21 Julai, 2025

Shirika la Msalaba Mwekundu lasema liko tayari kuwasaidia waliokuwa wamezuiliwa na M23

Hii inafuatia makubaliano ya amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kikundi chenye silaha cha M23 Movement (AFC/M23).

1753085554882 jhbamk f4e287692e079f6e61a87159bd9c984a6a2d0ef6d5cf1695058f8a75ea596897

21 Julai, 2025

Rais wa Eritrea aonya Ethiopia dhidi ya vita

Rais wa Eritrea, Isaias Afwerki, amewaonya jirani zao Ethiopia dhidi ya kuanzisha vita vipya kati ya nchi hizo mbili.

presos main

20 Julai, 2025

Uturuki inakaribisha makubaliano ya amani ya DRC na waasi wa M23

Wizara ya mambo ya nje ya Uturuki ilipongeza wasimamizi wa makubaliano hayo yaliyotiwa saini nchini Qatar siku ya Jumamosi.

adcab8bac3f046f2024a5f2e9fb3740e315dce77934b69815460d7e5ee6c370b

20 Julai, 2025

Rwanda yapongeza makubaliano ya DRC ya kusitisha mapigano na waasi wa M23 kama ‘hatua muhimu’

”Sote inabidi tuunge mkono mwendelezo wa maendeleo hadi tamati,” inasema taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Rwanda

ae81be9cee130b240383511982c258a645dc8a0a23a7f722975b7e93c2fc51fd

19 Julai, 2025

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wafikia makubaliano ya muda ya kumaliza mzozo

Makubaliano ya kusitisha mapigano na waasi katika jitihada za kumaliza machafuko ya muda mrefu mashariki mwa nchi hiyo na yanafuatia mkataba tofauti wa amani kati ya Congo na Rwanda uliotiwa saini mjini Washington mwezi uliopita.

2025 07 19t091643z 1596453928 rc2kpfak1ztg rtrmadp 3 congo security qatar

19 Julai, 2025

CCM yaahirisha vikao vya kitaifa bila kutangaza tarehe mpya

Katika barua iliyosambazwa mitandaoni, katibu wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Chama alielezea kwa ufupi tu kuwa ni kutokana na sababu za kiufundi.

8450a39c358731d9e220617c895eaea2a23e83937ce5754de910fef052d3acbf

18 Julai, 2025

Dola milioni 60 kwa mradi wa mafuta na gesi Mtwara, Tanzania

Tanzania inatarajia kutumia dola milioni 60 kufanikisha uchimbaji mafuta na gesi katika kitalu cha Mnazibay mkoani Mtwara kusini mwa nchi. Gharama hiyo itahusisha uchimbaji wa visima vitatu pekee ikiwa ni hatua ya kuthibitisha kiwango cha gesi

37f4181014523a5a61c4d7af832145859d57cea807a1fd1f6b934a1b00f568c1

18 Julai, 2025

AU yaridhishwa na hatua ya kusitishwa mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

Umoja wa Afrika umetoa wito kwa makundi yenye silaha katika nchi hiyo “kuweka silaha zao chini na kushiriki kwa nia njema katika majadiliano ya kitaifa na maridhiano”.

0078ee5bcd05e30126968a0c1b36fe0d40c9b15df62238de5e61af3f52f699b7

18 Julai, 2025

Uganda kuweka huduma dhidi ya Ukimwi kwa huduma ya afya ya jumla

Takwimu za Uganda Aida Commission zinaonyesha kuwa asilimia 70 ya maambukizi mapya ya ukimwi ni miongoni mwa vijana wenye umri wa miaka 15 hadi 24 ni hasa kwa miongoni mwa wasichana na wanawake vijana

3edeb8261cb7c4ee7bcf1e977fa20f9876e7772723bb5eae84f866ca6d21e2b6

18 Julai, 2025

Raia wa Libya akamatwa na Mahakama ya Kitaifa ya ICC

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilifikisha malalamiko yake dhidi ya Khaled Mohamed Ali El Hishri, raia wa Libya katika mahakama ya ICC kutokana na uhalifu wa kibinadamu nchini Libya.

gettyimages 2172421167
Inapakia...