14 Agosti, 2025

Kuridhia kwa serikali ya Eswatini kupokea waliotimuliwa Marekani kwapinga mahakamani

Wanaharakati wa Eswatini wameiomba mahakama kuu kuamua kuwa kinyume cha katiba hatua ya nchi hiyo kukubali kuwapokea raia watano wa kigeni ambao walifukuzwa Marekani.

93bfacdd0b94439e3ab40fefd8ddd74e110d88d740e1b2b513eec31b4b43c549

14 Agosti, 2025

Watu kadhaa wafariki Sudan kutokana na kipindupindu ‘kibaya’ kuwahi kutokea ndani ya miaka mingi

Shirika la MSF linasema raia kuondolewa katika makazi yao kwa wingi kutokana na mapigano Sudan kumefanya mlipuko kuwa mbaya zaidi kwa watu kushindwa kupata maji safi.

c085ec40da0058d99fc3385a4a2d3242fdbbafb77c0684d5cfedf561b3f8fee7

14 Agosti, 2025

Air Tanzania mbioni kuanza safari za Dar es Salaam-Lagos

Hii ni baada ya shirika hilo kupata kibali cha safari hizo kutoka serikali ya Nigeria.

e40e7d752f57679c512ed41d0e487e8cd513db161e2c8d2207a7703715ca4ff4

14 Agosti, 2025

Upinzani Uganda wanajaribu kufuta sheria ya wananchi kushtakiwa katika mahakama ya kijeshi

Chama kikuu cha upinzani nchini Uganda kimewasilisha kesi katika mahakama ya katiba ili kufuta sheria mpya iliyorudisha haki ya mahakama za kijeshi kusikiliza kesi za raia.

2025 05 09t212018z 1139748863 rc27eeagdkmp rtrmadp 3 uganda politics main

13 Agosti, 2025

Kiongozi wa Umoja wa Mataifa ashtumu mashambulizi ya RSF El Fasher, katika kambi ya wakimbizi Sudan

Turk aonya kuhusu ‘hatari mbaya ya mateso yanayochochewa kwa misingi ya kikabila’ huko Darfur Kaskazini

1968a2dd23346326b12e6450e4fcb84c4fc6e4a4ca63740cade3726f28b32dab

13 Agosti, 2025

Afrika Kusini yaeleza ripoti ya Marekani kuhusu haki kuwa ‘siyo sahihi

Afrika Kusini imeielezea ripoti hiyo “kuwa na mapungufu” ambayo Marekani inasema hali ya haki za binadamu Afrika Kusini “imekuwa mbaya” , siku chache baada ya serikali ya Trump kuiwekea ushuru wa asilimia 30 kwa bidhaa zao nyingi wanazouza nje.

8c07b5f7ace9d132ed2a725881d957afa9335d74d52b786dfc353bf7da5863e7

13 Agosti, 2025

Zimamoto yapambana kuzima moto katika msitu kaskazni mwa Morocco

Morocco imekuwa na matukio ya moto wa msituni 382 mwaka 2024, na kusababisha uharibifu wa hekta karibu 874

a5c2dedc1ca2ab7789cbb3c556f4a9e2622078207df9068ccd3e37c17fff052f

13 Agosti, 2025

Sudan Kusini yakanusha mazungumzo na Israel kuhusu kuwapa makazi Wapalestina

Madai hayo ‘hayana msingi na hayaashirii msimamo au sera rasmi’ ya serikali, Wizara ya Mambo ya Nje imesema

fc162bebec35e6d3e89605a494e605ff34116bb4a65610a5e010b536ecc5bcce

13 Agosti, 2025

Kenya yafanya mazungumzo na Iran ya kuondoa marufuku ya kununua chai yake

Iran ilipiga marufuku ununuzi wa chai kutoka Kenya ikichochewa na madai ya biashara mbovu ya uhalifu iliyohusisha kampuni moja ya Kenya.

e9b35824d37315e84a7e3c7becebcdd2810110e20aeb68bef4617dbdefb304af

13 Agosti, 2025

Marekani yaiwekea vikwazo kundi la wapiganaji, makampuni ya uchimbaji madini haramu nchini DRC

Marekani imetangaza vikwazo dhidi ya kundi lenye silaha linaloshirikiana na jeshi la Congo pamoja na kampuni ya uchimbaji madini nchini humo na wafanyabiashara wawili kutoka Hong Kong kwa kutumia silaha na uuzaji wa madini haramu.

1755076568257 sq8ml e14e291f01c67c7f42483043af7e65bf6cbc02febd13e119ae6ace0924f3d11a
Inapakia...