Erastus Edung Ethekon Mwenyekiti mteule wa tume huru ya uchaguzi Kenya ni nani?

Rais wa Kenya, William Ruto, amemteua Erastus Edung Ethekon kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka – IEBC, pamoja na makamishna sita wapya.
9 Mei, 2025
Vita vya Sudan: Mashambulizi zaidi ya ndege zisizo na rubani yaikumba Port Sudan

Mashambulizi hayo mapya yamezua hofu ya uhaba wa mafuta na kuzorota kwa hali mbaya ya kibinadamu.
9 Mei, 2025
Trump anapanga ‘kuwachukua Marekani’ wakimbizi wa Afrika Kusini

Maafisa wa Marekani wanasema wakulima Wazungu wanaodaiwa kuathiriwa na sheria mpya ya unyakuzi wa ardhi ya Afrika Kusini watawasili wiki ijayo.
9 Mei, 2025
Tanzania yalitaka Bunge la Ulaya kuheshimu uhuru, sheria na maadili ya Taifa

Kauli hiyo ya Tanzania imekuja kufuatia mjadala uliofanyika katika Bunge la Ulaya kuhusu masuala ya ndani ya Tanzania.
9 Mei, 2025

Rais wa Kenya ateua makamishna wa tume huru ya uchaguzi

Rwanda yatuma maafisa wa polisi Jamhuri ya Afrika ya Kati

Rais wa Tanzania amewafutia rasmi faini za madeni ya bili za maji raia wake

Wanamgambo wa RSF waanzisha mashambulizi mapya katika maeneo ya mashariki, kusini mwa Sudan

Kenya yasajili wafungwa katika huduma mpya ya bima ya taifa ya afya
8 Mei, 2025
UAE ‘haitambui’ uamuzi wa Sudan wa kukata uhusiano wa kidiplomasia
UAE inasema serikali inayoambatana na jeshi la Sudan sio serikali halali ya nchi hiyo ya Kiafrika. Hii inakuja siku moja baada ya Sudan kukata uhusiano wa kidiplomasia na kufunga ubalozi wake na ubalozi wake katika jimbo la Ghuba.

8 Mei, 2025
Moshi mweusi Vatican mchakato wa kura siku ya kwanza wakamilika
Papa mpya hakuchaguliwa baada ya kura ya kwanza kupigwa kwa lengo la kumchagua kiongozi huyo wa 267 wa Kanisa Katoliki duniani.

7 Mei, 2025
Urusi, Jamhuri ya Congo yajadiliana kuhusu kuimarisha ushirikiano wa kijeshi
Urusi imefanya mazungumzo na Jamhuri ya Congo kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano wa masuala ya kijeshi kati ya nchi hizo mbili.

7 Mei, 2025
Serikali ya Trump inapanga kuwasafirisha wakimbizi Libya kwa kutumia ndege za kijeshi
Maafisa wa Marekani wanasema watu wanaweza kuanza kusafirishwa kutoka nchini humo kuanzia wiki hii, licha ya kuwa mpango huo umezua taharuki na watu kuupinga

7 Mei, 2025
Jela kwa wasafirishaji wa siafu Kenya
Miongoni mwa wanne hao kuna raia wawili wa Ubelgiji ambao walipatikana na hatia kwa kujaribu kusafirisha siafu hao adimu nje ya nchi.

7 Mei, 2025
Rwanda kuongeza wakunga 5000
Wizara ya afya inasema kuna wakunga 2,236 pekee waliosajiliwa na kupewa leseni koite nchini kufikia Machi mwaka huu.

6 Mei, 2025
DRC na waasi wa M23 waanza tena mazungumzo ya amani mjini Doha
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wameanza tena mazungumzo ya amani nchini Qatar, vyanzo vya habari vililiambia shirika la Reuters Jumanne.

6 Mei, 2025
Wanajeshi watatu wa Rwanda wauawa nchini Msumbiji
Mashambulizi nchini Msumbiji yamesababisha kuuawa kwa wanajeshi watatu wa Rwanda na kuwajeruhi wengine sita, msemaji wa jeshi la Rwanda alisema siku ya Jumanne.

6 Mei, 2025
Sudan yasitisha uhusiano wa kidiplomasia na UAE
Sudan imeitaja UAE kama ‘taifa la uchokozi,’ huku taifa hilo la Ghuba likikanusha madai ya kuwaunga mkono wapiganaji wa RSF

6 Mei, 2025
Tanzania yatishia kufuta leseni za uchimbaji madini kwa waliokiuka masharti
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini yatoa hati za makosa kwa makampuni 95 ya uchimbaji madini yaliyokiuka masharti ya Leseni.




