Wito wa msaada watolewa baada ya maporomoko ya ardhi kuangamiza kijiji cha Sudan, na kuua watu 1,000

Kundi la watu wenye silaha linloadhibiti sehemu ya magharibi mwa Sudan liliomba msaada wa kigeni Jumanne katika kukusanya miili na kuwaokoa raia kutokana na mvua kubwa, huku kukiwa takriban watu 1,000 walifariki kutokana na maporomoko ya ardhi.
3 Septemba, 2025
Misheni za kulinda amani za Sudan Kusini, DRC ziko hatarini kutokana na kupunguzwa kwa ufadhili: UN

Misheni za kulinda amani za Umoja wa Mataifa zinakabiliwa na shinikizo kubwa la kifedha na kupunguzwa kwa ufadhili wa Marekani kunaweza kupunguza uwezo wao wa kulinda raia katika maeneo kama vile Sudan Kusini na DRC
3 Septemba, 2025
Mapigano kaskazini mashariki mwa Sudan Kusini yasababisha vifo vya watu wasiopungua 20

Watu wasiopungua 20 wameuawa katika mapigano makali jimbo la kaskazini mashariki la Upper Nile, Sudan Kusini siku ya Jumatatu, vyombo vya habari vya eneo hilo vimeripoti.
2 Septemba, 2025
Waziri wa Mambo ya Nje Misri aomba mabadiliko Baraza la Usalama, akemea ‘undumakuwili’ wa Magharibi

Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametoa wito wa kufanyiwa mabadiliko Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, akisema lilivyo kwa sasa haliakisi uhalisia wa enzi hizi.
2 Septemba, 2025

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaifutia Somalia deni la miaka 38

WHO: Zaidi ya watu bilioni moja wana changamoto ya afya ya akili

Burkina Faso yapitisha sheria ya kuzuia mapenzi ya jinsia moja

Waziri Mkuu wa Ethiopia adai madini ya nchi hiyo yamekuwa yakipotea kupitia Mto Nile

Uchumi wa Sudan Kusini taabani huku Sudan ikifunga bomba la mafuta
2 Septemba, 2025
“Afrika inaweza kulisha dunia nzima,” asema Rais wa Senegal
Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, siku ya Jumatatu alisema kuwa Afrika inaweza kulisha dunia nzima, akisisitiza kuwa vijana lazima wawe kiini cha mageuzi ya kilimo.

2 Septemba, 2025
Rais Salva Kiir awafukuza kazi mawaziri wake watatu
Taifa hilo, ambalo lilijitenga kutoka Sudan mwaka 2011, limekumbana na hali ya machafuko kufuatia kuhasimiana kati ya Kiir na Naibu wake, Riek Machar uliopelekea kuanzishwa kwa makubaliano ya kugawana madaraka, mwaka 2018.

2 Septemba, 2025
Zaidi ya 1,000 wafariki katika maporomoko ya ardhi katika kijiji cha Sudan Magharibi
Maporomoko ya ardhi yalitokea Agosti 31 baada ya siku kadhaa za mvua kunyesha, kundi linaloongozwa na Abdelwahid Mohamed Nour lilisema katika taarifa.

2 Septemba, 2025
Guinea inaondoa vikwazo vya vyombo vya habari kabla ya kura ya maoni
Vyombo vya habari vya Guinea vinaweza kutoa sauti kwa vyama vilivyopigwa marufuku kabla ya kura ya maoni ya Septemba, rais wa mdhibiti wa vyombo vya habari nchini humo alisema Jumatatu.

1 Septemba, 2025
Jaji Mkuu wa Ghana Gertrude Torkornoo afutwa kazi kwa matumizi mabaya ya mamlaka
Rais wa Ghana John Mahama amemfuta kazi Jaji Mkuu wa nchi hiyo Gertrude Torkonoo baada ya uchunguzi kubaini madai ya matumizi mabaya ya mamlaka yake.

1 Septemba, 2025
AU yaeleza wasiwasi wake kuhusu makubaliano ya wahamiaji ya Marekani na mataifa ya Afrika
Makubaliano ya kuwapeleka wahamiaji maeneo mengine ni sehemu ya kukwepa majukumu ya uhamiaji na kuwaweka watu katika hatari ya mateso na ukiukwaji wa haki zao za msingi,’ shirika la haki la AU limesema

1 Septemba, 2025
Mwanasiasa wa upinzani Uganda akataa kufika mahakamani akidai jaji ana upendeleo
Kesi ya Kizza Besigye na msaidizi wake, Obed Lutale, ilitakiwa kuanza kusikilizwa Jumatatu baada ya kuchelewa kwa miezi kadhaa, lakini washtakiwa wote waliamua kususia kesi hiyo baada ya hakimu, Emmanuel Baguma kukataa kujiondoa kwenye shauri hilo.

1 Septemba, 2025
Maambukizi zaidi 100,000 ya kipindupindu Sudan ndani ya mwaka 1 huku kukiwa na njaa: UN
‘Sudan inakabiliwa na janga baya la njaa duniani, huku kipindupindu kikiongezeka,’shirika la OCHA limesema

1 Septemba, 2025
Afisa polisi wa Kenya afariki katika ajali ya barabarani Haiti
Maafisa polisi wanane wa Misheni ya Usaidizi ya Usalama wa Kimataifa (MSS) nchini Haiti wamejeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani Jumapili, huku afisa mmoja wa Kenya akifariki dunia.

1 Septemba, 2025
Rwanda kutoza faini wenye magari yasiyotumika
Mamlaka ya Mapato ya Rwanda (RRA) imesema wenye magari yasiyotumika huenda wakalipishwa ada mpya ya matengenezo ya barabara iwapo hawatarudisha nambari za usajili.



