Viongozi wa Afrika watoa wito kwa walinda amani zaidi Somalia kukabiliana na al-Shabab

Viongozi hao waliokutana nchini Uganda walipendekeza kuwa wanajeshi zaidi wanaweza kutumwa kutoka Misri
26 Aprili, 2025
DRC na Rwanda zatia saini njia ya kufikia amani katika makubaliano yaliyosimamiwa na Marekani

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.
26 Aprili, 2025
Burkina Faso yaipa kampuni ya Urusi Nordgold leseni ya uchimbaji dhahabu

Mgodi wa Niou unatarajiwa kupata tani 20.22 ya dhahabu katika kipindi cha zaidi ya miaka minane, maafisa wamesema
25 Aprili, 2025
Umeme wakatika Sudan baada ya shambulizi la ndege isiyokuwa na rubani katika kituo kimoja

Shambulizi hilo ni la hivi karibuni la ndege zisizokuwa na rubani katika miundombinu ya umeme kaskazini mwa Sudan ambapo mamlaka zimekuwa zikilaumu wapiganaji wa RSF.
25 Aprili, 2025

Mahakama ya Gabon yamthibitisha kiongozi wa kijeshi Nguema mshindi rasmi wa uchaguzi wa urais

Shirika la Umoja wa Mataifa limefikia watu milioni 4 Sudan lakini linaonya kuhusu njaa kali

Uchunguzi wa huduma za mauzo ya viungo nchini Kenya waanza

Rwanda kuanza kutibu wagonjwa bila kuhudhuria vituo vya afya

Raia wa Rwanda afunguliwa mashtaka Marekani kwa kuhusika na mauaji ya kimbari
25 Aprili, 2025
Dunia yaadhimisha siku ya malaria, nchi 9 Afrika bila malaria
Barani Afrika WHO inasema tangu mwaka wa 2000, zaidi ya wagonjwa wa malaria bilioni 1.7 na vifo milioni 12 vimepukwa katika kanda ya Afrika kutokana na juhudi za kimataifa za afya.

25 Aprili, 2025
Marekani kuwa mwenyeji wa makubaliano kati ya Rwanda na DRC
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio atatia saini ‘tamko la kanuni’, siku chache baada ya kutangazwa kusitishwa kwa mapigano kati ya DRC na waasi wa M23 wakati wa mazungumzo ya hivi karibuni yaliyofanywa na Qatar huko Doha.

25 Aprili, 2025
Kenya yaamua tena hisabati kuwa somo la lazima
Haya yanajiri baada ya Wizara ya Elimu kutangaza kuwa masomo ya hesabu hayatakuwa ya lazima tena kwa wanafunzi wa sekondari chini ya Mtaala unaozingatia Umahiri (CBC), mabadiliko makubwa kutoka kwa mfumo ulioondolewa wa elimu.

25 Aprili, 2025
Msumbiji yatangaza kumalizika kwa uasi katika mkoa wenye utajiri wa gesi wa Cabo Delgado
Jeshi linasema limedhibiti kambi za mwisho za mafunzo ambazo bado zilikuwa zinatumiwa na waasi katika mkoa wa kaskazini mwa nchi wa Cabo Delgado.

25 Aprili, 2025
Rais wa Afrika Kusini Ramaphosa kukutana na Trump ‘karibuni’ kusuluhisha matatizo yao
Viongozi hao wawili watajadili kuhusu uhusiano kati ya nchi hizo mbili baada ya serikali ya Trump kusitisha misaada ya fedha kwa Afrika Kusini na kumtimua balozi wao.

25 Aprili, 2025
Magaidi wa al-shabaab wavamia kambi ya jeshi Somalia, watu kadhaa wauawa
Kundi lenye ushirikiano na al-Qaeda limedai kuvamia kambi ya Wargaadhi, lakini Wizara ya Ulinzi ya Somalia inakanusha hilo na kusema kuwa bado kambi hiyo iko chini ya udhibiti wa jeshi la taifa

25 Aprili, 2025
Jeshi la Sudan lasema limewaua wapiganaji 60 wa RSF Darfur Kaskazini
Tangu Mei 2024 kumekuwa na mapigano makali El-Fasher kati ya jeshi la Sudan na RSF

24 Aprili, 2025
Rais wa Ukraine kukatisha ziara yake ya Afrika Kusini
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amesema amelazimika kukatisha sehemu ya ratiba yake nchini Afrika Kusini baada ya shambulizi la Urusi katika mji mkuu wa Kyiv.

24 Aprili, 2025
Rwanda yazindua mikakati mipya ya kuthibiti malaria
Mbinu mpya inahusisha kupima familia yote baada ya mtu mmoja kugundulika kuwa na ugonjwa wa malaria ili kutambua na kutibu wengine ambao wanaweza kuambukizwa lakini bado hawana dalili.

24 Aprili, 2025
Mahakama ya Senegal yazuia ombi la serikali la kufuta sheria ya msamaha kwa ‘wahalifu’
Baraza la Katiba la Senegal lilitangaza sheria mpya ya msamaha kuwa kinyume na katiba, na hivyo kuzua mvutano mpya wa kisiasa kati ya wapinzani.




