2 Septemba, 2025

“Afrika inaweza kulisha dunia nzima,” asema Rais wa Senegal

Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, siku ya Jumatatu alisema kuwa Afrika inaweza kulisha dunia nzima, akisisitiza kuwa vijana lazima wawe kiini cha mageuzi ya kilimo.

f50d12a52c3510840790d3ad17ea1422a12fd046ab9890f5f2bc836095f3037c

2 Septemba, 2025

Rais Salva Kiir awafukuza kazi mawaziri wake watatu

Taifa hilo, ambalo lilijitenga kutoka Sudan mwaka 2011, limekumbana na hali ya machafuko kufuatia kuhasimiana kati ya Kiir na Naibu wake, Riek Machar uliopelekea kuanzishwa kwa makubaliano ya kugawana madaraka, mwaka 2018.

ae39cdede3f92c97c8aff0208b3f11e211d95f10b31883cd23fda27502fd434c

2 Septemba, 2025

Zaidi ya 1,000 wafariki katika maporomoko ya ardhi katika kijiji cha Sudan Magharibi

Maporomoko ya ardhi yalitokea Agosti 31 baada ya siku kadhaa za mvua kunyesha, kundi linaloongozwa na Abdelwahid Mohamed Nour lilisema katika taarifa.

1756792144673 2uekrm b2c19a2871f8b64e52babae5458b686636314193de06c78833acae04f3b76b08

2 Septemba, 2025

Guinea inaondoa vikwazo vya vyombo vya habari kabla ya kura ya maoni

Vyombo vya habari vya Guinea vinaweza kutoa sauti kwa vyama vilivyopigwa marufuku kabla ya kura ya maoni ya Septemba, rais wa mdhibiti wa vyombo vya habari nchini humo alisema Jumatatu.

50ddb121fbfd0fc3407d89c8e9fc19007687e26d110de2702d15134de560b3db main

1 Septemba, 2025

Jaji Mkuu wa Ghana Gertrude Torkornoo afutwa kazi kwa matumizi mabaya ya mamlaka

Rais wa Ghana John Mahama amemfuta kazi Jaji Mkuu wa nchi hiyo Gertrude Torkonoo baada ya uchunguzi kubaini madai ya matumizi mabaya ya mamlaka yake.

ee646d210abe9f6cf84d3682044dccce0274e7c74a6df73f62e6f211e7538fa8

1 Septemba, 2025

AU yaeleza wasiwasi wake kuhusu makubaliano ya wahamiaji ya Marekani na mataifa ya Afrika

Makubaliano ya kuwapeleka wahamiaji maeneo mengine ni sehemu ya kukwepa majukumu ya uhamiaji na kuwaweka watu katika hatari ya mateso na ukiukwaji wa haki zao za msingi,’ shirika la haki la AU limesema

dfa0ec81d6923029de3f5c4c03b9bb305b688f336a136c1475a164c978593482

1 Septemba, 2025

Mwanasiasa wa upinzani Uganda akataa kufika mahakamani akidai jaji ana upendeleo

Kesi ya Kizza Besigye na msaidizi wake, Obed Lutale, ilitakiwa kuanza kusikilizwa Jumatatu baada ya kuchelewa kwa miezi kadhaa, lakini washtakiwa wote waliamua kususia kesi hiyo baada ya hakimu, Emmanuel Baguma kukataa kujiondoa kwenye shauri hilo.

uganda military trials 00726

1 Septemba, 2025

Maambukizi zaidi 100,000 ya kipindupindu Sudan ndani ya mwaka 1 huku kukiwa na njaa: UN

‘Sudan inakabiliwa na janga baya la njaa duniani, huku kipindupindu kikiongezeka,’shirika la OCHA limesema

5d1b1cd69c6306f419df3f581cf883dc4aec6a9546ac323d57aa784e0f82285c

1 Septemba, 2025

Afisa polisi wa Kenya afariki katika ajali ya barabarani Haiti

Maafisa polisi wanane wa Misheni ya Usaidizi ya Usalama wa Kimataifa (MSS) nchini Haiti wamejeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani Jumapili, huku afisa mmoja wa Kenya akifariki dunia.

8fdca7f6d2e78bf5c395c1c0faf80d1a162d89618bdd8630fe5f98f666a27aed

1 Septemba, 2025

Rwanda kutoza faini wenye magari yasiyotumika

Mamlaka ya Mapato ya Rwanda (RRA) imesema wenye magari yasiyotumika huenda wakalipishwa ada mpya ya matengenezo ya barabara iwapo hawatarudisha nambari za usajili.

2025 06 27t172214z 1 lynxmpel5q0pn rtroptp 3 migration britain rwanda 1
Inapakia...