27 Julai, 2025

Mpinzani mkuu wa rais wa Cameroon Maurice Kamto amezuiwa kushiriki katika uchaguzi

Maurice Kamto hakuwa miongoni mwa wagombea 13 kwenye orodha ya awali iliyotolewa Jumamosi na baraza la taifa la uchaguzi.

a6853f1c3eda3b2d35020f90e327b8ef6bc0dece5c7892bce4fb5a521b4d3bd3

27 Julai, 2025

Muungano unaoongozwa na RSF watangaza serikali sambamba nchini Sudan

Kikosi cha kijeshi cha RSF na washirika wake wameapa kujenga “Sudan Mpya”.

454387d5257ffcf18d94f8dfe8e11e35fc0f739de6953b2580d4c7dc3dda7ab8

26 Julai, 2025

TRA yalenga kutoza kodi biashara za mitandaoni na vyumba vya Air BnB

Mamlaka ya ukusanyaji Kodi Tanzania TRA imetoa makataa ya hadi mwisho wa Agosti kwa biashara zote za kidijitiali na za Air Bnb kusajiliwa kupewa nambari ya utambulisho TIN au wakabiliwe na sheria.

3114a77033108d8241e2da3550ead4cb0a168cc715fddff6ed8a9ae1af675196

26 Julai, 2025

Mkuu wa Tume ya AU apongeza utambuzi wa Ufaransa wa taif ala Palestina

Mahmoud Youssouf alisema uamuzi huo unaendana na “msimamo wa kudumu wa Umoja wa Afrika” kuhusu haki za watu wa Palestina.

2025 05 12t080126z 192879436 rc27geaz76o1 rtrmadp 3 africa diplomacy

26 Julai, 2025

Tanzania kupiga kura Oktoba 29 – yatangaza Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

Tume hiyo imetangaza ratiba kamili ya uteuzi, kampeni na upigaji kura kwa ngazi zote husika Tanzania Bara na Zanzibar

19e4590b1de98be92d3c44ba28e6bce95e9b56369be8bd84722c1f81d621a26b

23 Julai, 2025

Mahakama ya juu zaidi ya Umoja wa Mataifa itaamua Jumatano juu ya majukumu ya hali ya hewa ya nchi

Kati ya 2013 – 2023, viwango vya bahari vimeongezeka kwa wastani wa kimataifa wa karibu sentimeta 4.3, huku dunia ikipanda nyuzi joto 1.3 tangu nyakati za kabla ya viwanda

496a05f37ef3cf8d0180eba9d6cbf7757b81e4fa01174430958f721ebdacc09f

22 Julai, 2025

Sudan imeripoti maambukizi 1,300 ya kipindupindu na vifo 18 katika wiki moja

Wizara ya afya ya Sudan imeripoti maambukizi mapya ya kipindupindu, huku idadi hiyo ikifika 1,307 na vifo 18 vilivyosababishwa na ugonjwa huo ndani ya wiki moja.

ace149b73ec7aa1192e54f679e023841da54009db4396ef0f0aae94bfeb1cb15

22 Julai, 2025

Ajali ya barabarani Zimbabwe yaua takriban watu 17

Takriban watu 17 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya barabarani katika mji wa Chitungwiza nchini Zimbabwe, polisi walisema Jumanne.

zimbabwe road accident 23832

22 Julai, 2025

Kenya: Polisi waanza uchunguzi baada ya mafuvu mawili, mwili kufukuliwa huko Kilifi

Sehemu ya Chakama, inahusisha pia msitu wa Shakahola, ambako miili ya zaidi ya watu 450 ilifukuliwa kutoka makaburi mafupi mwaka 2023, katika tukio maarufu lililogusa hisia za wengi nchini Kenya.

5194ef9371dceddb292849ed68b6b13c1d82c0f65ebeb98b70f7308ec8cd4d38

22 Julai, 2025

Nini chanzo cha mvutano kati ya Ethiopia na Eritrea?

Ethiopia ilikuwa ikitumika kama kitovu muhimu cha siasa za kijiografia na kiuchumi kwa shughuli za kibiashara, biashara, na mwingiliano na mataifa kadhaa ya Asia na Ulaya.

740d6c33d2e6eaabf2ba9735e9e1e94df2cae578de92e8ce9829dc677511b0c0
Inapakia...