8 Mei, 2025

UAE ‘haitambui’ uamuzi wa Sudan wa kukata uhusiano wa kidiplomasia

UAE inasema serikali inayoambatana na jeshi la Sudan sio serikali halali ya nchi hiyo ya Kiafrika. Hii inakuja siku moja baada ya Sudan kukata uhusiano wa kidiplomasia na kufunga ubalozi wake na ubalozi wake katika jimbo la Ghuba.

2025 03 26t225147z 1804210971 rc2 h rtrmadp 3 sudan politics burhan

8 Mei, 2025

Moshi mweusi Vatican mchakato wa kura siku ya kwanza wakamilika

Papa mpya hakuchaguliwa baada ya kura ya kwanza kupigwa kwa lengo la kumchagua kiongozi huyo wa 267 wa Kanisa Katoliki duniani.

black 20smoke

7 Mei, 2025

Urusi, Jamhuri ya Congo yajadiliana kuhusu kuimarisha ushirikiano wa kijeshi

Urusi imefanya mazungumzo na Jamhuri ya Congo kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano wa masuala ya kijeshi kati ya nchi hizo mbili.

congo

7 Mei, 2025

Serikali ya Trump inapanga kuwasafirisha wakimbizi Libya kwa kutumia ndege za kijeshi

Maafisa wa Marekani wanasema watu wanaweza kuanza kusafirishwa kutoka nchini humo kuanzia wiki hii, licha ya kuwa mpango huo umezua taharuki na watu kuupinga

erdogan 20trump

7 Mei, 2025

Jela kwa wasafirishaji wa siafu Kenya

Miongoni mwa wanne hao kuna raia wawili wa Ubelgiji ambao walipatikana na hatia kwa kujaribu kusafirisha siafu hao adimu nje ya nchi.

2025 05 07t100041z 1694514581 rc2vcea8aq7b rtrmadp 3 kenya ants

7 Mei, 2025

Rwanda kuongeza wakunga 5000

Wizara ya afya inasema kuna wakunga 2,236 pekee waliosajiliwa na kupewa leseni koite nchini kufikia Machi mwaka huu.

africa usaid malaria 78705

6 Mei, 2025

DRC na waasi wa M23 waanza tena mazungumzo ya amani mjini Doha

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wameanza tena mazungumzo ya amani nchini Qatar, vyanzo vya habari vililiambia shirika la Reuters Jumanne.

m23

6 Mei, 2025

Wanajeshi watatu wa Rwanda wauawa nchini Msumbiji

Mashambulizi nchini Msumbiji yamesababisha kuuawa kwa wanajeshi watatu wa Rwanda na kuwajeruhi wengine sita, msemaji wa jeshi la Rwanda alisema siku ya Jumanne.

2025 04 04t092137z 1 lynxnpel330gz rtroptp 3 congo security rwanda

6 Mei, 2025

Sudan yasitisha uhusiano wa kidiplomasia na UAE

Sudan imeitaja UAE kama ‘taifa la uchokozi,’ huku taifa hilo la Ghuba likikanusha madai ya kuwaunga mkono wapiganaji wa RSF

burhan

6 Mei, 2025

Tanzania yatishia kufuta leseni za uchimbaji madini kwa waliokiuka masharti

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini yatoa hati za makosa kwa makampuni 95 ya uchimbaji madini yaliyokiuka masharti ya Leseni.

img 20250506 wa0007
Inapakia...