkono kuongezwa kwa mwaka mmoja kwa mpango wa kibiashara kati ya Afrika na Marekani, ambao muda wake unamalizika leo, 30, Septemba, kulingana na afisa wa Ikulu ya White House.

30 Septemba, 2025
Misri na Somalia wajadili ushirikiano wa kijeshi, kuunga mkono utulivu wa Afrika
Waziri wa Ulinzi wa Misri Abdul Majeed Saqr na mwenzake wa Somalia, Ahmed Moalim Fiqi, walijadili njia za kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na kuunga mkono utulivu kote barani Afrika wakati wa mkutano mjini Cairo siku ya Jumatatu.

30 Septemba, 2025
Rais wa Madagascar aifuta serikali kufuatia maandamano
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameifuta kazi serikali yake kufuatia maandamano makali dhidi ya kukatika kwa maji na umeme katika eneo la Bahari ya Hindi.

29 Septemba, 2025
Tanzania, Zambia na China zatenga Dola Bilioni 1.4 kufufua reli ya TAZARA
Siku ya Jumatatu, nchi hizo tatu zilisaini mkataba wa Dola Bilioni 1.4, wenye lengo la kufufua reli hiyo ya miaka 50.

29 Septemba, 2025
Ushelisheli kumchagua rais katika duru ya pili ya uchaguzi
Hakuna mgombea aliyepata asilimia 50 ya kura kuwezesha kupatikana kwa mshindi katika duru ya kwanza .

29 Septemba, 2025
Tume ya Uchaguzi Kenya yaanza tena usajili wa wapiga kura kwa maandalizi ya 2027
Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC) nchini Kenya imezindua tena usajili wa wapiga kura wa kuendelea, siku ya Jumatatu Septemba 29, ikiwa sehemu ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa 2027.

29 Septemba, 2025
Mauritania imeripoti kifo cha kwanza kutokana na Homa ya Rift Valley tangu 2022
Mamlaka ya Mauritania Jumapili iliripoti kifo cha kwanza kutokana na Homa ya Bonde la Ufa tangu 2022.

29 Septemba, 2025
Meli ya misaada ya Global Sumud inayoelekea Gaza inakaribia pwani ya kaskazini mwa Misri
Kamati ya Kimataifa ya Kuvunja Mzingiro wa Gaza inasema wanatarajia Israel itafanya uhalifu wa kivita dhidi yao wakati wowote.

28 Septemba, 2025
Gabon yafanya uchaguzi wa bunge kurudi katika utawala wa kiraia
Vituo vya kupigia kura vilipaswa kusalia wazi hadi saa 12:00 jioni kwa saa za ndani (1700 GMT) ili kuruhusu wapiga kura 900,000 kuchagua wabunge 145.



