Serikali ya DRC, M23 wakubali kufanya mazungumzo

Taarifa iliyotolewa katika mazungumzo imethibitisha kwamba pande zote mbili zimekubaliana kusitisha mapigano mara moja.
24 Aprili, 2025
Waliojaribu kutorosha siafu kupitia JKIAkuhukumiwa mwezi ujao

Washukiwa hao wanne wamekiri makosa yao wiki iliyopita baada ya mamlaka kuwakamata wakiwa na siafu 5,000.
24 Aprili, 2025
Djibouti yawapa wahamiaji haramu wiki moja kuondoka au wawaondowe kwa lazima

Raia wengi wa kigeni wanapitia nchi hiyo kwa lengo la kuanza safari ya hatari kupitia Bahari ya Shamu kwa kutumia maboti yaliyojaa kupitiliza.
24 Aprili, 2025
Wafugaji wenye silaha wawaua watu 11 katika mashambulizi mengine Nigeria

Kumekuwepo na ongezeko la mapigano katika eneo hilo katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita kati ya wakulima na wafugaji
23 Aprili, 2025

Rais Ruto asaini mikataba 7 na Uchina ya uwekezaji wa zaidi ya dola milioni 823

Kenya kuunda kitengo maalum kukabiliana na usafirishaji haramu wa binadamu

Mataifa matatu ya Sahel kujiondoa kutoka Ecowas ‘inasikitisha’ – rais wa Ghana

Watu 3 wamefariki, na mamia wengine kuondoka katika makazi yao kutokana na mafuriko Nairobi, Kenya

Rais wa Ghana Mahama amsimamisha kazi Jaji Mkuu
22 Aprili, 2025
Jeshi la Burkina Faso linasema limetibua jaribio la shambulizi kwa rais
Maafisa wa kijasusi wamefanikiwa kutibua mawasiliano kati ya afisa mmoja wa jeshi na viongozi wa kigaidi kuhusu taarifa za pale vikosi vya Burkina Faso vilipo, amesema waziri wa usalama.

22 Aprili, 2025
Shirika la WFP laonya kuhusu ‘viwango vya kutisha’ vya utapiamlo nchini Ethiopia
Shirika hilo la mpango wa chakula la Umoja wa Mataifa limelazimika kusitisha msaada kwa wanawake na watoto 650,000 kutokana na ukosefu wa fedha

22 Aprili, 2025
Rwanda yaongeza mapato ya usafirishaji wa mizigo
Jumla ya mapato ya mauzo ya nje ya Rwanda yalifikia dola bilioni 4.2 mwaka 2024, ikionyesha ongezeko la asilimia 22 kutoka zaidi ya dola bilioni 3.5 mwaka 2023, ripoti ya Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB), imeonyesha.

22 Aprili, 2025
Vatican: Mazishi ya Papa Francis Papa kufanyika Aprili 26
Siku ya Jumatano, makao makuu ya Kanisa Katoliki duniani, yalitangaza kuwa jeneza lenye mwili wa Papa Francis, litabebwa kutoka kwenye kanisa la Casa Santa Marta hadi kwenye Basilica ya Mtakatifu Petro, huko Vatican.

22 Aprili, 2025
Serikali ya Kenya yaonya maafisa wa afya dhidi ya ukiukaji wa maadili
Kenya imekumbwa na sakata la baadhi ya mashirika ya afya kutoa baadhi ya viungo vya miili ya watu kwa ahadi ya kuwalipa.

22 Aprili, 2025
Rais Ruto kuongoza kongamano la biashara nchini China
Ni katika ziara yake ya kiserikali ya siku nne nchini humo, ambapo mbali na hiyo, pia atajadiliana masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa na mwenyeji wake Xi Jinping.

22 Aprili, 2025
Raia wasiopungua 33 wameuawa kwenye mashambulizi ya RSF katika mji wa El-Fasher,jeshi linasema
Wapiganaji wa RSF hawajuzungumzia chochote kuhusu tukio hilo

22 Aprili, 2025
Mamia wafariki wakati Angola ikipambana na mlipuko wa kipindupindu
Zaidi ya visa 14,000 vya kipindupindu na vifo 505 vimeripotiwa tangu mlipuko huo uanze Januari 2025.

22 Aprili, 2025
Jeshi la Sudan Kusini lauteka tena mji muhimu kutoka kwa wanamgambo wa White Army
Wasemaji wa jeshi na jeshi la White Army, ambalo chama cha Machar kinakanusha kuunga mkono, walisema mji wa Nasir ulitekwa tena siku ya Jumapili bila mapigano

21 Aprili, 2025
Sudan Kusini kutuma ujumbe Marekani kujadili kurejeshwa nyumbani raia wake
Haya yanajiri baada ya Makula Kintu, aliyejitambulisha kwa jina la Nemeri Garang, awali kunyimwa kuingia katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Juba baada ya kufukuzwa kutoka Marekani, na kusababisha mzozo wa kidiplomasia




