19 Agosti, 2025

Zaidi ya magaidi 100 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya kijeshi ya Somalia

Kitengo cha kijeshi chenye uwezo wa juu, kikiungwa mkono na washirika wa kimataifa, kimefanya operesheni ambayo pia iliharibu maficho ya magaidi.

2025 07 01t123510z 2047193788 rc2kdfad8zvz rtrmadp 3 somalia security independence

19 Agosti, 2025

Burhan wa Sudan afanya mabadiliko katika jeshi

Mkuu wa jeshi la Sudan aliteua maafisa wakuu wapya siku ya Jumatatu katika huku akiimarisha udhibiti wa maeneo ya kati na mashariki na kupigana vita vikali magharibi.

eb313ece4133ed5e3b01deaaa24c42388635464db4d7d4bf658a7e0a39bfb8d9

19 Agosti, 2025

Waasi waliokuwa na mapanga wameua takriban watu 52 mashariki mwa DRC

Waasi wa ADF waliokuwa na mapanga wamewaua takriban raia 52 katika maeneo ya Beni na Lubero mashariki mwa DRC katika siku za hivi karibuni, maafisa wa Umoja wa Mataifa na mashinani walisema Jumatatu.

70094b16 8750 4ea7 9455 9dbb61053b91 main

18 Agosti, 2025

DRC, waasi wa M23 washindwa kufikia makubaliano ya amani ya Doha

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wameshindwa kufikia muafaka wa makubaliano ya amani ya Doha katika siku ya mwisho iliyowekwa wao kufanya hivyo.

dabc8a2df43851c4c0cb3952f32e3cd91ff2321a1514fc2486c238aeb58696e7

18 Agosti, 2025

Hamas yakubali mapendekezo ya wapatanishi kusitisha mapigano siku 60 Gaza: Vyombo vya Misri

Kundi la wapiganaji la Palestina Hamas limekubali mapendekezo ya kusitisha mapigano Gaza kwa siku 60 yaliyowasilishwa na wapatanishi wa Misri na Qatar, Vyombo vya habari vya Misri viliripoti Jumatatu.

7b4a3292fbde1c2fd9d6ac1fb2fefca5c2d235d7ae1593a918cd34c6ea2423c7

18 Agosti, 2025

Marekani yaweka sheria kali za viza kwa raia wa Nigeria, yachunguza mitandao ya kijamii ya waombaji

Hii ni sheria ya hivi karibuni ya Marekani huku uongozi wa Trump ukiendeleza ukali dhidi ya wahamiaji, hasa wakilenga nchi za Afrika.

410b9ffcfe6fe975230406e76c358c6b28f58f9e3b8d261be5e70b41d1c24e8d

18 Agosti, 2025

Israel yapeleka msaada Sudan Kusini huku ikiendeleza njaa Gaza

Hatua hii inakuja huku kukiwa na taarifa za Sudan Kusini kuwa katika mpango wa kuwapa makazi Wapalestina.

bad8f2e63ace96fba18a663ce86d7e1b90bbbe89a666d9469fdc3f533b7c01ff

18 Agosti, 2025

Tanzania: CHADEMA yaishitaki klabu ya Young Africans FIFA kufuatia harambee ya CCM

Katika harambee iliyofanyika Agosti 12 jijini Dar es Salaam, klabu ya Young Africans ilitoa kiasi cha milioni 100 kuisadia CCM katika kampeni zake, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

5309c334682c866aeebceb50f4487f7370cf286b19052d38a1199e955c77d8ec

18 Agosti, 2025

Zaidi ya 40 hawajulikani walipo baada ya boti kupinduka nchini Nigeria

Juhudi za utafutaji na uokoaji zinaendelea baada ya boti iliyokuwa imebeba zaidi ya abiria 50 kuzama ilipokuwa ikielekea sokoni.

cd635742859cc98f7df02f5b36993569e6f0172085e1c1ad1bebf5b5e7cbe988

18 Agosti, 2025

Takriban watu tisa wameuawa katika shambulizi la ADF mashariki mwa DRC

Shambulizi la Allied Democratic Forces (ADF) limeua takriban watu tisa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, duru za ndani zilisema Jumapili.

430d4c1a 2320 4e53 b2ba ff680bcf2a19 main
Inapakia...