Uganda yafungua tena mpaka wake na mashariki mwa DRC kunakodhibitiwa na waasi

Mpaka huo ulifungwa mwishoni mwa mwezi Januari baada ya waasi wa M23 kuchukuwa udhibiti wa Goma, mji mkuu wa mkoa wa DRC wa Kivu ya Kaskazini.
11 Julai, 2025
Nigeria yakataa ‘shinikizo’ la Marekani kukubali wahamiaji wa Venezuela

Trump amekuwa akitaka wahamiaji waondolewe kwa haraka, ikiwemo kuwapeleka katika mataifa ya tatu.
11 Julai, 2025
Kenya: Mwenyekiti na Makamishna wa tume ya IEBC waapishwa rasmi

Tume hiyo inajiandaa na kuiongoza nchi hiyo kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2027.
11 Julai, 2025
Nigeria inakataa ‘shinikizo’ la Marekani la kuwakubali wakimbizi wa Venezuela

Trump amekuwa akishinikiza kuharakisha uhamisho, ikiwa ni pamoja na kutuma wahamiaji katika nchi nyengine nje ya Marekani.
11 Julai, 2025

DRC yaendelea kuongoza kwa ubora wa soka Afrika Mashariki

Mwanaharakati na mjumbe wa amani Malala Yousafzai aitembelea Tanzania

Benki ya Tanzania yaangazia mapato zaidi kutoka mauzo ya nje

DRC inaendelea kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu

PSG ya Luis Enrique yaidhalilisha Real Madrid kwa kuichabanga mabao 4-0
11 Julai, 2025
Mazungumzo ya DRC-M23 ‘yanaendelea vizuri’: Mwanadiplomasia
Mazungumzo kati ya DRC na kundi la waasi la M23 nchini Qatar “yanaendelea vizuri”, mwanadiplomasia ameiambia AFP.

11 Julai, 2025
Trump aliwaomba viongozi watano wa Afrika kuwapokea wahamiaji kutoka Marekani, Reuters imeripoti
Serikali ya Trump siku ya Jumatano iliwaomba marais watano wa Afrika kuwapokea wahamiaji kutoka nchi zingine wanapofukuzwa kutoka Marekani, Reuters imeripoti.

3 Juni, 2025
Waasi wanaoungwa mkono na Rwanda nchini Congo waliwaua raia, Human Rights Watch inasema
Hatua hiyo ambayo haijawahi kushuhudiwa imeua maelfu ya watu na kuwalazimu mamia ya maelfu kukimbia.

3 Juni, 2025
Modibo Sacko wa Mali amechaguliwa kuwa rais mpya wa Mahakama ya Afrika
Jaji Modibo Sacko wa Mali amechaguliwa kuwa rais mpya wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR).

3 Juni, 2025
Wanaastronomia wanahofia athari ya Starlink kwenye uchunguzi wa darubini kubwa ya Afrika Kusini
Afrika Kusini ilisema itapitia sheria zake za sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano lakini haitarudi nyuma kwenye sera za serikali za kubadilisha uchumi miongo mitatu baada ya utawala wa wazungu wachache kumalizika.

2 Juni, 2025
Jeshi la Mali linasema limetibua shambulio katika kambi ya jeshi, ‘kuwakata makali’ magaidi 13
‘Jaribio la wapiganaji magaidi’ kutaka kuingia katika kambi ya jeshi ya Timbuktu lilitibuliwa, na hali sasa imetulia na ‘imedhibitiwa,’ Jeshi la Mali lilisema

2 Juni, 2025
Magaidi waua zaidi ya wanajeshi 30 Mali
Taarifa zinasema baada ya mauaji ya wanajeshi kadhaa katika eneo la Boulkessi katikati mwa Mali siku ya Jumapili, magaidi walifanya mashambulizi mengine Timbuktu Jumatatu.

2 Juni, 2025
Uganda: Mahujaji wa Namugongo
Namugongo nchini Uganda ina mojawapo ya maeneo makubwa zaidi ya Hija ya Kikristo barani Afrika kwa ajili ya kuwakumbuka Waanglikana 23 na wengine 22 wa Kikatoliki ambao waliuawa kati ya 1885 na 1887 kwa amri ya mfalme wa Buganda, Kabaka Mwanga II.

2 Juni, 2025
Rwanda yakabiliwa na changamoto ya ongezeko la uhalifu kwa watoto
Machi 2025, wanaharakati nchini Rwanda walitoa wito wa kuchukua hatua kali zaidi za serikali ili kuongeza msaada wa kisheria kwa watoto wanaotuhumiwa kwa uhalifu, wakihimiza marekebisho ya haraka ili kuboresha mchakato wa mahakama kwa watoto wadogo.

2 Juni, 2025
Kanisa Katoliki limefunga vituo vyake Kerio Valley baada ya ukosefu wa usalama
Katika taarifa kutoka kwa Watawa Wamishenari Wabenediktini, kanisa linasema limelazimika kufunga shughuli katika mkoa huo ambao umegeuka kuwa bonde la kifo.




