22 Aprili, 2025

Jeshi la Burkina Faso linasema limetibua jaribio la shambulizi kwa rais

Maafisa wa kijasusi wamefanikiwa kutibua mawasiliano kati ya afisa mmoja wa jeshi na viongozi wa kigaidi kuhusu taarifa za pale vikosi vya Burkina Faso vilipo, amesema waziri wa usalama.

Burkina Ibrahima Traore

22 Aprili, 2025

Shirika la WFP laonya kuhusu ‘viwango vya kutisha’ vya utapiamlo nchini Ethiopia

Shirika hilo la mpango wa chakula la Umoja wa Mataifa limelazimika kusitisha msaada kwa wanawake na watoto 650,000 kutokana na ukosefu wa fedha

ethiopia 20women

22 Aprili, 2025

Rwanda yaongeza mapato ya usafirishaji wa mizigo

Jumla ya mapato ya mauzo ya nje ya Rwanda yalifikia dola bilioni 4.2 mwaka 2024, ikionyesha ongezeko la asilimia 22 kutoka zaidi ya dola bilioni 3.5 mwaka 2023, ripoti ya Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB), imeonyesha.

rwanda 20air

22 Aprili, 2025

Vatican: Mazishi ya Papa Francis Papa kufanyika Aprili 26

Siku ya Jumatano, makao makuu ya Kanisa Katoliki duniani, yalitangaza kuwa jeneza lenye mwili wa Papa Francis, litabebwa kutoka kwenye kanisa la Casa Santa Marta hadi kwenye Basilica ya Mtakatifu Petro, huko Vatican.

pope 202

22 Aprili, 2025

Serikali ya Kenya yaonya maafisa wa afya dhidi ya ukiukaji wa maadili

Kenya imekumbwa na sakata la baadhi ya mashirika ya afya kutoa baadhi ya viungo vya miili ya watu kwa ahadi ya kuwalipa.

22 Aprili, 2025

Rais Ruto kuongoza kongamano la biashara nchini China

Ni katika ziara yake ya kiserikali ya siku nne nchini humo, ambapo mbali na hiyo, pia atajadiliana masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa na mwenyeji wake Xi Jinping.

2024 09 05t101152z 590141888 rc23 gv4 rtrmadp 3 china africa summit

22 Aprili, 2025

Raia wasiopungua 33 wameuawa kwenye mashambulizi ya RSF katika mji wa El-Fasher,jeshi linasema

Wapiganaji wa RSF hawajuzungumzia chochote kuhusu tukio hilo

darfur

22 Aprili, 2025

Mamia wafariki wakati Angola ikipambana na mlipuko wa kipindupindu

Zaidi ya visa 14,000 vya kipindupindu na vifo 505 vimeripotiwa tangu mlipuko huo uanze Januari 2025.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

22 Aprili, 2025

Jeshi la Sudan Kusini lauteka tena mji muhimu kutoka kwa wanamgambo wa White Army

Wasemaji wa jeshi na jeshi la White Army, ambalo chama cha Machar kinakanusha kuunga mkono, walisema mji wa Nasir ulitekwa tena siku ya Jumapili bila mapigano

2024 11 22t170211z 739599175 rc2d ocf rtrmadp 3 southsudan violence

21 Aprili, 2025

Sudan Kusini kutuma ujumbe Marekani kujadili kurejeshwa nyumbani raia wake

Haya yanajiri baada ya Makula Kintu, aliyejitambulisha kwa jina la Nemeri Garang, awali kunyimwa kuingia katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Juba baada ya kufukuzwa kutoka Marekani, na kusababisha mzozo wa kidiplomasia

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab
Inapakia...